Skip to content
June 12, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi
  • Habari
  • Newsbeat
  • Tanzania
  • Tech

Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
RADIO KWIZERA April 10, 2025
01HZ7RQKR6TYYD39Y8VVF0KP4N

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amesema pamoja na jitihada kubwa zilizofanywa na serikali kuhakikisha upatikanaji wa nishati ya umeme, mafuta, na gesi asilia, sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya tabianchi na uharibifu wa mazingira.

Dkt. Biteko ametoa kauli hiyo jana jijini Dodoma wakati akizindua taarifa ya maendeleo ya utendaji katika sekta ya nishati kwa mwaka 2023/24.

Amesema kumekuwa na kilio kikubwa ndani ya sekta hiyo kutokana na vyanzo vingi vya maji vinavyotumika kuzalisha umeme kuharibiwa vibaya, hali inayochangia kuendelea kwa changamoto ya upatikanaji wa umeme.

Aidha, amesema upungufu na uchakavu wa miundombinu ya umeme umeendelea kuwa changamoto sugu, na kwamba serikali sasa inafanya marekebisho makubwa ya kimkakati katika miundombinu hiyo.

Continue Reading

Previous: Rais Ruto wa Kenya amesema kuwa mageuzi ya kitaasisi, Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara Afrika
Next: Vipindi vyetu vyote

Related Stories

mpaka
  • Habari
  • Jamii
  • Kimataifa
  • Tanzania

Tanzania na Rwanda zakutana kujadili uimarishaji wa mpaka

RADIO KWIZERA June 9, 2025
MKUU WA WILAYA BUKOBA
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Raia wa kigeni 13 walioingia kinyume na utaratibu wakamatwa

RADIO KWIZERA June 9, 2025
Mchengerwa
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Wanafunzi 214,141 kujiunga na kidato cha tano, vyuo vya ufundi.

RADIO KWIZERA June 6, 2025

ulizokosa

mpaka
  • Habari
  • Jamii
  • Kimataifa
  • Tanzania

Tanzania na Rwanda zakutana kujadili uimarishaji wa mpaka

RADIO KWIZERA June 9, 2025
MKUU WA WILAYA BUKOBA
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Raia wa kigeni 13 walioingia kinyume na utaratibu wakamatwa

RADIO KWIZERA June 9, 2025
Mchengerwa
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Wanafunzi 214,141 kujiunga na kidato cha tano, vyuo vya ufundi.

RADIO KWIZERA June 6, 2025
WhatsApp Image 2025-06-04 at 12.46.05
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Bilioni 2 kujenga miundombinu mipya ya elimu Kakonko

RADIO KWIZERA June 5, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

Afya amani Biharamulo Business CCM CHADEMA Chama Dk. gwajima Dkt. Mpango Halmashauri jengo jipya Jeshi la polisi Geita Kakonko DC Kampeni Kanisa Katoliki Kigoma Kugawanyika Kuhatarisha makamu wa rais Michezo Migogoro ya ndoa Msamaha Muleba Newsbeat Nyakagomba Geita Papa Leo XIV Radio Kwizera Rais Ruto Rais Samia Sheria taasisi Viongozi kuwa Vishoka Vyandarua Waganga wa kienyeji Wageni Wakuu wa Idara Wananchama Wasoma mita Watanzania Waziri Mkuu waziri wa Maji Wizara ya Afya wizara ya maendeleo World
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ