Skip to content
October 12, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • Elimu na Afya
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Wananchi Halmashauri ya mji wa Tarime wanadaiwa kuendelea kukaidi maagizo kutofanya shughuli katika vyanzo maji
  • Afrika Mashariki
  • Biashara na Uchumi
  • Habari
  • Majanga
  • Newsbeat
  • Tanzania

Wananchi Halmashauri ya mji wa Tarime wanadaiwa kuendelea kukaidi maagizo kutofanya shughuli katika vyanzo maji

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
Mto Mara

Baadhi ya wananchi katika Halmashauri ya Mji Tarime wilayani Tarime mkoani Mara wanadaiwa kuendelea kukaidi maagizo ya kutofanya shughuli mbalimbali karibu na vyanzo maji.

Akizungumza na waandishi wa habari jana, ofisini kwake Afisa Mazingira wa halmashauri hiyo Patrice Boniphace, amesema kuwa pamoja na juhudi zilizofanyika, bado baadhi ya watu wanaosha magari, kulima, kuchimba mchanga, kuchenjua dhahabu na hata kujenga karibu na vyanzo vya maji.

Afisa huyo amefafanua kuwa shughuli mbalimbali karibu na vyanzo vya maji huruhusiwa kwa kuzingatia vipimo vya mto au kijito.

Ametolea mfano, kwa mto mkubwa kama Mori, shughuli zinatakiwa kufanyika umbali wa mita 60 kutoka mtoni, wakati kwa mito midogo na vijito ni umbali wa mita 30.

Continue Reading

Previous: WHO: Viwango vya vifo wajawazito, watoto wachanga Afrika vimepungua tangu mwaka 2000
Next: Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi

Related Stories

Mpina Mahakamani
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Tanzania

Hukumu kesi ya Mpina dhidi ya INEC kusomwa Oktoba 15, 2025

Radio Kwizera October 10, 2025
MWensa TRAs
  • Biashara na Uchumi
  • Habari
  • Tanzania

TRA yaahidi neema kwa wafanyabiashara, Kahama

Radio Kwizera October 10, 2025
SERIKALI YA MKOA MWANZA YAWAHAKIKISHIA WAWEKEZAJI USHIRIKIANO WA KUTOSHAKatika juhudi na taratib (5)
  • Biashara na Uchumi
  • Habari
  • Tanzania
  • Teknolojia

Mazingira wezeshi, Usalama- RC Mtanda akaribisha wawekezaji

Radio Kwizera October 10, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Hukumu kesi ya Mpina dhidi ya INEC kusomwa Oktoba 15, 2025 Mpina Mahakamani 1

Hukumu kesi ya Mpina dhidi ya INEC kusomwa Oktoba 15, 2025

October 10, 2025
TRA yaahidi neema kwa wafanyabiashara, Kahama MWensa TRAs 2

TRA yaahidi neema kwa wafanyabiashara, Kahama

October 10, 2025
Mazingira wezeshi, Usalama- RC Mtanda akaribisha wawekezaji SERIKALI YA MKOA MWANZA YAWAHAKIKISHIA WAWEKEZAJI USHIRIKIANO WA KUTOSHAKatika juhudi na taratib (5) 3

Mazingira wezeshi, Usalama- RC Mtanda akaribisha wawekezaji

October 10, 2025
Nairobi ya Mario na Bien yazingatiwa Grammy mario 4

Nairobi ya Mario na Bien yazingatiwa Grammy

October 10, 2025
Francia amefafanua kutokualikwa kwenye harusi ya Selena selena gomez 5

Francia amefafanua kutokualikwa kwenye harusi ya Selena

October 10, 2025

ulizokosa

Mpina Mahakamani
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Tanzania

Hukumu kesi ya Mpina dhidi ya INEC kusomwa Oktoba 15, 2025

Radio Kwizera October 10, 2025
MWensa TRAs
  • Biashara na Uchumi
  • Habari
  • Tanzania

TRA yaahidi neema kwa wafanyabiashara, Kahama

Radio Kwizera October 10, 2025
SERIKALI YA MKOA MWANZA YAWAHAKIKISHIA WAWEKEZAJI USHIRIKIANO WA KUTOSHAKatika juhudi na taratib (5)
  • Biashara na Uchumi
  • Habari
  • Tanzania
  • Teknolojia

Mazingira wezeshi, Usalama- RC Mtanda akaribisha wawekezaji

Radio Kwizera October 10, 2025
mario
  • Burudani

Nairobi ya Mario na Bien yazingatiwa Grammy

Radio Kwizera October 10, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

Afya amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva Cardi B CCM CHADEMA Demokrasia Elimu Fursa Geita Grammy Hukumu INEC Jeshi la polisi Kahama Kampeni Kanisa Katoliki Kigoma Kilimo mahakama Mgodi Mtanda Muleba Mwanza Newsbeat Ngara Radio Kwizera Rais Samia Rais wa Zanzibar Rushwa Sheria TAKUKURU Tanzania TRA Uchaguzi Uchumi Uchunguzi Uimarishaji Mipaka Ulinzi Ushirikiano Wafanyabiashara Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ