Skip to content
July 17, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Wananchi Halmashauri ya mji wa Tarime wanadaiwa kuendelea kukaidi maagizo kutofanya shughuli katika vyanzo maji
  • Afrika Mashariki
  • Biashara na Uchumi
  • Habari
  • Majanga
  • Newsbeat
  • Tanzania

Wananchi Halmashauri ya mji wa Tarime wanadaiwa kuendelea kukaidi maagizo kutofanya shughuli katika vyanzo maji

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
RADIO KWIZERA April 10, 2025
Mto Mara

Baadhi ya wananchi katika Halmashauri ya Mji Tarime wilayani Tarime mkoani Mara wanadaiwa kuendelea kukaidi maagizo ya kutofanya shughuli mbalimbali karibu na vyanzo maji.

Akizungumza na waandishi wa habari jana, ofisini kwake Afisa Mazingira wa halmashauri hiyo Patrice Boniphace, amesema kuwa pamoja na juhudi zilizofanyika, bado baadhi ya watu wanaosha magari, kulima, kuchimba mchanga, kuchenjua dhahabu na hata kujenga karibu na vyanzo vya maji.

Afisa huyo amefafanua kuwa shughuli mbalimbali karibu na vyanzo vya maji huruhusiwa kwa kuzingatia vipimo vya mto au kijito.

Ametolea mfano, kwa mto mkubwa kama Mori, shughuli zinatakiwa kufanyika umbali wa mita 60 kutoka mtoni, wakati kwa mito midogo na vijito ni umbali wa mita 30.

Continue Reading

Previous: WHO: Viwango vya vifo wajawazito, watoto wachanga Afrika vimepungua tangu mwaka 2000
Next: Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi

Related Stories

WAZIRI CHANA
  • Habari

Wizara ya Maliasili na Utalii imepokea vifaa kudhibiti ujangili

RADIO KWIZERA July 14, 2025
polepoleeeee
  • Habari

Balozi Polepole rasmi kujiuzulu nafasi yake.

RADIO KWIZERA July 14, 2025
Tundu Lisu
  • Habari

Mahakama kutoa uamuzi wa maombi ya Tundu Lissu

RADIO KWIZERA July 11, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Wazazi fuatilieni mienendo ya watoto nje ya nchi MOLLEL 1

Wazazi fuatilieni mienendo ya watoto nje ya nchi

July 15, 2025
Wizara ya Maliasili na Utalii imepokea vifaa kudhibiti ujangili WAZIRI CHANA 2

Wizara ya Maliasili na Utalii imepokea vifaa kudhibiti ujangili

July 14, 2025
Wawekezaji watakiwa kukabiliana na uchafuzi wa fukwe Bukoba 3

Wawekezaji watakiwa kukabiliana na uchafuzi wa fukwe

July 14, 2025
Balozi Polepole rasmi kujiuzulu nafasi yake. polepoleeeee 4

Balozi Polepole rasmi kujiuzulu nafasi yake.

July 14, 2025
Zaidi ya mita 400 za maji zaibiwa Kahama, hasara mil 40 images (17) 5

Zaidi ya mita 400 za maji zaibiwa Kahama, hasara mil 40

July 12, 2025

ulizokosa

MOLLEL
  • Elimu na Afya

Wazazi fuatilieni mienendo ya watoto nje ya nchi

RADIO KWIZERA July 15, 2025
WAZIRI CHANA
  • Habari

Wizara ya Maliasili na Utalii imepokea vifaa kudhibiti ujangili

RADIO KWIZERA July 14, 2025
Bukoba
  • Jamii

Wawekezaji watakiwa kukabiliana na uchafuzi wa fukwe

RADIO KWIZERA July 14, 2025
polepoleeeee
  • Habari

Balozi Polepole rasmi kujiuzulu nafasi yake.

RADIO KWIZERA July 14, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

Afya amani Biashara Business CCM CHADEMA Fursa Geita Hukumu Jeshi la polisi Jeshi la polisi Geita Kakonko DC Kanisa Katoliki Kasulu Katibu mkuu Kigoma Kujiunga na mfumo kushirikiana makamu wa rais mali ya wizi Mazingira Mgodi Michezo Muleba Mwanza Newsbeat NIDA nishati safi Papa Leo XIV Radio Kwizera Rais Samia TAKUKURU uchaguzi mkuu Uchumi Uimarishaji Mipaka Ulinzi Uzinduzi Viwanda Waganga wa kienyeji Wazee geita Waziri Mkuu wilaya ya kakonko Wizara ya Afya Wizara ya Ardhi World
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ