Skip to content
December 15, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • Elimu na Afya
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • TFS – Chato umeweka mkakati wa kukuza uchumi wa kaboni
  • Afrika Mashariki
  • Biashara na Uchumi
  • Habari
  • Health
  • Tanzania

TFS – Chato umeweka mkakati wa kukuza uchumi wa kaboni

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
tc-el-desarrollo-sustentable-y-el-gas-natural-1200x675

Wakala wa huduma za misitu Tanzania TFS wilaya ya Chato mkoani Geita amesema ameweka mkakati wa kukuza uchumi wa kaboni katika wilaya hiyo kwa kuwafundisha vijana mbinu Bora za upandaji wa miti katika mazingira.

Mkuu wa hifadhi ya shamba la miti Silayo wilayani humo mhifadhi mwandamizi wa misitu Juma Mwita ameeleza hayo wakati akiongea na radio Kwizera juu ya namna ambavyo idara hiyo imejipanga kukuza uchumi unaotokana na misitu (kaboni)

Amesema zaidi ya vijana elfu ishirini wamekwisha jiandikisha kwa ajili ya kupatiwa mafunzo na kwamba kwa wale watakaokua na mashamba watapewa miche bure ili wakalisaidie taifa kuhamasisha uchumi utokanao na mazao ya misitu.

Mkuu wa wilaya ya Chato Louis Bura amesema mkakati huo ni mzuri na una manufaa katika uhifadhi wa mazingira na kuwataka vijana wa wilaya hiyo kuhakikisha wanachangamkia fursa za upandaji wa miti na kwamba biashara ya mazao ya misitu ina soko la uhakika.

Continue Reading

Previous: Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari
Next: Vipindi vyetu vyote

Related Stories

MITEGO YA SENENE
  • Afrika Mashariki
  • Biashara na Uchumi
  • Jamii
  • Tanzania

Zimamoto Muleba:Watega senene chukueni tahadhari.

Radio Kwizera December 12, 2025
NDAYISHIMIYE
  • Africa
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Jamii

Rais Ndayishimiye: Vijana wa Afrika fanyeni miradi ya amendeleo.

Radio Kwizera December 12, 2025
ULEGA MWANZA
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Ulega: Daraja la Mkuyuni Mwanza likamilike Januari 15, 2026.

Radio Kwizera December 12, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Zimamoto Muleba:Watega senene chukueni tahadhari. MITEGO YA SENENE 1

Zimamoto Muleba:Watega senene chukueni tahadhari.

December 12, 2025
Rais Ndayishimiye: Vijana wa Afrika fanyeni miradi ya amendeleo. NDAYISHIMIYE 2

Rais Ndayishimiye: Vijana wa Afrika fanyeni miradi ya amendeleo.

December 12, 2025
Ulega: Daraja la Mkuyuni Mwanza likamilike Januari 15, 2026. ULEGA MWANZA 3

Ulega: Daraja la Mkuyuni Mwanza likamilike Januari 15, 2026.

December 12, 2025
Waziri wa zamani wa Afya, Jenista Mhagama, amefariki dunia leo. MHAGAMA 4

Waziri wa zamani wa Afya, Jenista Mhagama, amefariki dunia leo.

December 11, 2025
Waasi wa M23 waingia Uvira DRC, Maelfu wakimbilia Burundi. Wakimbizi DRC 5

Waasi wa M23 waingia Uvira DRC, Maelfu wakimbilia Burundi.

December 10, 2025

ulizokosa

MITEGO YA SENENE
  • Afrika Mashariki
  • Biashara na Uchumi
  • Jamii
  • Tanzania

Zimamoto Muleba:Watega senene chukueni tahadhari.

Radio Kwizera December 12, 2025
NDAYISHIMIYE
  • Africa
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Jamii

Rais Ndayishimiye: Vijana wa Afrika fanyeni miradi ya amendeleo.

Radio Kwizera December 12, 2025
ULEGA MWANZA
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Ulega: Daraja la Mkuyuni Mwanza likamilike Januari 15, 2026.

Radio Kwizera December 12, 2025
MHAGAMA
  • Jamii
  • Tanzania

Waziri wa zamani wa Afya, Jenista Mhagama, amefariki dunia leo.

Radio Kwizera December 11, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva CCM CHADEMA Elimu Familia Fursa Geita Grammy Hukumu INEC Jeshi la polisi Kahama Kampeni Kanisa Kanisa Katoliki Kigoma Mafunzo Mgodi Miradi ya maendeleo Muleba muziki Mwanza Newsbeat Ngara Nigeria Polisi Radio Kwizera Rushwa Samia Serikali TAKUKURU Tanzania Uchaguzi uchaguzi mkuu Uchumi Ulinzi Ushirikiano Vijana Vurugu Watanzania Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ