Skip to content
December 4, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • Elimu na Afya
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi
  • Habari
  • Newsbeat
  • Tanzania
  • Tech

Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
01HZ7RQKR6TYYD39Y8VVF0KP4N

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amesema pamoja na jitihada kubwa zilizofanywa na serikali kuhakikisha upatikanaji wa nishati ya umeme, mafuta, na gesi asilia, sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya tabianchi na uharibifu wa mazingira.

Dkt. Biteko ametoa kauli hiyo jana jijini Dodoma wakati akizindua taarifa ya maendeleo ya utendaji katika sekta ya nishati kwa mwaka 2023/24.

Amesema kumekuwa na kilio kikubwa ndani ya sekta hiyo kutokana na vyanzo vingi vya maji vinavyotumika kuzalisha umeme kuharibiwa vibaya, hali inayochangia kuendelea kwa changamoto ya upatikanaji wa umeme.

Aidha, amesema upungufu na uchakavu wa miundombinu ya umeme umeendelea kuwa changamoto sugu, na kwamba serikali sasa inafanya marekebisho makubwa ya kimkakati katika miundombinu hiyo.

Continue Reading

Previous: Rais Ruto wa Kenya amesema kuwa mageuzi ya kitaasisi, Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara Afrika
Next: Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari

Related Stories

M 23 1
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Usalama

Jeshi la DRC limelaani mashambulizi ya M23 kwenye ngome zake

Radio Kwizera December 3, 2025
BANG
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Mama (65) akamatwaMkoani Katavi kwa tuhuma za kulima bangi.

Radio Kwizera December 3, 2025
chchaaaa
  • Habari
  • Health

Watano wamekamatwa Afisa Tabibu kumbaka mgonjwa Tabora.

Radio Kwizera December 2, 2025

ulizokosa

M 23 1
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Usalama

Jeshi la DRC limelaani mashambulizi ya M23 kwenye ngome zake

Radio Kwizera December 3, 2025
BANG
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Mama (65) akamatwaMkoani Katavi kwa tuhuma za kulima bangi.

Radio Kwizera December 3, 2025
chchaaaa
  • Habari
  • Health

Watano wamekamatwa Afisa Tabibu kumbaka mgonjwa Tabora.

Radio Kwizera December 2, 2025
SAMIA
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa

Rais Dkt. Samia amesema Serikali yake haitakiwi kuamrishwa .

Radio Kwizera December 2, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva CCM CHADEMA Elimu Familia Fursa Geita Grammy Hukumu INEC Jeshi la polisi Kahama Kampeni Kanisa Kanisa Katoliki Kigoma Mafunzo Mgodi Miradi ya maendeleo Muleba muziki Mwanza Newsbeat Ngara Nigeria Polisi Radio Kwizera Rushwa Samia Serikali TAKUKURU Tanzania Uchaguzi uchaguzi mkuu Uchumi Ulinzi Ushirikiano Vijana Vurugu Watanzania Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ