Skip to content
November 21, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • Elimu na Afya
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Majanga
  • Newsbeat
  • Tanzania

Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
bukoba-6

Wananchi katika manispaa ya Bukoba mkoani Kagera wanaoishi maeneo ambayo nyumba zao hujaa maji pindi mvua zinaponyesha wametakiwa kuchukua tahadhari ya kwenda maeneo salama ili kuepuka athari zinazoweza kujitokeza.

Rai hiyo imetolewa na kutoka kitengo cha mazingira kinachojihusisha na mambo ya maafa katika kanisa la KKT dayosisi ya kaskazini magharibi pamoja na shirika la TCRS Bw. Danson Kateme wakati akizungumza na Radio kwizera na kueleza kuwa ili kuwa salama ni muhimu wananchi wakachukua hatua ya usalama wao wakati wa mvua zinaponyesha.

Aidha baadhi ya wananchi ambao wanaathirika na maji katika nyumba zao wakati wa mvua zinaponyesha  Bw;Anacret Byamungu, Bi;Ameriani Waagira pamoja na Bw;Rameck Vedasto  waeiomba serikali kuwapatia makazi ya muda lakini pia kuiomba serikali kutengeneza miundo mbinu bora  itakayopisha maji vizuri na kuepusha mafuriko katika nyumba zao.

Continue Reading

Previous: Rais Ruto wa Kenya amesema kuwa mageuzi ya kitaasisi, Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara Afrika
Next: Vipindi vyetu vyote

Related Stories

bweni-pic
  • Elimu na Afya
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Mabweni mawili yateketea kwa Moto Sumve, Polisi Yachunguza

Radio Kwizera November 21, 2025
Misimeeee
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Tanzania

Polisi yatahadharisha kauli zinazochochea Uvunjifu wa Amani

Radio Kwizera November 21, 2025
ANYONGAAA
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Baba amuua mwanaye, Kisha yeye Kujinyonga, Mbeya

Radio Kwizera November 21, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Mabweni mawili yateketea kwa Moto Sumve, Polisi Yachunguza bweni-pic 1

Mabweni mawili yateketea kwa Moto Sumve, Polisi Yachunguza

November 21, 2025
Polisi yatahadharisha kauli zinazochochea Uvunjifu wa Amani Misimeeee 2

Polisi yatahadharisha kauli zinazochochea Uvunjifu wa Amani

November 21, 2025
Baba amuua mwanaye, Kisha yeye Kujinyonga, Mbeya ANYONGAAA 3

Baba amuua mwanaye, Kisha yeye Kujinyonga, Mbeya

November 21, 2025
Waziri Mkuu aagiza Mkandarasi akamatwe Singida Mwigulu 4

Waziri Mkuu aagiza Mkandarasi akamatwe Singida

November 21, 2025
Chadwick Boseman apewa tuzo ya Hollywood Walk of Fame chadwick_boseman-copy 5

Chadwick Boseman apewa tuzo ya Hollywood Walk of Fame

November 21, 2025

ulizokosa

bweni-pic
  • Elimu na Afya
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Mabweni mawili yateketea kwa Moto Sumve, Polisi Yachunguza

Radio Kwizera November 21, 2025
Misimeeee
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Tanzania

Polisi yatahadharisha kauli zinazochochea Uvunjifu wa Amani

Radio Kwizera November 21, 2025
ANYONGAAA
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Baba amuua mwanaye, Kisha yeye Kujinyonga, Mbeya

Radio Kwizera November 21, 2025
Mwigulu
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Waziri Mkuu aagiza Mkandarasi akamatwe Singida

Radio Kwizera November 21, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva Cardi B CCM CHADEMA dola Elimu Familia Fursa Geita Grammy Hukumu INEC Jeshi la polisi Kahama Kampeni Kanisa Katoliki Kigoma Mafunzo mahakama Mgodi Muleba muziki Mwanza Newsbeat Ngara Polisi Radio Kwizera Rapa Rushwa Samia TAKUKURU Tanzania TRA Uchaguzi Uchumi Ulinzi Ushirikiano Vijana Vurugu Watanzania Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ