Skip to content
January 8, 2026
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • ELIMU NA AFYA
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
    • IFAHAMU RK
    • TIMU YETU
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi
  • Habari
  • Newsbeat
  • Tanzania
  • Tech

Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
01HZ7RQKR6TYYD39Y8VVF0KP4N

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amesema pamoja na jitihada kubwa zilizofanywa na serikali kuhakikisha upatikanaji wa nishati ya umeme, mafuta, na gesi asilia, sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya tabianchi na uharibifu wa mazingira.

Dkt. Biteko ametoa kauli hiyo jana jijini Dodoma wakati akizindua taarifa ya maendeleo ya utendaji katika sekta ya nishati kwa mwaka 2023/24.

Amesema kumekuwa na kilio kikubwa ndani ya sekta hiyo kutokana na vyanzo vingi vya maji vinavyotumika kuzalisha umeme kuharibiwa vibaya, hali inayochangia kuendelea kwa changamoto ya upatikanaji wa umeme.

Aidha, amesema upungufu na uchakavu wa miundombinu ya umeme umeendelea kuwa changamoto sugu, na kwamba serikali sasa inafanya marekebisho makubwa ya kimkakati katika miundombinu hiyo.

Continue Reading

Previous: Rais Ruto wa Kenya amesema kuwa mageuzi ya kitaasisi, Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara Afrika
Next: Wananchi manispaa ya Bukoba, Kagera wanaoishi maeneo yanayojaa maji wametakiwa kuchukua tahadhari

Related Stories

mwinyi-pic
  • Habari
  • Jamii

Rais Mwinyi:Serikali kuwalipa fidia waliopisha miradi ya maendeleo.

Radio Kwizera January 6, 2026
EOAPjpg
  • Afrika Mashariki
  • Biashara na Uchumi
  • Habari
  • Tanzania

Waziri Ndejembi : Bomba la mafuta EACOP kukamilika Julai 2026.

Radio Kwizera January 5, 2026
papa-picc
  • Habari
  • Imani na Dini
  • Usalama

Papa Leo XIV ataka kusitishwa vita duniani wakati wa sikukuu.

Radio Kwizera December 24, 2025

ulizokosa

mwinyi-pic
  • Habari
  • Jamii

Rais Mwinyi:Serikali kuwalipa fidia waliopisha miradi ya maendeleo.

Radio Kwizera January 6, 2026
EOAPjpg
  • Afrika Mashariki
  • Biashara na Uchumi
  • Habari
  • Tanzania

Waziri Ndejembi : Bomba la mafuta EACOP kukamilika Julai 2026.

Radio Kwizera January 5, 2026
papa-picc
  • Habari
  • Imani na Dini
  • Usalama

Papa Leo XIV ataka kusitishwa vita duniani wakati wa sikukuu.

Radio Kwizera December 24, 2025
JANABI
  • Africa
  • Elimu na Afya
  • Habari
  • Jamii

Pro. Janabi azitahadharisha nchi za Afrika bajeti za afya.

Radio Kwizera December 22, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva CCM CHADEMA Elimu Familia Fursa Geita Grammy Hukumu INEC Jeshi la polisi Kahama Kampeni Kanisa Kanisa Katoliki Kigoma mahakama Mgodi Muleba muziki Mwanza Newsbeat Ngara Nigeria Polisi Radio Kwizera Rais wa Zanzibar Rushwa Samia Serikali Sheria TAKUKURU Tanzania Uchaguzi uchaguzi mkuu Uchumi Ulinzi Ushirikiano Vurugu Watanzania Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ