Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, SACP Safia Jongo, amewatahadharisha wachimbaji wadogo katika mgodi wa Msasa wilayani...
David Mwaluseke
David Mwaluseke ni mtangazaji aliyebobea katika vipindi mbalimbali vya kijamii, burudani pamoja na jamii kwa ujumla.
Pia ni mbunifu wa mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kutengeneza matangazo na sauti yenye mvuto katika masikio ya walio wengi ambao wamekuwa wakifurahishwa anavyokuwa katika vipindi kadhaa.
