Skip to content
November 20, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • Elimu na Afya
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Majanga
  • Newsbeat
  • Tanzania

Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
bukoba-6

Wananchi katika manispaa ya Bukoba mkoani Kagera wanaoishi maeneo ambayo nyumba zao hujaa maji pindi mvua zinaponyesha wametakiwa kuchukua tahadhari ya kwenda maeneo salama ili kuepuka athari zinazoweza kujitokeza.

Rai hiyo imetolewa na kutoka kitengo cha mazingira kinachojihusisha na mambo ya maafa katika kanisa la KKT dayosisi ya kaskazini magharibi pamoja na shirika la TCRS Bw. Danson Kateme wakati akizungumza na Radio kwizera na kueleza kuwa ili kuwa salama ni muhimu wananchi wakachukua hatua ya usalama wao wakati wa mvua zinaponyesha.

Aidha baadhi ya wananchi ambao wanaathirika na maji katika nyumba zao wakati wa mvua zinaponyesha  Bw;Anacret Byamungu, Bi;Ameriani Waagira pamoja na Bw;Rameck Vedasto  waeiomba serikali kuwapatia makazi ya muda lakini pia kuiomba serikali kutengeneza miundo mbinu bora  itakayopisha maji vizuri na kuepusha mafuriko katika nyumba zao.

Continue Reading

Previous: Rais Ruto wa Kenya amesema kuwa mageuzi ya kitaasisi, Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara Afrika
Next: Vipindi vyetu vyote

Related Stories

Congo kuzama
  • Afrika Mashariki
  • Ajali
  • Habari
  • Kimataifa

Boti ya zama Mto Kisangani 70 hawajulikani wapo nchini DRC.

Radio Kwizera November 20, 2025
JENEZA LA JOSHUA JPG
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Jamii
  • Kimataifa
  • Majanga

Mwili wa Joshua Molele aliyeuawa Israel wawasili kwao Simanjiro.

Radio Kwizera November 20, 2025
RPC MAGOMI
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Jamii
  • Majanga
  • Tanzania

Mwendesha Pikipiki Auwawa na wasiojulikana Kahama

Radio Kwizera November 19, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

ODECA yatoa siku 7 fedha ya wakulima wa kahawa Burundi Ilipwe. Kahawa Burundi 1

ODECA yatoa siku 7 fedha ya wakulima wa kahawa Burundi Ilipwe.

November 20, 2025
Boti ya zama Mto Kisangani 70 hawajulikani wapo nchini DRC. Congo kuzama 2

Boti ya zama Mto Kisangani 70 hawajulikani wapo nchini DRC.

November 20, 2025
Mwili wa Joshua Molele aliyeuawa Israel wawasili kwao Simanjiro. JENEZA LA JOSHUA JPG 3

Mwili wa Joshua Molele aliyeuawa Israel wawasili kwao Simanjiro.

November 20, 2025
Chino Kidd kufanya kolabo na Mama Amina chinoo 4

Chino Kidd kufanya kolabo na Mama Amina

November 20, 2025
Hotuba ya Nick Minaj yazua Mjadala Mitandaoni minaj 5

Hotuba ya Nick Minaj yazua Mjadala Mitandaoni

November 20, 2025

ulizokosa

Kahawa Burundi
  • English

ODECA yatoa siku 7 fedha ya wakulima wa kahawa Burundi Ilipwe.

Radio Kwizera November 20, 2025
Congo kuzama
  • Afrika Mashariki
  • Ajali
  • Habari
  • Kimataifa

Boti ya zama Mto Kisangani 70 hawajulikani wapo nchini DRC.

Radio Kwizera November 20, 2025
JENEZA LA JOSHUA JPG
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Jamii
  • Kimataifa
  • Majanga

Mwili wa Joshua Molele aliyeuawa Israel wawasili kwao Simanjiro.

Radio Kwizera November 20, 2025
chinoo
  • Burudani

Chino Kidd kufanya kolabo na Mama Amina

Radio Kwizera November 20, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva Cardi B CCM CHADEMA dola Elimu Familia Fursa Geita Grammy Hukumu INEC Jeshi la polisi Kahama Kampeni Kanisa Katoliki Kigoma Mafunzo mahakama Mgodi Muleba muziki Mwanza Newsbeat Ngara Polisi Radio Kwizera Rapa Rushwa Samia TAKUKURU Tanzania TRA Uchaguzi Uchumi Ulinzi Ushirikiano Vijana Vurugu Watanzania Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ