Skip to content
October 25, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • Elimu na Afya
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Kimataifa
  • 23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu kaskazini mwa Gaza
  • Kimataifa
  • Majanga
  • Newsbeat
  • Siasa

23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu kaskazini mwa Gaza

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
e0509d22-873c-41cd-a291-05b65edc53f1_w1080_h608_b

Takriban watu 23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu katika eneo la kaskazini mwa Gaza.

Vifo hivyo vimeripotiwa wakati mapigano yaliyoanza upya hivi karibuni katika ukanda huo yakionyesha dalili ya kutopungua.

Wizara ya afya inayosimamiwa na kundi la Hamas imethibitisha vifo hivyo na hospitali ya Al-Ahly imeeleza kuwa miongoni mwa watu hao waliouwawa kuna wanawake wanane na watoto wanane

Kwa mujibu wa huduma ya dharura ya wizara hiyo ya afya, shambulio la Israel limelenga jengo la ghorofa nne katika eneo la Shijaiyah, mjini Gaza huku vikosi vya uokoaji vikiripotiwa kuendelea kutafuta manusura chini ya kifusi.

Continue Reading

Previous: WHO: Viwango vya vifo wajawazito, watoto wachanga Afrika vimepungua tangu mwaka 2000
Next: Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi

Related Stories

SAMIA KAITABA
  • Biashara na Uchumi
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Tanzania

Serikali kuwezesha Uvuvi wa Kisasa Vijana Kagera – Samia

Radio Kwizera October 16, 2025
WhatsApp Image 2025-10-15 at 16.45.20
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Tanzania

Bilioni 39 mwarubaini wa maji Muleba, Kagera

Radio Kwizera October 16, 2025
Mpina mwenyewe
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Tanzania

Shauri la Mpina, Mahakama yaeleza haiwezi kuichunguza INEC.

Radio Kwizera October 15, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Wananchi lindeni mitambo ya Zimamoto IMG_0205@1169659072 1

Wananchi lindeni mitambo ya Zimamoto

October 24, 2025
North West ateka mitandao kutokana na mitindo yake Kim Kardashian’s daughter North West, 12, showed off unique style while stepping out for dinner 2

North West ateka mitandao kutokana na mitindo yake

October 24, 2025
Mad Ice atua Tanzania toka aondoke 2019 mad ice 3

Mad Ice atua Tanzania toka aondoke 2019

October 24, 2025
Chid Benz adai lord eyes hana ngoma kali lord eyes 4

Chid Benz adai lord eyes hana ngoma kali

October 24, 2025
Joh Makini: hakuna rapa wa kulinganishwa na mimi makini 5

Joh Makini: hakuna rapa wa kulinganishwa na mimi

October 24, 2025

ulizokosa

IMG_0205@1169659072
  • Habari

Wananchi lindeni mitambo ya Zimamoto

Radio Kwizera October 24, 2025
Kim Kardashian’s daughter North West, 12, showed off unique style while stepping out for dinner
  • Burudani

North West ateka mitandao kutokana na mitindo yake

Radio Kwizera October 24, 2025
mad ice
  • Burudani

Mad Ice atua Tanzania toka aondoke 2019

Radio Kwizera October 24, 2025
lord eyes
  • Burudani

Chid Benz adai lord eyes hana ngoma kali

Radio Kwizera October 24, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva Cardi B CCM CHADEMA Dawa za kulevya Demokrasia Elimu Geita Grammy Hukumu INEC Jeshi la polisi KAGERA Kahama Kampeni Kanisa Katoliki Kigoma Mafunzo mahakama Mgodi Michezo Miradi Muleba muziki Mwanza Mwenge wa uhuru Newsbeat Ngara Radio Kwizera Rapa Recording Academy Rushwa TAKUKURU Tanzania TRA Uchaguzi Uchumi Ulinzi Ushirikiano Vijana Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ