Skip to content
September 19, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi
  • Habari
  • Newsbeat
  • Tanzania
  • Tech

Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
01HZ7RQKR6TYYD39Y8VVF0KP4N

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amesema pamoja na jitihada kubwa zilizofanywa na serikali kuhakikisha upatikanaji wa nishati ya umeme, mafuta, na gesi asilia, sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya tabianchi na uharibifu wa mazingira.

Dkt. Biteko ametoa kauli hiyo jana jijini Dodoma wakati akizindua taarifa ya maendeleo ya utendaji katika sekta ya nishati kwa mwaka 2023/24.

Amesema kumekuwa na kilio kikubwa ndani ya sekta hiyo kutokana na vyanzo vingi vya maji vinavyotumika kuzalisha umeme kuharibiwa vibaya, hali inayochangia kuendelea kwa changamoto ya upatikanaji wa umeme.

Aidha, amesema upungufu na uchakavu wa miundombinu ya umeme umeendelea kuwa changamoto sugu, na kwamba serikali sasa inafanya marekebisho makubwa ya kimkakati katika miundombinu hiyo.

Continue Reading

Previous: Rais Ruto wa Kenya amesema kuwa mageuzi ya kitaasisi, Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara Afrika
Next: Vipindi vyetu vyote

Related Stories

ajali-px
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Ajali ya basi na roli Dodoma, watu 9 wafariki 16 wajeruhiwa

Radio Kwizera September 18, 2025
WhatsApp Image 2025-09-18 at 20.22.07
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Usimamizi wa Zao la Kahawa, CHAUMMA yaahidi neema Kagera.

Radio Kwizera September 18, 2025
WhatsApp Image 2025-09-17 at 19.27.21 (1)
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Mamlaka za maji nchini zatakiwa kuvitunza vyanzo vidogo vya maji.

Radio Kwizera September 17, 2025

ulizokosa

ajali-px
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Ajali ya basi na roli Dodoma, watu 9 wafariki 16 wajeruhiwa

Radio Kwizera September 18, 2025
WhatsApp Image 2025-09-18 at 20.22.07
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Usimamizi wa Zao la Kahawa, CHAUMMA yaahidi neema Kagera.

Radio Kwizera September 18, 2025
WhatsApp Image 2025-09-17 at 19.27.21 (1)
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Mamlaka za maji nchini zatakiwa kuvitunza vyanzo vidogo vya maji.

Radio Kwizera September 17, 2025
KAMANDA SHINYANGA
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Mauaji Shinyanga, mlinzi wa maduka ameuawa eneo la kazi.

Radio Kwizera September 17, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Business CCM CHADEMA Demokrasia Diplomasia Geita Jeshi la polisi Jeshi la polisi Geita KAGERA Kahama Kampeni Kanisa Katoliki Kigoma Kilimo kushirikiana Mgodi Miradi ya maendeleo Muleba Mwanza Mwenge wa uhuru Newsbeat Ngara Radio Kwizera Rais Samia Rais wa Zanzibar Rushwa TAKUKURU Teknolojia Uchaguzi Uchumi Uchunguzi Uimarishaji Mipaka ujenzi UKIMWI Ulinzi Ushirikiano Uzinduzi Vijana Viwanda Waziri Mkuu Wizara ya Afya Wizara ya Ardhi
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ