Skip to content
November 19, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • Elimu na Afya
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Majanga
  • Newsbeat
  • Tanzania

Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
bukoba-6

Wananchi katika manispaa ya Bukoba mkoani Kagera wanaoishi maeneo ambayo nyumba zao hujaa maji pindi mvua zinaponyesha wametakiwa kuchukua tahadhari ya kwenda maeneo salama ili kuepuka athari zinazoweza kujitokeza.

Rai hiyo imetolewa na kutoka kitengo cha mazingira kinachojihusisha na mambo ya maafa katika kanisa la KKT dayosisi ya kaskazini magharibi pamoja na shirika la TCRS Bw. Danson Kateme wakati akizungumza na Radio kwizera na kueleza kuwa ili kuwa salama ni muhimu wananchi wakachukua hatua ya usalama wao wakati wa mvua zinaponyesha.

Aidha baadhi ya wananchi ambao wanaathirika na maji katika nyumba zao wakati wa mvua zinaponyesha  Bw;Anacret Byamungu, Bi;Ameriani Waagira pamoja na Bw;Rameck Vedasto  waeiomba serikali kuwapatia makazi ya muda lakini pia kuiomba serikali kutengeneza miundo mbinu bora  itakayopisha maji vizuri na kuepusha mafuriko katika nyumba zao.

Continue Reading

Previous: Rais Ruto wa Kenya amesema kuwa mageuzi ya kitaasisi, Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara Afrika
Next: Vipindi vyetu vyote

Related Stories

CHALAMILA MBAGALA
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

RC Chalamila, Mwendokasi Kurejea Mbagala Nov 20, 2025

Radio Kwizera November 18, 2025
Samia leo
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Tanzania

Yaliyotokea Oktoba 29 Yametutia Doa; Rais Samia

Radio Kwizera November 18, 2025
RC MTANDA AWATAKA WATAKWIMU KUTOA TAKWIMU SAHIHI KUCHAGIZA MAENDELEOMkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. (6)
  • Biashara na Uchumi
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Watakwimu watakiwa kutoa taarifa sahihi Kuchagiza Maendeleo

Radio Kwizera November 18, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

RC Chalamila, Mwendokasi Kurejea Mbagala Nov 20, 2025 CHALAMILA MBAGALA 1

RC Chalamila, Mwendokasi Kurejea Mbagala Nov 20, 2025

November 18, 2025
Yaliyotokea Oktoba 29 Yametutia Doa; Rais Samia Samia leo 2

Yaliyotokea Oktoba 29 Yametutia Doa; Rais Samia

November 18, 2025
Watakwimu watakiwa kutoa taarifa sahihi Kuchagiza Maendeleo RC MTANDA AWATAKA WATAKWIMU KUTOA TAKWIMU SAHIHI KUCHAGIZA MAENDELEOMkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. (6) 3

Watakwimu watakiwa kutoa taarifa sahihi Kuchagiza Maendeleo

November 18, 2025
Elon Musk atamani Bad Bunny aitwe Good Bunny musk-2 4

Elon Musk atamani Bad Bunny aitwe Good Bunny

November 18, 2025
Chris Brown aeleza mwelekeo wa Maisha yake 5

Chris Brown aeleza mwelekeo wa Maisha yake

November 18, 2025

ulizokosa

CHALAMILA MBAGALA
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

RC Chalamila, Mwendokasi Kurejea Mbagala Nov 20, 2025

Radio Kwizera November 18, 2025
Samia leo
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Tanzania

Yaliyotokea Oktoba 29 Yametutia Doa; Rais Samia

Radio Kwizera November 18, 2025
RC MTANDA AWATAKA WATAKWIMU KUTOA TAKWIMU SAHIHI KUCHAGIZA MAENDELEOMkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. (6)
  • Biashara na Uchumi
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Watakwimu watakiwa kutoa taarifa sahihi Kuchagiza Maendeleo

Radio Kwizera November 18, 2025
musk-2
  • Burudani

Elon Musk atamani Bad Bunny aitwe Good Bunny

Radio Kwizera November 18, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva Cardi B CCM CHADEMA Demokrasia dola Elimu Fursa Geita Grammy Hukumu INEC Jeshi la polisi Kahama Kampeni Kanisa Katoliki Kigoma Mafunzo mahakama Mgodi Muleba muziki Mwanza Newsbeat Ngara Polisi Radio Kwizera Rapa Rushwa Samia TAKUKURU Tanzania TRA Uchaguzi Uchumi Ulinzi Ushirikiano Vijana Vurugu Watanzania Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ