Skip to content
November 24, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • Elimu na Afya
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Majanga
  • Newsbeat
  • Tanzania

Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
bukoba-6

Wananchi katika manispaa ya Bukoba mkoani Kagera wanaoishi maeneo ambayo nyumba zao hujaa maji pindi mvua zinaponyesha wametakiwa kuchukua tahadhari ya kwenda maeneo salama ili kuepuka athari zinazoweza kujitokeza.

Rai hiyo imetolewa na kutoka kitengo cha mazingira kinachojihusisha na mambo ya maafa katika kanisa la KKT dayosisi ya kaskazini magharibi pamoja na shirika la TCRS Bw. Danson Kateme wakati akizungumza na Radio kwizera na kueleza kuwa ili kuwa salama ni muhimu wananchi wakachukua hatua ya usalama wao wakati wa mvua zinaponyesha.

Aidha baadhi ya wananchi ambao wanaathirika na maji katika nyumba zao wakati wa mvua zinaponyesha  Bw;Anacret Byamungu, Bi;Ameriani Waagira pamoja na Bw;Rameck Vedasto  waeiomba serikali kuwapatia makazi ya muda lakini pia kuiomba serikali kutengeneza miundo mbinu bora  itakayopisha maji vizuri na kuepusha mafuriko katika nyumba zao.

Continue Reading

Previous: Rais Ruto wa Kenya amesema kuwa mageuzi ya kitaasisi, Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara Afrika
Next: Vipindi vyetu vyote

Related Stories

WhatsApp Image 2025-11-24 at 16.14.24
  • Habari
  • Imani na Dini
  • Jamii
  • Tanzania

Waziri Mkuu aagiza Kanisa la ufufuo na Uzima kufunguliwa

Radio Kwizera November 24, 2025
mutaaaaaaaa
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Raia 14 wa Burundi Wakamatwa Mwanza

Radio Kwizera November 24, 2025
bweni-pic
  • Elimu na Afya
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Mabweni mawili yateketea kwa Moto Sumve, Polisi Yachunguza

Radio Kwizera November 21, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Waziri Mkuu aagiza Kanisa la ufufuo na Uzima kufunguliwa WhatsApp Image 2025-11-24 at 16.14.24 1

Waziri Mkuu aagiza Kanisa la ufufuo na Uzima kufunguliwa

November 24, 2025
Kusuasua Usalama Nigeria- Tinubu aagiza askari kupangwa Upya Bora Tinubu 2

Kusuasua Usalama Nigeria- Tinubu aagiza askari kupangwa Upya

November 24, 2025
Itare aachie EP yake yenye Nyimbo 07. In pursuit of greatness👑Ep out soon! 3

Itare aachie EP yake yenye Nyimbo 07.

November 24, 2025
Miss Universe Jamaica Gabby hali yake bado si nzuri. MISS 4

Miss Universe Jamaica Gabby hali yake bado si nzuri.

November 24, 2025
Raia 14 wa Burundi Wakamatwa Mwanza mutaaaaaaaa 5

Raia 14 wa Burundi Wakamatwa Mwanza

November 24, 2025

ulizokosa

WhatsApp Image 2025-11-24 at 16.14.24
  • Habari
  • Imani na Dini
  • Jamii
  • Tanzania

Waziri Mkuu aagiza Kanisa la ufufuo na Uzima kufunguliwa

Radio Kwizera November 24, 2025
Bora Tinubu
  • Africa
  • Kimataifa
  • Stories
  • Usalama

Kusuasua Usalama Nigeria- Tinubu aagiza askari kupangwa Upya

Radio Kwizera November 24, 2025
In pursuit of greatness👑Ep out soon!
  • Burudani

Itare aachie EP yake yenye Nyimbo 07.

Radio Kwizera November 24, 2025
MISS
  • Burudani

Miss Universe Jamaica Gabby hali yake bado si nzuri.

Radio Kwizera November 24, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva CCM CHADEMA Elimu Familia Fursa Geita Grammy Hukumu INEC Jeshi la polisi Kahama Kampeni Kanisa Kanisa Katoliki Kigoma Mafunzo mahakama Mgodi Muleba muziki Mwanza Newsbeat Ngara Nigeria Polisi Radio Kwizera Rushwa Samia TAKUKURU Tanzania TRA Uchaguzi Uchumi Ulinzi usalama Ushirikiano Vijana Vurugu Watanzania Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ