Skip to content
July 30, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • TFS – Chato umeweka mkakati wa kukuza uchumi wa kaboni
  • Afrika Mashariki
  • Biashara na Uchumi
  • Habari
  • Health
  • Tanzania

TFS – Chato umeweka mkakati wa kukuza uchumi wa kaboni

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
RADIO KWIZERA April 10, 2025
tc-el-desarrollo-sustentable-y-el-gas-natural-1200x675

Wakala wa huduma za misitu Tanzania TFS wilaya ya Chato mkoani Geita amesema ameweka mkakati wa kukuza uchumi wa kaboni katika wilaya hiyo kwa kuwafundisha vijana mbinu Bora za upandaji wa miti katika mazingira.

Mkuu wa hifadhi ya shamba la miti Silayo wilayani humo mhifadhi mwandamizi wa misitu Juma Mwita ameeleza hayo wakati akiongea na radio Kwizera juu ya namna ambavyo idara hiyo imejipanga kukuza uchumi unaotokana na misitu (kaboni)

Amesema zaidi ya vijana elfu ishirini wamekwisha jiandikisha kwa ajili ya kupatiwa mafunzo na kwamba kwa wale watakaokua na mashamba watapewa miche bure ili wakalisaidie taifa kuhamasisha uchumi utokanao na mazao ya misitu.

Mkuu wa wilaya ya Chato Louis Bura amesema mkakati huo ni mzuri na una manufaa katika uhifadhi wa mazingira na kuwataka vijana wa wilaya hiyo kuhakikisha wanachangamkia fursa za upandaji wa miti na kwamba biashara ya mazao ya misitu ina soko la uhakika.

Continue Reading

Previous: Rais Ruto wa Kenya amesema kuwa mageuzi ya kitaasisi, Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara Afrika
Next: Vipindi vyetu vyote

Related Stories

mkurugenzi 2
  • Habari

Wananchi watakiwa kujitokeza kupokea Mwenge Kahama 2025

RADIO KWIZERA July 29, 2025
SAMIA 2
  • Habari

Rais Samia ashiriki maadhimisho ya kumbukumbu ya Mashujaa

RADIO KWIZERA July 25, 2025
LEA 1
  • Habari

NACOPHA wapongeza kufufuliwa Viwanda vya ARV

RADIO KWIZERA July 25, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Wananchi watakiwa kujitokeza kupokea Mwenge Kahama 2025 mkurugenzi 2 1

Wananchi watakiwa kujitokeza kupokea Mwenge Kahama 2025

July 29, 2025
Waandishi wa habari Ngara wahimizwa kuzuia rushwa IMG-20250725-WA0009 2

Waandishi wa habari Ngara wahimizwa kuzuia rushwa

July 25, 2025
Rais Samia ashiriki maadhimisho ya kumbukumbu ya Mashujaa SAMIA 2 3

Rais Samia ashiriki maadhimisho ya kumbukumbu ya Mashujaa

July 25, 2025
NACOPHA wapongeza kufufuliwa Viwanda vya ARV LEA 1 4

NACOPHA wapongeza kufufuliwa Viwanda vya ARV

July 25, 2025
Polisi: Taarifa mabaki ya viungo vya binadamu kuonekana ipuuzwe muliro2 5

Polisi: Taarifa mabaki ya viungo vya binadamu kuonekana ipuuzwe

July 24, 2025

ulizokosa

mkurugenzi 2
  • Habari

Wananchi watakiwa kujitokeza kupokea Mwenge Kahama 2025

RADIO KWIZERA July 29, 2025
IMG-20250725-WA0009
  • Rushwa

Waandishi wa habari Ngara wahimizwa kuzuia rushwa

RADIO KWIZERA July 25, 2025
SAMIA 2
  • Habari

Rais Samia ashiriki maadhimisho ya kumbukumbu ya Mashujaa

RADIO KWIZERA July 25, 2025
LEA 1
  • Habari

NACOPHA wapongeza kufufuliwa Viwanda vya ARV

RADIO KWIZERA July 25, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Business CCM CHADEMA Dawa za kulevya Diplomasia Fursa Geita Hukumu Jeshi la polisi Jeshi la polisi Geita Kanisa Katoliki Kasulu Katibu mkuu Kigoma kushirikiana makamu wa rais mali ya wizi Mazingira Mgodi Michezo Muleba Mwanza Newsbeat Ngara NIDA nishati safi Papa Leo XIV Radio Kwizera Raia wa kigeni TAKUKURU uchaguzi mkuu Uchumi Uimarishaji Mipaka Ulinzi Viwanda Waganga wa kienyeji Watia nia Waziri Mkuu wilaya ya kakonko Wizara ya Afya Wizara ya Ardhi World
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ