Skip to content
October 17, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • Elimu na Afya
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Majanga
  • Newsbeat
  • Tanzania

Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
bukoba-6

Wananchi katika manispaa ya Bukoba mkoani Kagera wanaoishi maeneo ambayo nyumba zao hujaa maji pindi mvua zinaponyesha wametakiwa kuchukua tahadhari ya kwenda maeneo salama ili kuepuka athari zinazoweza kujitokeza.

Rai hiyo imetolewa na kutoka kitengo cha mazingira kinachojihusisha na mambo ya maafa katika kanisa la KKT dayosisi ya kaskazini magharibi pamoja na shirika la TCRS Bw. Danson Kateme wakati akizungumza na Radio kwizera na kueleza kuwa ili kuwa salama ni muhimu wananchi wakachukua hatua ya usalama wao wakati wa mvua zinaponyesha.

Aidha baadhi ya wananchi ambao wanaathirika na maji katika nyumba zao wakati wa mvua zinaponyesha  Bw;Anacret Byamungu, Bi;Ameriani Waagira pamoja na Bw;Rameck Vedasto  waeiomba serikali kuwapatia makazi ya muda lakini pia kuiomba serikali kutengeneza miundo mbinu bora  itakayopisha maji vizuri na kuepusha mafuriko katika nyumba zao.

Continue Reading

Previous: Rais Ruto wa Kenya amesema kuwa mageuzi ya kitaasisi, Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara Afrika
Next: Vipindi vyetu vyote

Related Stories

Tutuba Mwenyewe
  • Biashara na Uchumi
  • Habari
  • Tanzania

BoT yakanusha kuchapisha fedha kugharamia uchaguzi

Radio Kwizera October 17, 2025
SAMIA KAITABA
  • Biashara na Uchumi
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Tanzania

Serikali kuwezesha Uvuvi wa Kisasa Vijana Kagera – Samia

Radio Kwizera October 16, 2025
Screenshot_20251004_225833_WhatsApp.jpg
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

JWTZ latoa tamko kuhusu hali ya Usalama na Ulinzi nchini

Radio Kwizera October 16, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

BoT yakanusha kuchapisha fedha kugharamia uchaguzi Tutuba Mwenyewe 1

BoT yakanusha kuchapisha fedha kugharamia uchaguzi

October 17, 2025
Serikali kuwezesha Uvuvi wa Kisasa Vijana Kagera – Samia SAMIA KAITABA 2

Serikali kuwezesha Uvuvi wa Kisasa Vijana Kagera – Samia

October 16, 2025
JWTZ latoa tamko kuhusu hali ya Usalama na Ulinzi nchini Screenshot_20251004_225833_WhatsApp.jpg 3

JWTZ latoa tamko kuhusu hali ya Usalama na Ulinzi nchini

October 16, 2025
Bilioni 39 mwarubaini wa maji Muleba, Kagera WhatsApp Image 2025-10-15 at 16.45.20 4

Bilioni 39 mwarubaini wa maji Muleba, Kagera

October 16, 2025
Shauri la Mpina, Mahakama yaeleza haiwezi kuichunguza INEC. Mpina mwenyewe 5

Shauri la Mpina, Mahakama yaeleza haiwezi kuichunguza INEC.

October 15, 2025

ulizokosa

Tutuba Mwenyewe
  • Biashara na Uchumi
  • Habari
  • Tanzania

BoT yakanusha kuchapisha fedha kugharamia uchaguzi

Radio Kwizera October 17, 2025
SAMIA KAITABA
  • Biashara na Uchumi
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Tanzania

Serikali kuwezesha Uvuvi wa Kisasa Vijana Kagera – Samia

Radio Kwizera October 16, 2025
Screenshot_20251004_225833_WhatsApp.jpg
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

JWTZ latoa tamko kuhusu hali ya Usalama na Ulinzi nchini

Radio Kwizera October 16, 2025
WhatsApp Image 2025-10-15 at 16.45.20
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Tanzania

Bilioni 39 mwarubaini wa maji Muleba, Kagera

Radio Kwizera October 16, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva Cardi B CCM CHADEMA Demokrasia Elimu Fursa Geita Grammy Hukumu INEC Jeshi la polisi Kahama Kampeni Kanisa Katoliki Kigoma Mafunzo Mgodi Michezo Mpina Mtanda Muleba Mwanza Newsbeat Ngara Radio Kwizera Rais Samia Rais wa Zanzibar Rushwa Sheria TAKUKURU Tanzania TRA Uchaguzi Uchumi Ulinzi Ushirikiano Uwekezaji Vijana Watanzania Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ