Skip to content
November 20, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • Elimu na Afya
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Majanga
  • Newsbeat
  • Tanzania

Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
bukoba-6

Wananchi katika manispaa ya Bukoba mkoani Kagera wanaoishi maeneo ambayo nyumba zao hujaa maji pindi mvua zinaponyesha wametakiwa kuchukua tahadhari ya kwenda maeneo salama ili kuepuka athari zinazoweza kujitokeza.

Rai hiyo imetolewa na kutoka kitengo cha mazingira kinachojihusisha na mambo ya maafa katika kanisa la KKT dayosisi ya kaskazini magharibi pamoja na shirika la TCRS Bw. Danson Kateme wakati akizungumza na Radio kwizera na kueleza kuwa ili kuwa salama ni muhimu wananchi wakachukua hatua ya usalama wao wakati wa mvua zinaponyesha.

Aidha baadhi ya wananchi ambao wanaathirika na maji katika nyumba zao wakati wa mvua zinaponyesha  Bw;Anacret Byamungu, Bi;Ameriani Waagira pamoja na Bw;Rameck Vedasto  waeiomba serikali kuwapatia makazi ya muda lakini pia kuiomba serikali kutengeneza miundo mbinu bora  itakayopisha maji vizuri na kuepusha mafuriko katika nyumba zao.

Continue Reading

Previous: Rais Ruto wa Kenya amesema kuwa mageuzi ya kitaasisi, Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara Afrika
Next: Vipindi vyetu vyote

Related Stories

RPC MAGOMI
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Jamii
  • Majanga
  • Tanzania

Mwendesha Pikipiki Auwawa na wasiojulikana Kahama

Radio Kwizera November 19, 2025
Joshua Molel
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Jamii
  • Kimataifa
  • Majanga

Mwili wa Joshua Aliyeuwawa na Hamas Kurejeshwa Nchini Leo

Radio Kwizera November 19, 2025
CHALAMILA MBAGALA
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

RC Chalamila, Mwendokasi Kurejea Mbagala Nov 20, 2025

Radio Kwizera November 18, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Itare: Muziki ni mkusanyiko wa hisia In pursuit of greatness👑Ep out soon! 1

Itare: Muziki ni mkusanyiko wa hisia

November 19, 2025
Mwendesha Pikipiki Auwawa na wasiojulikana Kahama RPC MAGOMI 2

Mwendesha Pikipiki Auwawa na wasiojulikana Kahama

November 19, 2025
Nicki Minaj ahutubia UN kuhusu Uhuru wa kuabudu minaj 3

Nicki Minaj ahutubia UN kuhusu Uhuru wa kuabudu

November 19, 2025
Novemba 18 kuwa “Davido Day” Jijini Atlanta davido 4

Novemba 18 kuwa “Davido Day” Jijini Atlanta

November 19, 2025
Pharrell: Siasa ni mchezo wa Mazingaombwe pharell 5

Pharrell: Siasa ni mchezo wa Mazingaombwe

November 19, 2025

ulizokosa

In pursuit of greatness👑Ep out soon!
  • Burudani

Itare: Muziki ni mkusanyiko wa hisia

Radio Kwizera November 19, 2025
RPC MAGOMI
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Jamii
  • Majanga
  • Tanzania

Mwendesha Pikipiki Auwawa na wasiojulikana Kahama

Radio Kwizera November 19, 2025
minaj
  • English

Nicki Minaj ahutubia UN kuhusu Uhuru wa kuabudu

Radio Kwizera November 19, 2025
davido
  • Burudani

Novemba 18 kuwa “Davido Day” Jijini Atlanta

Radio Kwizera November 19, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva Cardi B CCM CHADEMA dola Elimu Familia Fursa Geita Grammy Hukumu INEC Jeshi la polisi Kahama Kampeni Kanisa Katoliki Kigoma Mafunzo mahakama Mgodi Muleba muziki Mwanza Newsbeat Ngara Polisi Radio Kwizera Rapa Rushwa Samia TAKUKURU Tanzania TRA Uchaguzi Uchumi Ulinzi Ushirikiano Vijana Vurugu Watanzania Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ