Skip to content
November 15, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • Elimu na Afya
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Majanga
  • Newsbeat
  • Tanzania

Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
bukoba-6

Wananchi katika manispaa ya Bukoba mkoani Kagera wanaoishi maeneo ambayo nyumba zao hujaa maji pindi mvua zinaponyesha wametakiwa kuchukua tahadhari ya kwenda maeneo salama ili kuepuka athari zinazoweza kujitokeza.

Rai hiyo imetolewa na kutoka kitengo cha mazingira kinachojihusisha na mambo ya maafa katika kanisa la KKT dayosisi ya kaskazini magharibi pamoja na shirika la TCRS Bw. Danson Kateme wakati akizungumza na Radio kwizera na kueleza kuwa ili kuwa salama ni muhimu wananchi wakachukua hatua ya usalama wao wakati wa mvua zinaponyesha.

Aidha baadhi ya wananchi ambao wanaathirika na maji katika nyumba zao wakati wa mvua zinaponyesha  Bw;Anacret Byamungu, Bi;Ameriani Waagira pamoja na Bw;Rameck Vedasto  waeiomba serikali kuwapatia makazi ya muda lakini pia kuiomba serikali kutengeneza miundo mbinu bora  itakayopisha maji vizuri na kuepusha mafuriko katika nyumba zao.

Continue Reading

Previous: Rais Ruto wa Kenya amesema kuwa mageuzi ya kitaasisi, Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara Afrika
Next: Vipindi vyetu vyote

Related Stories

Samia akifungua Bunge
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Tanzania

Rais Samia aagiza waliokamatwa kwa Makosa ya Uhaini waachiwe

Radio Kwizera November 14, 2025
SILLO
  • Jamii
  • Siasa
  • Tanzania

Daniel Sillo, Naibu Spika Mpya wa Bunge la 13

Radio Kwizera November 13, 2025
Misimeeee
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Akamatwa kwa tuhuma za kuhamasisha Uhalifu Mtandaoni

Radio Kwizera November 13, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Rais Samia aagiza waliokamatwa kwa Makosa ya Uhaini waachiwe Samia akifungua Bunge 1

Rais Samia aagiza waliokamatwa kwa Makosa ya Uhaini waachiwe

November 14, 2025
Rais Dkt Samia. Uwaziri mkuu sio cheo cha Urafiki SAMIAAAA 2

Rais Dkt Samia. Uwaziri mkuu sio cheo cha Urafiki

November 14, 2025
Eddy Kenzo akataa ofa ya Warner Music Eddy 3

Eddy Kenzo akataa ofa ya Warner Music

November 14, 2025
Uchumi wa Kardashian wafikia dola bilioni 1.9 kimmm 4

Uchumi wa Kardashian wafikia dola bilioni 1.9

November 13, 2025
Daniel Sillo, Naibu Spika Mpya wa Bunge la 13 SILLO 5

Daniel Sillo, Naibu Spika Mpya wa Bunge la 13

November 13, 2025

ulizokosa

Samia akifungua Bunge
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Tanzania

Rais Samia aagiza waliokamatwa kwa Makosa ya Uhaini waachiwe

Radio Kwizera November 14, 2025
SAMIAAAA
  • English

Rais Dkt Samia. Uwaziri mkuu sio cheo cha Urafiki

Radio Kwizera November 14, 2025
Eddy
  • Burudani

Eddy Kenzo akataa ofa ya Warner Music

Radio Kwizera November 14, 2025
kimmm
  • Burudani

Uchumi wa Kardashian wafikia dola bilioni 1.9

Radio Kwizera November 13, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva Cardi B CCM CHADEMA Demokrasia Elimu Fursa Geita Grammy Hukumu INEC Jeshi la polisi Kahama Kampeni Kanisa Katoliki Kigoma Mafunzo Mgodi Miradi Muleba muziki Mwanza Newsbeat Ngara Polisi Radio Kwizera Rapa Rushwa Samia TAKUKURU Tanzania TRA Uchaguzi Uchumi Uhaini Ulinzi Ushirikiano Vijana Wanafunzi Watanzania Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ