Skip to content
November 26, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • Elimu na Afya
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Majanga
  • Newsbeat
  • Tanzania

Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
bukoba-6

Wananchi katika manispaa ya Bukoba mkoani Kagera wanaoishi maeneo ambayo nyumba zao hujaa maji pindi mvua zinaponyesha wametakiwa kuchukua tahadhari ya kwenda maeneo salama ili kuepuka athari zinazoweza kujitokeza.

Rai hiyo imetolewa na kutoka kitengo cha mazingira kinachojihusisha na mambo ya maafa katika kanisa la KKT dayosisi ya kaskazini magharibi pamoja na shirika la TCRS Bw. Danson Kateme wakati akizungumza na Radio kwizera na kueleza kuwa ili kuwa salama ni muhimu wananchi wakachukua hatua ya usalama wao wakati wa mvua zinaponyesha.

Aidha baadhi ya wananchi ambao wanaathirika na maji katika nyumba zao wakati wa mvua zinaponyesha  Bw;Anacret Byamungu, Bi;Ameriani Waagira pamoja na Bw;Rameck Vedasto  waeiomba serikali kuwapatia makazi ya muda lakini pia kuiomba serikali kutengeneza miundo mbinu bora  itakayopisha maji vizuri na kuepusha mafuriko katika nyumba zao.

Continue Reading

Previous: Rais Ruto wa Kenya amesema kuwa mageuzi ya kitaasisi, Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara Afrika
Next: Vipindi vyetu vyote

Related Stories

Mavunde
  • Afrika Mashariki
  • Biashara na Uchumi
  • Habari
  • Jamii

Serikali yafuta Leseni 73 za uchimbaji wa kati na Utafiti wa madini.

Radio Kwizera November 25, 2025
MWIGULU NCHEMBA
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Usalama

Waziri Mkuu. Dkt Mwigulu Nchemba Atoa pole vifo Okt 29, 2025

Radio Kwizera November 25, 2025
MCHENGERWA
  • Habari
  • Health
  • Tanzania

Mchengerwa kuendeleza viwanda vya dawa na vifaa tiba nchini

Radio Kwizera November 25, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Serikali yafuta Leseni 73 za uchimbaji wa kati na Utafiti wa madini. Mavunde 1

Serikali yafuta Leseni 73 za uchimbaji wa kati na Utafiti wa madini.

November 25, 2025
Waziri Mkuu. Dkt Mwigulu Nchemba Atoa pole vifo Okt 29, 2025 MWIGULU NCHEMBA 2

Waziri Mkuu. Dkt Mwigulu Nchemba Atoa pole vifo Okt 29, 2025

November 25, 2025
Mchengerwa kuendeleza viwanda vya dawa na vifaa tiba nchini MCHENGERWA 3

Mchengerwa kuendeleza viwanda vya dawa na vifaa tiba nchini

November 25, 2025
Olivia Yacé ajiondoa kwenye nafasi yake Miss Universe miss 4

Olivia Yacé ajiondoa kwenye nafasi yake Miss Universe

November 25, 2025
God Design yafikisha streams milioni 5 Spotify juxx 5

God Design yafikisha streams milioni 5 Spotify

November 25, 2025

ulizokosa

Mavunde
  • Afrika Mashariki
  • Biashara na Uchumi
  • Habari
  • Jamii

Serikali yafuta Leseni 73 za uchimbaji wa kati na Utafiti wa madini.

Radio Kwizera November 25, 2025
MWIGULU NCHEMBA
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Usalama

Waziri Mkuu. Dkt Mwigulu Nchemba Atoa pole vifo Okt 29, 2025

Radio Kwizera November 25, 2025
MCHENGERWA
  • Habari
  • Health
  • Tanzania

Mchengerwa kuendeleza viwanda vya dawa na vifaa tiba nchini

Radio Kwizera November 25, 2025
miss
  • Burudani

Olivia Yacé ajiondoa kwenye nafasi yake Miss Universe

Radio Kwizera November 25, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva CCM CHADEMA Elimu Familia Fursa Geita Grammy Hukumu INEC Jeshi la polisi Kahama Kampeni Kanisa Kanisa Katoliki Kigoma Mafunzo mahakama Mgodi Muleba muziki Mwanza Newsbeat Ngara Nigeria Polisi Radio Kwizera Rushwa Samia TAKUKURU Tanzania TRA Uchaguzi Uchumi Ulinzi usalama Ushirikiano Vijana Vurugu Watanzania Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ