Skip to content
July 4, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Majanga
  • Newsbeat
  • Tanzania

Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
RADIO KWIZERA April 10, 2025
bukoba-6

Wananchi katika manispaa ya Bukoba mkoani Kagera wanaoishi maeneo ambayo nyumba zao hujaa maji pindi mvua zinaponyesha wametakiwa kuchukua tahadhari ya kwenda maeneo salama ili kuepuka athari zinazoweza kujitokeza.

Rai hiyo imetolewa na kutoka kitengo cha mazingira kinachojihusisha na mambo ya maafa katika kanisa la KKT dayosisi ya kaskazini magharibi pamoja na shirika la TCRS Bw. Danson Kateme wakati akizungumza na Radio kwizera na kueleza kuwa ili kuwa salama ni muhimu wananchi wakachukua hatua ya usalama wao wakati wa mvua zinaponyesha.

Aidha baadhi ya wananchi ambao wanaathirika na maji katika nyumba zao wakati wa mvua zinaponyesha  Bw;Anacret Byamungu, Bi;Ameriani Waagira pamoja na Bw;Rameck Vedasto  waeiomba serikali kuwapatia makazi ya muda lakini pia kuiomba serikali kutengeneza miundo mbinu bora  itakayopisha maji vizuri na kuepusha mafuriko katika nyumba zao.

Continue Reading

Previous: Rais Ruto wa Kenya amesema kuwa mageuzi ya kitaasisi, Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara Afrika
Next: Vipindi vyetu vyote

Related Stories

Ajali same
  • Habari

Serikali imetoa Sh.milioni 126 kwaajili ya maziko ajali ya Same

RADIO KWIZERA July 3, 2025
khatibu
  • Habari

Tume ya Haki za Binadamu waangalizi wa uchaguzi mkuu

RADIO KWIZERA July 3, 2025
Gerison msigwa
  • Habari

Serikali ya kanusha njama ya kumwekea sumu Tundu Lissu,

RADIO KWIZERA July 3, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Serikali imetoa Sh.milioni 126 kwaajili ya maziko ajali ya Same Ajali same 1

Serikali imetoa Sh.milioni 126 kwaajili ya maziko ajali ya Same

July 3, 2025
Tume ya Haki za Binadamu waangalizi wa uchaguzi mkuu khatibu 2

Tume ya Haki za Binadamu waangalizi wa uchaguzi mkuu

July 3, 2025
Serikali ya kanusha njama ya kumwekea sumu Tundu Lissu, Gerison msigwa 3

Serikali ya kanusha njama ya kumwekea sumu Tundu Lissu,

July 3, 2025
Tanzania na Vietnam kudumisha uwekezaji biashara, kilimo,ulinzi Dkt. Philip Mpango 4

Tanzania na Vietnam kudumisha uwekezaji biashara, kilimo,ulinzi

July 2, 2025
Dkt.Biteko: Tanzania kuzalisha umeme utokanao na nyuklia DKT BITEKO 5

Dkt.Biteko: Tanzania kuzalisha umeme utokanao na nyuklia

July 1, 2025

ulizokosa

Ajali same
  • Habari

Serikali imetoa Sh.milioni 126 kwaajili ya maziko ajali ya Same

RADIO KWIZERA July 3, 2025
khatibu
  • Habari

Tume ya Haki za Binadamu waangalizi wa uchaguzi mkuu

RADIO KWIZERA July 3, 2025
Gerison msigwa
  • Habari

Serikali ya kanusha njama ya kumwekea sumu Tundu Lissu,

RADIO KWIZERA July 3, 2025
Dkt. Philip Mpango
  • Kimataifa

Tanzania na Vietnam kudumisha uwekezaji biashara, kilimo,ulinzi

RADIO KWIZERA July 2, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

Afya amani Biashara Business CCM Geita Hukumu Jeshi la polisi Jeshi la polisi Geita Jeshi la polisi kasulu Kakonko DC Katibu mkuu Katibu tawala Kigoma Kero wananchi Kigoma Kujiunga na mfumo kushirikiana kuwatunza wazee makamu wa rais mali ya wizi Masko ya usiku Mgodi Michezo Muleba Newsbeat NIDA Papa Leo XIV Radio Kwizera Rais Samia Shule ya amali uchaguzi mkuu Uimarishaji Mipaka ujenzi simiyu Ukatili Ulinzi Uzinduzi WAFUGAJI watu wanne wameuwawa wazee Wazee geita Waziri Mkuu wilaya ya kakonko Wizara ya Afya Wizara ya Ardhi World
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ