Skip to content
December 13, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • Elimu na Afya
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Majanga
  • Newsbeat
  • Tanzania

Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
bukoba-6

Wananchi katika manispaa ya Bukoba mkoani Kagera wanaoishi maeneo ambayo nyumba zao hujaa maji pindi mvua zinaponyesha wametakiwa kuchukua tahadhari ya kwenda maeneo salama ili kuepuka athari zinazoweza kujitokeza.

Rai hiyo imetolewa na kutoka kitengo cha mazingira kinachojihusisha na mambo ya maafa katika kanisa la KKT dayosisi ya kaskazini magharibi pamoja na shirika la TCRS Bw. Danson Kateme wakati akizungumza na Radio kwizera na kueleza kuwa ili kuwa salama ni muhimu wananchi wakachukua hatua ya usalama wao wakati wa mvua zinaponyesha.

Aidha baadhi ya wananchi ambao wanaathirika na maji katika nyumba zao wakati wa mvua zinaponyesha  Bw;Anacret Byamungu, Bi;Ameriani Waagira pamoja na Bw;Rameck Vedasto  waeiomba serikali kuwapatia makazi ya muda lakini pia kuiomba serikali kutengeneza miundo mbinu bora  itakayopisha maji vizuri na kuepusha mafuriko katika nyumba zao.

Continue Reading

Previous: Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi
Next: TFS – Chato umeweka mkakati wa kukuza uchumi wa kaboni

Related Stories

MITEGO YA SENENE
  • Afrika Mashariki
  • Biashara na Uchumi
  • Jamii
  • Tanzania

Zimamoto Muleba:Watega senene chukueni tahadhari.

Radio Kwizera December 12, 2025
NDAYISHIMIYE
  • Africa
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Jamii

Rais Ndayishimiye: Vijana wa Afrika fanyeni miradi ya amendeleo.

Radio Kwizera December 12, 2025
ULEGA MWANZA
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Ulega: Daraja la Mkuyuni Mwanza likamilike Januari 15, 2026.

Radio Kwizera December 12, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Zimamoto Muleba:Watega senene chukueni tahadhari. MITEGO YA SENENE 1

Zimamoto Muleba:Watega senene chukueni tahadhari.

December 12, 2025
Rais Ndayishimiye: Vijana wa Afrika fanyeni miradi ya amendeleo. NDAYISHIMIYE 2

Rais Ndayishimiye: Vijana wa Afrika fanyeni miradi ya amendeleo.

December 12, 2025
Ulega: Daraja la Mkuyuni Mwanza likamilike Januari 15, 2026. ULEGA MWANZA 3

Ulega: Daraja la Mkuyuni Mwanza likamilike Januari 15, 2026.

December 12, 2025
Waziri wa zamani wa Afya, Jenista Mhagama, amefariki dunia leo. MHAGAMA 4

Waziri wa zamani wa Afya, Jenista Mhagama, amefariki dunia leo.

December 11, 2025
Waasi wa M23 waingia Uvira DRC, Maelfu wakimbilia Burundi. Wakimbizi DRC 5

Waasi wa M23 waingia Uvira DRC, Maelfu wakimbilia Burundi.

December 10, 2025

ulizokosa

MITEGO YA SENENE
  • Afrika Mashariki
  • Biashara na Uchumi
  • Jamii
  • Tanzania

Zimamoto Muleba:Watega senene chukueni tahadhari.

Radio Kwizera December 12, 2025
NDAYISHIMIYE
  • Africa
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Jamii

Rais Ndayishimiye: Vijana wa Afrika fanyeni miradi ya amendeleo.

Radio Kwizera December 12, 2025
ULEGA MWANZA
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Ulega: Daraja la Mkuyuni Mwanza likamilike Januari 15, 2026.

Radio Kwizera December 12, 2025
MHAGAMA
  • Jamii
  • Tanzania

Waziri wa zamani wa Afya, Jenista Mhagama, amefariki dunia leo.

Radio Kwizera December 11, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva CCM CHADEMA Elimu Familia Fursa Geita Grammy Hukumu INEC Jeshi la polisi Kahama Kampeni Kanisa Kanisa Katoliki Kigoma Mafunzo Mgodi Miradi ya maendeleo Muleba muziki Mwanza Newsbeat Ngara Nigeria Polisi Radio Kwizera Rushwa Samia Serikali TAKUKURU Tanzania Uchaguzi uchaguzi mkuu Uchumi Ulinzi Ushirikiano Vijana Vurugu Watanzania Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ