Skip to content
November 28, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • Elimu na Afya
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Majanga
  • Newsbeat
  • Tanzania

Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
bukoba-6

Wananchi katika manispaa ya Bukoba mkoani Kagera wanaoishi maeneo ambayo nyumba zao hujaa maji pindi mvua zinaponyesha wametakiwa kuchukua tahadhari ya kwenda maeneo salama ili kuepuka athari zinazoweza kujitokeza.

Rai hiyo imetolewa na kutoka kitengo cha mazingira kinachojihusisha na mambo ya maafa katika kanisa la KKT dayosisi ya kaskazini magharibi pamoja na shirika la TCRS Bw. Danson Kateme wakati akizungumza na Radio kwizera na kueleza kuwa ili kuwa salama ni muhimu wananchi wakachukua hatua ya usalama wao wakati wa mvua zinaponyesha.

Aidha baadhi ya wananchi ambao wanaathirika na maji katika nyumba zao wakati wa mvua zinaponyesha  Bw;Anacret Byamungu, Bi;Ameriani Waagira pamoja na Bw;Rameck Vedasto  waeiomba serikali kuwapatia makazi ya muda lakini pia kuiomba serikali kutengeneza miundo mbinu bora  itakayopisha maji vizuri na kuepusha mafuriko katika nyumba zao.

Continue Reading

Previous: Rais Ruto wa Kenya amesema kuwa mageuzi ya kitaasisi, Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara Afrika
Next: Vipindi vyetu vyote

Related Stories

JESHI GUINEA
  • Africa
  • Habari
  • Siasa

Maafisa wa Kijeshi Guinea -Bissau Wapindua Serikali.

Radio Kwizera November 27, 2025
Somanga jpg
  • Habari
  • Tanzania

Waziri Ulega Madaraja ya Dharura kukamilika Desemba 24,2025

Radio Kwizera November 27, 2025
ULEGA
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Waziri Abdallah Ulega ataka Vijana wasifukuzwe kazi kiholela

Radio Kwizera November 26, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

DC Bulimba watumishi wa Umma Biharamulo zingatieni Mikataba. DC BULIMBA 2 1

DC Bulimba watumishi wa Umma Biharamulo zingatieni Mikataba.

November 27, 2025
Maafisa wa Kijeshi Guinea -Bissau Wapindua Serikali. JESHI GUINEA 2

Maafisa wa Kijeshi Guinea -Bissau Wapindua Serikali.

November 27, 2025
Waziri Ulega Madaraja ya Dharura kukamilika Desemba 24,2025 Somanga jpg 3

Waziri Ulega Madaraja ya Dharura kukamilika Desemba 24,2025

November 27, 2025
Waziri Abdallah Ulega ataka Vijana wasifukuzwe kazi kiholela ULEGA 4

Waziri Abdallah Ulega ataka Vijana wasifukuzwe kazi kiholela

November 26, 2025
Jeshi la Sudan limezuia shambulizi la wanamgambo wa RSF. JESHI LA SUDANI 5

Jeshi la Sudan limezuia shambulizi la wanamgambo wa RSF.

November 26, 2025

ulizokosa

DC BULIMBA 2
  • English

DC Bulimba watumishi wa Umma Biharamulo zingatieni Mikataba.

Radio Kwizera November 27, 2025
JESHI GUINEA
  • Africa
  • Habari
  • Siasa

Maafisa wa Kijeshi Guinea -Bissau Wapindua Serikali.

Radio Kwizera November 27, 2025
Somanga jpg
  • Habari
  • Tanzania

Waziri Ulega Madaraja ya Dharura kukamilika Desemba 24,2025

Radio Kwizera November 27, 2025
ULEGA
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Waziri Abdallah Ulega ataka Vijana wasifukuzwe kazi kiholela

Radio Kwizera November 26, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva CCM CHADEMA Elimu Familia Fursa Geita Grammy Hukumu INEC Jeshi la polisi Kahama Kampeni Kanisa Kanisa Katoliki Kigoma Mafunzo Mgodi Miradi ya maendeleo Muleba muziki Mwanza Newsbeat Ngara Nigeria Polisi Radio Kwizera Rushwa Samia Serikali TAKUKURU Tanzania Uchaguzi uchaguzi mkuu Uchumi Ulinzi Ushirikiano Vijana Vurugu Watanzania Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ