Skip to content
November 8, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • Elimu na Afya
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Majanga
  • Newsbeat
  • Tanzania

Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
bukoba-6

Wananchi katika manispaa ya Bukoba mkoani Kagera wanaoishi maeneo ambayo nyumba zao hujaa maji pindi mvua zinaponyesha wametakiwa kuchukua tahadhari ya kwenda maeneo salama ili kuepuka athari zinazoweza kujitokeza.

Rai hiyo imetolewa na kutoka kitengo cha mazingira kinachojihusisha na mambo ya maafa katika kanisa la KKT dayosisi ya kaskazini magharibi pamoja na shirika la TCRS Bw. Danson Kateme wakati akizungumza na Radio kwizera na kueleza kuwa ili kuwa salama ni muhimu wananchi wakachukua hatua ya usalama wao wakati wa mvua zinaponyesha.

Aidha baadhi ya wananchi ambao wanaathirika na maji katika nyumba zao wakati wa mvua zinaponyesha  Bw;Anacret Byamungu, Bi;Ameriani Waagira pamoja na Bw;Rameck Vedasto  waeiomba serikali kuwapatia makazi ya muda lakini pia kuiomba serikali kutengeneza miundo mbinu bora  itakayopisha maji vizuri na kuepusha mafuriko katika nyumba zao.

Continue Reading

Previous: Rais Ruto wa Kenya amesema kuwa mageuzi ya kitaasisi, Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara Afrika
Next: Vipindi vyetu vyote

Related Stories

Hamza
  • Habari
  • Siasa
  • Stories
  • Tanzania

Mwanasheria Mkuu wa Serikali atahadharisha maandamano

Radio Kwizera October 28, 2025
b3c83057-74de-4a41-ab54-f7bff8324df3.jpg
  • Afrika Mashariki
  • Ajali
  • Habari
  • Majanga

12 wahofiwa kufariki ajali ya ndege Kenya

Radio Kwizera October 28, 2025
Misimeeee
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Stories
  • Tanzania

Jeshi la Polisi lawahakikishia Usalama wananchi Uchaguzi Mkuu

Radio Kwizera October 28, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Mwanasheria Mkuu wa Serikali atahadharisha maandamano Hamza 1

Mwanasheria Mkuu wa Serikali atahadharisha maandamano

October 28, 2025
20 Percent karudi upya 20-Percent-Inachoma 2

20 Percent karudi upya

October 28, 2025
12 wahofiwa kufariki ajali ya ndege Kenya b3c83057-74de-4a41-ab54-f7bff8324df3.jpg 3

12 wahofiwa kufariki ajali ya ndege Kenya

October 28, 2025
Jeshi la Polisi lawahakikishia Usalama wananchi Uchaguzi Mkuu Misimeeee 4

Jeshi la Polisi lawahakikishia Usalama wananchi Uchaguzi Mkuu

October 28, 2025
Dkt. Samia apongeza watanzania kufanya Kampeni za Kistaarabu SAMIA MWANZA 5

Dkt. Samia apongeza watanzania kufanya Kampeni za Kistaarabu

October 28, 2025

ulizokosa

Hamza
  • Habari
  • Siasa
  • Stories
  • Tanzania

Mwanasheria Mkuu wa Serikali atahadharisha maandamano

Radio Kwizera October 28, 2025
20-Percent-Inachoma
  • Burudani

20 Percent karudi upya

Radio Kwizera October 28, 2025
b3c83057-74de-4a41-ab54-f7bff8324df3.jpg
  • Afrika Mashariki
  • Ajali
  • Habari
  • Majanga

12 wahofiwa kufariki ajali ya ndege Kenya

Radio Kwizera October 28, 2025
Misimeeee
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Stories
  • Tanzania

Jeshi la Polisi lawahakikishia Usalama wananchi Uchaguzi Mkuu

Radio Kwizera October 28, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva Cardi B CCM CHADEMA Demokrasia Elimu Fursa Geita Grammy Hukumu INEC Jeshi la polisi KAGERA Kahama Kampeni Kanisa Katoliki Kigoma Mafunzo Mgodi Muleba muziki Mwanza Mwenge wa uhuru Newsbeat Ngara Polisi Radio Kwizera Rais wa Zanzibar Rapa Rushwa Samia TAKUKURU Tanzania TRA Uchaguzi Uchumi Ulinzi Ushirikiano Vurugu Watanzania Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ