Skip to content
December 4, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • Elimu na Afya
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Majanga
  • Newsbeat
  • Tanzania

Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
bukoba-6

Wananchi katika manispaa ya Bukoba mkoani Kagera wanaoishi maeneo ambayo nyumba zao hujaa maji pindi mvua zinaponyesha wametakiwa kuchukua tahadhari ya kwenda maeneo salama ili kuepuka athari zinazoweza kujitokeza.

Rai hiyo imetolewa na kutoka kitengo cha mazingira kinachojihusisha na mambo ya maafa katika kanisa la KKT dayosisi ya kaskazini magharibi pamoja na shirika la TCRS Bw. Danson Kateme wakati akizungumza na Radio kwizera na kueleza kuwa ili kuwa salama ni muhimu wananchi wakachukua hatua ya usalama wao wakati wa mvua zinaponyesha.

Aidha baadhi ya wananchi ambao wanaathirika na maji katika nyumba zao wakati wa mvua zinaponyesha  Bw;Anacret Byamungu, Bi;Ameriani Waagira pamoja na Bw;Rameck Vedasto  waeiomba serikali kuwapatia makazi ya muda lakini pia kuiomba serikali kutengeneza miundo mbinu bora  itakayopisha maji vizuri na kuepusha mafuriko katika nyumba zao.

Continue Reading

Previous: Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi
Next: TFS – Chato umeweka mkakati wa kukuza uchumi wa kaboni

Related Stories

M 23 1
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Usalama

Jeshi la DRC limelaani mashambulizi ya M23 kwenye ngome zake

Radio Kwizera December 3, 2025
BANG
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Mama (65) akamatwaMkoani Katavi kwa tuhuma za kulima bangi.

Radio Kwizera December 3, 2025
chchaaaa
  • Habari
  • Health

Watano wamekamatwa Afisa Tabibu kumbaka mgonjwa Tabora.

Radio Kwizera December 2, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Jeshi la DRC limelaani mashambulizi ya M23 kwenye ngome zake M 23 1 1

Jeshi la DRC limelaani mashambulizi ya M23 kwenye ngome zake

December 3, 2025
Mama (65) akamatwaMkoani Katavi kwa tuhuma za kulima bangi. BANG 2

Mama (65) akamatwaMkoani Katavi kwa tuhuma za kulima bangi.

December 3, 2025
Watano wamekamatwa Afisa Tabibu kumbaka mgonjwa Tabora. chchaaaa 3

Watano wamekamatwa Afisa Tabibu kumbaka mgonjwa Tabora.

December 2, 2025
Rais Dkt. Samia amesema Serikali yake haitakiwi kuamrishwa . SAMIA 4

Rais Dkt. Samia amesema Serikali yake haitakiwi kuamrishwa .

December 2, 2025
Shilingi bilioni 189 kwa huduma za Ukimwi Tanzania sAMIZIs 5

Shilingi bilioni 189 kwa huduma za Ukimwi Tanzania

December 1, 2025

ulizokosa

M 23 1
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Usalama

Jeshi la DRC limelaani mashambulizi ya M23 kwenye ngome zake

Radio Kwizera December 3, 2025
BANG
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Mama (65) akamatwaMkoani Katavi kwa tuhuma za kulima bangi.

Radio Kwizera December 3, 2025
chchaaaa
  • Habari
  • Health

Watano wamekamatwa Afisa Tabibu kumbaka mgonjwa Tabora.

Radio Kwizera December 2, 2025
SAMIA
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa

Rais Dkt. Samia amesema Serikali yake haitakiwi kuamrishwa .

Radio Kwizera December 2, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva CCM CHADEMA Elimu Familia Fursa Geita Grammy Hukumu INEC Jeshi la polisi Kahama Kampeni Kanisa Kanisa Katoliki Kigoma Mafunzo Mgodi Miradi ya maendeleo Muleba muziki Mwanza Newsbeat Ngara Nigeria Polisi Radio Kwizera Rushwa Samia Serikali TAKUKURU Tanzania Uchaguzi uchaguzi mkuu Uchumi Ulinzi Ushirikiano Vijana Vurugu Watanzania Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ