Skip to content
June 13, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • TFS – Chato umeweka mkakati wa kukuza uchumi wa kaboni
  • Afrika Mashariki
  • Biashara na uchumi
  • Habari
  • Health
  • Tanzania

TFS – Chato umeweka mkakati wa kukuza uchumi wa kaboni

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
RADIO KWIZERA April 10, 2025
tc-el-desarrollo-sustentable-y-el-gas-natural-1200x675

Wakala wa huduma za misitu Tanzania TFS wilaya ya Chato mkoani Geita amesema ameweka mkakati wa kukuza uchumi wa kaboni katika wilaya hiyo kwa kuwafundisha vijana mbinu Bora za upandaji wa miti katika mazingira.

Mkuu wa hifadhi ya shamba la miti Silayo wilayani humo mhifadhi mwandamizi wa misitu Juma Mwita ameeleza hayo wakati akiongea na radio Kwizera juu ya namna ambavyo idara hiyo imejipanga kukuza uchumi unaotokana na misitu (kaboni)

Amesema zaidi ya vijana elfu ishirini wamekwisha jiandikisha kwa ajili ya kupatiwa mafunzo na kwamba kwa wale watakaokua na mashamba watapewa miche bure ili wakalisaidie taifa kuhamasisha uchumi utokanao na mazao ya misitu.

Mkuu wa wilaya ya Chato Louis Bura amesema mkakati huo ni mzuri na una manufaa katika uhifadhi wa mazingira na kuwataka vijana wa wilaya hiyo kuhakikisha wanachangamkia fursa za upandaji wa miti na kwamba biashara ya mazao ya misitu ina soko la uhakika.

Continue Reading

Previous: Rais Ruto wa Kenya amesema kuwa mageuzi ya kitaasisi, Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara Afrika
Next: Vipindi vyetu vyote

Related Stories

KITILA
  • Biashara na uchumi
  • Habari
  • Tanzania

Uchumi wa Tanzania unaendelea kukua, Profesa Mkumbo.

RADIO KWIZERA June 12, 2025
mpaka
  • Habari
  • Jamii
  • Kimataifa
  • Tanzania

Tanzania na Rwanda zakutana kujadili uimarishaji wa mpaka

RADIO KWIZERA June 9, 2025
MKUU WA WILAYA BUKOBA
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Raia wa kigeni 13 walioingia kinyume na utaratibu wakamatwa

RADIO KWIZERA June 9, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Uchumi wa Tanzania unaendelea kukua, Profesa Mkumbo. KITILA 1

Uchumi wa Tanzania unaendelea kukua, Profesa Mkumbo.

June 12, 2025
Tanzania na Rwanda zakutana kujadili uimarishaji wa mpaka mpaka 2

Tanzania na Rwanda zakutana kujadili uimarishaji wa mpaka

June 9, 2025
Raia wa kigeni 13 walioingia kinyume na utaratibu wakamatwa MKUU WA WILAYA BUKOBA 3

Raia wa kigeni 13 walioingia kinyume na utaratibu wakamatwa

June 9, 2025
Wanafunzi 214,141 kujiunga na kidato cha tano, vyuo vya ufundi. Mchengerwa 4

Wanafunzi 214,141 kujiunga na kidato cha tano, vyuo vya ufundi.

June 6, 2025
Bilioni 2 kujenga miundombinu mipya ya elimu Kakonko WhatsApp Image 2025-06-04 at 12.46.05 5

Bilioni 2 kujenga miundombinu mipya ya elimu Kakonko

June 5, 2025

ulizokosa

KITILA
  • Biashara na uchumi
  • Habari
  • Tanzania

Uchumi wa Tanzania unaendelea kukua, Profesa Mkumbo.

RADIO KWIZERA June 12, 2025
mpaka
  • Habari
  • Jamii
  • Kimataifa
  • Tanzania

Tanzania na Rwanda zakutana kujadili uimarishaji wa mpaka

RADIO KWIZERA June 9, 2025
MKUU WA WILAYA BUKOBA
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Raia wa kigeni 13 walioingia kinyume na utaratibu wakamatwa

RADIO KWIZERA June 9, 2025
Mchengerwa
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Wanafunzi 214,141 kujiunga na kidato cha tano, vyuo vya ufundi.

RADIO KWIZERA June 6, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

Afya amani Biharamulo Business CCM Dkt. Mpango Halmashauri Ibambala AMCOS jengo jipya Jeshi la polisi Geita Kakonko DC Kampeni Kanisa Katoliki Kigoma Kugawanyika Kuhatarisha Mabadiliko makamu wa rais Michezo Msamaha Muleba Newsbeat Nyakagomba Geita Papa Leo XIV Radio Kwizera Rais Ruto Rais Samia Sheria taasisi TAKUKURU Ukuaji uchumi Ushirikiano Viongozi kuwa Vishoka Vyandarua Waganga wa kienyeji Wageni Wakuu wa Idara Wananchama Wasoma mita Watanzania Waziri Mkuu waziri wa Maji Wizara ya Afya World
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ