Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema Serikali imetoa shilingi trilioni 1.319 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi...
ZAWADI Bashemela
Zawadi Bashemela ni mwandishi wa habari na mtangazaji kwa zaidi ya miaka 20. Kwa kipindi chote hicho ameshiriki kuandaa maudhui ya radio kupitia vipindi na habari ili kuleta mabadiliko katika jamii hasa kwenye nyanja za afya, elimu, siasa, uchumi na utamaduni. Anaamini katika kazi yake jambo kubwa ni kuendelea kuwa nguzo muhimu katika kujenga jamii yenye uelewa, maadili mema, uwajibikaji na kuwa na maendeleo ili kufikia ndoto ya watanzania wengi. "Habari Sahihi Jamii Imara"
Rais wa Jamhuri ya Congo, Denis Sassou Nguesso, ametangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais kwa kupata...
Mfanyabiashara na mwekezaji wa Tanzania, Rostam Aziz amesema uwekezaji wake katika Kampuni ya Nation Media Group (NMG)...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemuasili mtoto mchanga wa kike leo...
Serikali kupitia Wizara ya Afya imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kuimarisha upatikanaji wa bidhaa za afya nchini,...
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kufanya uchunguzi wa...
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Said Mtanda amesisitiza umuhimu wa ushirikiano wa kikanda katika kukabiliana na matishio...
Wizara ya Afya imetoa tahadhari kwa wananchi kufuatia kuongezeka kwa wagonjwa wa mafua makali ya Influenza na...
Naibu Waziri wa Madini Steven Kiruswa ametoa rai kwa wawekezaji katika sekta ya madini kuweka wazi taarifa...
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesisitiza maandalizi ya utekelezaji wa mtaala mpya wa elimu utakaotekelezwa kikamilifu kuanzia...
