Skip to content
November 18, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • Elimu na Afya
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Majanga
  • Newsbeat
  • Tanzania

Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
bukoba-6

Wananchi katika manispaa ya Bukoba mkoani Kagera wanaoishi maeneo ambayo nyumba zao hujaa maji pindi mvua zinaponyesha wametakiwa kuchukua tahadhari ya kwenda maeneo salama ili kuepuka athari zinazoweza kujitokeza.

Rai hiyo imetolewa na kutoka kitengo cha mazingira kinachojihusisha na mambo ya maafa katika kanisa la KKT dayosisi ya kaskazini magharibi pamoja na shirika la TCRS Bw. Danson Kateme wakati akizungumza na Radio kwizera na kueleza kuwa ili kuwa salama ni muhimu wananchi wakachukua hatua ya usalama wao wakati wa mvua zinaponyesha.

Aidha baadhi ya wananchi ambao wanaathirika na maji katika nyumba zao wakati wa mvua zinaponyesha  Bw;Anacret Byamungu, Bi;Ameriani Waagira pamoja na Bw;Rameck Vedasto  waeiomba serikali kuwapatia makazi ya muda lakini pia kuiomba serikali kutengeneza miundo mbinu bora  itakayopisha maji vizuri na kuepusha mafuriko katika nyumba zao.

Continue Reading

Previous: Rais Ruto wa Kenya amesema kuwa mageuzi ya kitaasisi, Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara Afrika
Next: Vipindi vyetu vyote

Related Stories

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Hussein Mohamed Omar amesema Se (2)
  • Elimu na Afya
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Mabadiliko ya kidijitali sekta ya elimu kuwa jumuishi, endelevu.

Radio Kwizera November 17, 2025
Walioondolewa 2
  • Habari
  • Siasa
  • Tanzania

Kikwete, Wanu ndani ya Baraza Jipya la Mawaziri la Rais Samia

Radio Kwizera November 17, 2025
Akamatwa
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Polisi yamkamata Sajenti wa Jeshi la Marekani akiwa na mabomu

Radio Kwizera November 17, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Mabadiliko ya kidijitali sekta ya elimu kuwa jumuishi, endelevu. Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Hussein Mohamed Omar amesema Se (2) 1

Mabadiliko ya kidijitali sekta ya elimu kuwa jumuishi, endelevu.

November 17, 2025
Kikwete, Wanu ndani ya Baraza Jipya la Mawaziri la Rais Samia Walioondolewa 2 2

Kikwete, Wanu ndani ya Baraza Jipya la Mawaziri la Rais Samia

November 17, 2025
Kifo cha Mc Pilipili, Mwili wakutwa na Majeraha mc pilipili 3

Kifo cha Mc Pilipili, Mwili wakutwa na Majeraha

November 17, 2025
Polisi yamkamata Sajenti wa Jeshi la Marekani akiwa na mabomu Akamatwa 4

Polisi yamkamata Sajenti wa Jeshi la Marekani akiwa na mabomu

November 17, 2025
Abigail Chams amerudi Instagram na Gospel Abigail 5

Abigail Chams amerudi Instagram na Gospel

November 17, 2025

ulizokosa

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Hussein Mohamed Omar amesema Se (2)
  • Elimu na Afya
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Mabadiliko ya kidijitali sekta ya elimu kuwa jumuishi, endelevu.

Radio Kwizera November 17, 2025
Walioondolewa 2
  • Habari
  • Siasa
  • Tanzania

Kikwete, Wanu ndani ya Baraza Jipya la Mawaziri la Rais Samia

Radio Kwizera November 17, 2025
mc pilipili
  • Burudani

Kifo cha Mc Pilipili, Mwili wakutwa na Majeraha

Radio Kwizera November 17, 2025
Akamatwa
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Polisi yamkamata Sajenti wa Jeshi la Marekani akiwa na mabomu

Radio Kwizera November 17, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva Cardi B CCM CHADEMA Elimu Fursa Geita Grammy Hukumu INEC Jeshi la polisi Kahama Kampeni Kanisa Katoliki Kifo Kigoma Mafunzo mahakama Mgodi Muleba muziki Mwanza Mwenge wa uhuru Newsbeat Ngara Polisi Radio Kwizera Rapa Rushwa Samia Shinyanga TAKUKURU Tanzania TRA Uchaguzi Uchumi Ulinzi Ushirikiano Vijana Watanzania Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ