Skip to content
January 12, 2026
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • ELIMU NA AFYA
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
    • IFAHAMU RK
    • TIMU YETU
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Majanga
  • Newsbeat
  • Tanzania

Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
bukoba-6

Wananchi katika manispaa ya Bukoba mkoani Kagera wanaoishi maeneo ambayo nyumba zao hujaa maji pindi mvua zinaponyesha wametakiwa kuchukua tahadhari ya kwenda maeneo salama ili kuepuka athari zinazoweza kujitokeza.

Rai hiyo imetolewa na kutoka kitengo cha mazingira kinachojihusisha na mambo ya maafa katika kanisa la KKT dayosisi ya kaskazini magharibi pamoja na shirika la TCRS Bw. Danson Kateme wakati akizungumza na Radio kwizera na kueleza kuwa ili kuwa salama ni muhimu wananchi wakachukua hatua ya usalama wao wakati wa mvua zinaponyesha.

Aidha baadhi ya wananchi ambao wanaathirika na maji katika nyumba zao wakati wa mvua zinaponyesha  Bw;Anacret Byamungu, Bi;Ameriani Waagira pamoja na Bw;Rameck Vedasto  waeiomba serikali kuwapatia makazi ya muda lakini pia kuiomba serikali kutengeneza miundo mbinu bora  itakayopisha maji vizuri na kuepusha mafuriko katika nyumba zao.

Continue Reading

Previous: Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi
Next: TFS – Chato umeweka mkakati wa kukuza uchumi wa kaboni

Related Stories

mwinyi-pic
  • Habari
  • Jamii

Rais Mwinyi:Serikali kuwalipa fidia waliopisha miradi ya maendeleo.

Radio Kwizera January 6, 2026
EOAPjpg
  • Afrika Mashariki
  • Biashara na Uchumi
  • Habari
  • Tanzania

Waziri Ndejembi : Bomba la mafuta EACOP kukamilika Julai 2026.

Radio Kwizera January 5, 2026
papa-picc
  • Habari
  • Imani na Dini
  • Usalama

Papa Leo XIV ataka kusitishwa vita duniani wakati wa sikukuu.

Radio Kwizera December 24, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Rais Mwinyi:Serikali kuwalipa fidia waliopisha miradi ya maendeleo. mwinyi-pic 1

Rais Mwinyi:Serikali kuwalipa fidia waliopisha miradi ya maendeleo.

January 6, 2026
Waziri Ndejembi : Bomba la mafuta EACOP kukamilika Julai 2026. EOAPjpg 2

Waziri Ndejembi : Bomba la mafuta EACOP kukamilika Julai 2026.

January 5, 2026
Papa Leo XIV ataka kusitishwa vita duniani wakati wa sikukuu. papa-picc 3

Papa Leo XIV ataka kusitishwa vita duniani wakati wa sikukuu.

December 24, 2025
Pro. Janabi azitahadharisha nchi za Afrika bajeti za afya. JANABI 4

Pro. Janabi azitahadharisha nchi za Afrika bajeti za afya.

December 22, 2025
Wiz Khalifa amehukumiwa miaka 9 jela wiz-khalifa 5

Wiz Khalifa amehukumiwa miaka 9 jela

December 19, 2025

ulizokosa

mwinyi-pic
  • Habari
  • Jamii

Rais Mwinyi:Serikali kuwalipa fidia waliopisha miradi ya maendeleo.

Radio Kwizera January 6, 2026
EOAPjpg
  • Afrika Mashariki
  • Biashara na Uchumi
  • Habari
  • Tanzania

Waziri Ndejembi : Bomba la mafuta EACOP kukamilika Julai 2026.

Radio Kwizera January 5, 2026
papa-picc
  • Habari
  • Imani na Dini
  • Usalama

Papa Leo XIV ataka kusitishwa vita duniani wakati wa sikukuu.

Radio Kwizera December 24, 2025
JANABI
  • Africa
  • Elimu na Afya
  • Habari
  • Jamii

Pro. Janabi azitahadharisha nchi za Afrika bajeti za afya.

Radio Kwizera December 22, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva CCM CHADEMA Elimu Familia Fursa Geita Grammy Hukumu INEC Jeshi la polisi Kahama Kampeni Kanisa Kanisa Katoliki Kigoma mahakama Mgodi Muleba muziki Mwanza Newsbeat Ngara Nigeria Polisi Radio Kwizera Rais wa Zanzibar Rushwa Samia Serikali Sheria TAKUKURU Tanzania Uchaguzi uchaguzi mkuu Uchumi Ulinzi Ushirikiano Vurugu Watanzania Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ