Skip to content
October 29, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • Elimu na Afya
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • TFS – Chato umeweka mkakati wa kukuza uchumi wa kaboni
  • Afrika Mashariki
  • Biashara na Uchumi
  • Habari
  • Health
  • Tanzania

TFS – Chato umeweka mkakati wa kukuza uchumi wa kaboni

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
tc-el-desarrollo-sustentable-y-el-gas-natural-1200x675

Wakala wa huduma za misitu Tanzania TFS wilaya ya Chato mkoani Geita amesema ameweka mkakati wa kukuza uchumi wa kaboni katika wilaya hiyo kwa kuwafundisha vijana mbinu Bora za upandaji wa miti katika mazingira.

Mkuu wa hifadhi ya shamba la miti Silayo wilayani humo mhifadhi mwandamizi wa misitu Juma Mwita ameeleza hayo wakati akiongea na radio Kwizera juu ya namna ambavyo idara hiyo imejipanga kukuza uchumi unaotokana na misitu (kaboni)

Amesema zaidi ya vijana elfu ishirini wamekwisha jiandikisha kwa ajili ya kupatiwa mafunzo na kwamba kwa wale watakaokua na mashamba watapewa miche bure ili wakalisaidie taifa kuhamasisha uchumi utokanao na mazao ya misitu.

Mkuu wa wilaya ya Chato Louis Bura amesema mkakati huo ni mzuri na una manufaa katika uhifadhi wa mazingira na kuwataka vijana wa wilaya hiyo kuhakikisha wanachangamkia fursa za upandaji wa miti na kwamba biashara ya mazao ya misitu ina soko la uhakika.

Continue Reading

Previous: Rais Ruto wa Kenya amesema kuwa mageuzi ya kitaasisi, Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara Afrika
Next: Vipindi vyetu vyote

Related Stories

Hamza
  • Habari
  • Siasa
  • Stories
  • Tanzania

Mwanasheria Mkuu wa Serikali atahadharisha maandamano

Radio Kwizera October 28, 2025
b3c83057-74de-4a41-ab54-f7bff8324df3.jpg
  • Afrika Mashariki
  • Ajali
  • Habari
  • Majanga

12 wahofiwa kufariki ajali ya ndege Kenya

Radio Kwizera October 28, 2025
Misimeeee
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Stories
  • Tanzania

Jeshi la Polisi lawahakikishia Usalama wananchi Uchaguzi Mkuu

Radio Kwizera October 28, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Mwanasheria Mkuu wa Serikali atahadharisha maandamano Hamza 1

Mwanasheria Mkuu wa Serikali atahadharisha maandamano

October 28, 2025
20 Percent karudi upya 20-Percent-Inachoma 2

20 Percent karudi upya

October 28, 2025
12 wahofiwa kufariki ajali ya ndege Kenya b3c83057-74de-4a41-ab54-f7bff8324df3.jpg 3

12 wahofiwa kufariki ajali ya ndege Kenya

October 28, 2025
Jeshi la Polisi lawahakikishia Usalama wananchi Uchaguzi Mkuu Misimeeee 4

Jeshi la Polisi lawahakikishia Usalama wananchi Uchaguzi Mkuu

October 28, 2025
Dkt. Samia apongeza watanzania kufanya Kampeni za Kistaarabu SAMIA MWANZA 5

Dkt. Samia apongeza watanzania kufanya Kampeni za Kistaarabu

October 28, 2025

ulizokosa

Hamza
  • Habari
  • Siasa
  • Stories
  • Tanzania

Mwanasheria Mkuu wa Serikali atahadharisha maandamano

Radio Kwizera October 28, 2025
20-Percent-Inachoma
  • Burudani

20 Percent karudi upya

Radio Kwizera October 28, 2025
b3c83057-74de-4a41-ab54-f7bff8324df3.jpg
  • Afrika Mashariki
  • Ajali
  • Habari
  • Majanga

12 wahofiwa kufariki ajali ya ndege Kenya

Radio Kwizera October 28, 2025
Misimeeee
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Stories
  • Tanzania

Jeshi la Polisi lawahakikishia Usalama wananchi Uchaguzi Mkuu

Radio Kwizera October 28, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva Cardi B CCM CHADEMA Demokrasia Elimu Fursa Geita Grammy Hukumu INEC Jeshi la polisi KAGERA Kahama Kampeni Kanisa Katoliki Kigoma Mafunzo Mgodi Muleba muziki Mwanza Mwenge wa uhuru Newsbeat Ngara Polisi Radio Kwizera Rais wa Zanzibar Rapa Rushwa Samia TAKUKURU Tanzania TRA Uchaguzi Uchumi Ulinzi Ushirikiano Vurugu Watanzania Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ