Skip to content
September 16, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Majanga
  • Newsbeat
  • Tanzania

Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
bukoba-6

Wananchi katika manispaa ya Bukoba mkoani Kagera wanaoishi maeneo ambayo nyumba zao hujaa maji pindi mvua zinaponyesha wametakiwa kuchukua tahadhari ya kwenda maeneo salama ili kuepuka athari zinazoweza kujitokeza.

Rai hiyo imetolewa na kutoka kitengo cha mazingira kinachojihusisha na mambo ya maafa katika kanisa la KKT dayosisi ya kaskazini magharibi pamoja na shirika la TCRS Bw. Danson Kateme wakati akizungumza na Radio kwizera na kueleza kuwa ili kuwa salama ni muhimu wananchi wakachukua hatua ya usalama wao wakati wa mvua zinaponyesha.

Aidha baadhi ya wananchi ambao wanaathirika na maji katika nyumba zao wakati wa mvua zinaponyesha  Bw;Anacret Byamungu, Bi;Ameriani Waagira pamoja na Bw;Rameck Vedasto  waeiomba serikali kuwapatia makazi ya muda lakini pia kuiomba serikali kutengeneza miundo mbinu bora  itakayopisha maji vizuri na kuepusha mafuriko katika nyumba zao.

Continue Reading

Previous: Rais Ruto wa Kenya amesema kuwa mageuzi ya kitaasisi, Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara Afrika
Next: Vipindi vyetu vyote

Related Stories

Mpina na Tume
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Siasa
  • Tanzania

Kinyang’anyiro cha Urais 2025, INEC yamwondoa Mpina

Radio Kwizera September 15, 2025
IMG-20250913-WA0106
  • Habari

Miradi ya bilioni 2.7 kukaguliwa na kuzinduliwa Ngara

Joyce Hamka September 13, 2025
WhatsApp Image 2025-09-10 at 7.19.40 PM
  • Habari

Bilioni 4 kutumika kwenye ujenzi wa mifereji Kigoma

Radio Kwizera September 11, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Kinyang’anyiro cha Urais 2025, INEC yamwondoa Mpina Mpina na Tume 1

Kinyang’anyiro cha Urais 2025, INEC yamwondoa Mpina

September 15, 2025
Miradi ya bilioni 2.7 kukaguliwa na kuzinduliwa Ngara IMG-20250913-WA0106 2

Miradi ya bilioni 2.7 kukaguliwa na kuzinduliwa Ngara

September 13, 2025
NMB Kibondo yaahidi ushirikiano tawi la Simba Kitahana WhatsApp Image 2025-09-10 at 4.51.46 PM 3

NMB Kibondo yaahidi ushirikiano tawi la Simba Kitahana

September 11, 2025
Bilioni 4 kutumika kwenye ujenzi wa mifereji Kigoma WhatsApp Image 2025-09-10 at 7.19.40 PM 4

Bilioni 4 kutumika kwenye ujenzi wa mifereji Kigoma

September 11, 2025
Shinyanga kuzindua dawati la uwezeshaji biashara WhatsApp Image 2025-09-10 at 10.35.08 PM 5

Shinyanga kuzindua dawati la uwezeshaji biashara

September 11, 2025

ulizokosa

Mpina na Tume
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Siasa
  • Tanzania

Kinyang’anyiro cha Urais 2025, INEC yamwondoa Mpina

Radio Kwizera September 15, 2025
IMG-20250913-WA0106
  • Habari

Miradi ya bilioni 2.7 kukaguliwa na kuzinduliwa Ngara

Joyce Hamka September 13, 2025
WhatsApp Image 2025-09-10 at 4.51.46 PM
  • Michezo

NMB Kibondo yaahidi ushirikiano tawi la Simba Kitahana

Radio Kwizera September 11, 2025
WhatsApp Image 2025-09-10 at 7.19.40 PM
  • Habari

Bilioni 4 kutumika kwenye ujenzi wa mifereji Kigoma

Radio Kwizera September 11, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Business CCM CHADEMA Demokrasia Diplomasia Fursa Geita Haki za uchaguzi Jeshi la polisi KAGERA Kahama Kampeni Kanisa Katoliki Kigoma kushirikiana makamu wa rais Mgodi Michezo Miradi ya maendeleo Muleba Mwanza Mwenge wa uhuru Newsbeat Ngara Radio Kwizera Rais Samia Rais wa Zanzibar Rwanda TAKUKURU Uchaguzi Uchumi Uchunguzi Uimarishaji Mipaka ujenzi Ulinzi Uokoaji Ushirikiano Waziri Mkuu Wizara ya Afya Wizara ya Ardhi wizara ya mifugo Zanzibar
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ