Skip to content
June 12, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Kimataifa
  • 23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu kaskazini mwa Gaza
  • Kimataifa
  • Majanga
  • Newsbeat
  • Siasa
  • World

23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu kaskazini mwa Gaza

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
RADIO KWIZERA April 10, 2025
e0509d22-873c-41cd-a291-05b65edc53f1_w1080_h608_b

Takriban watu 23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu katika eneo la kaskazini mwa Gaza.

Vifo hivyo vimeripotiwa wakati mapigano yaliyoanza upya hivi karibuni katika ukanda huo yakionyesha dalili ya kutopungua.

Wizara ya afya inayosimamiwa na kundi la Hamas imethibitisha vifo hivyo na hospitali ya Al-Ahly imeeleza kuwa miongoni mwa watu hao waliouwawa kuna wanawake wanane na watoto wanane

Kwa mujibu wa huduma ya dharura ya wizara hiyo ya afya, shambulio la Israel limelenga jengo la ghorofa nne katika eneo la Shijaiyah, mjini Gaza huku vikosi vya uokoaji vikiripotiwa kuendelea kutafuta manusura chini ya kifusi.

Continue Reading

Previous: WHO: Viwango vya vifo wajawazito, watoto wachanga Afrika vimepungua tangu mwaka 2000
Next: Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi

Related Stories

mpaka
  • Habari
  • Jamii
  • Kimataifa
  • Tanzania

Tanzania na Rwanda zakutana kujadili uimarishaji wa mpaka

RADIO KWIZERA June 9, 2025
CCM 1
  • Habari
  • Siasa
  • Tanzania

Kasi ya teknolojia, CCM yafanya mabadiliko ya katiba yake ya 1977

RADIO KWIZERA May 29, 2025
WAZIRI MKUU
  • Biashara na uchumi
  • Habari
  • Jamii
  • Kimataifa
  • Tanzania

Tanzania na Japan kuendeleza ushirikiano wa kiuchumi

RADIO KWIZERA May 29, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Tanzania na Rwanda zakutana kujadili uimarishaji wa mpaka mpaka 1

Tanzania na Rwanda zakutana kujadili uimarishaji wa mpaka

June 9, 2025
Raia wa kigeni 13 walioingia kinyume na utaratibu wakamatwa MKUU WA WILAYA BUKOBA 2

Raia wa kigeni 13 walioingia kinyume na utaratibu wakamatwa

June 9, 2025
Wanafunzi 214,141 kujiunga na kidato cha tano, vyuo vya ufundi. Mchengerwa 3

Wanafunzi 214,141 kujiunga na kidato cha tano, vyuo vya ufundi.

June 6, 2025
Bilioni 2 kujenga miundombinu mipya ya elimu Kakonko WhatsApp Image 2025-06-04 at 12.46.05 4

Bilioni 2 kujenga miundombinu mipya ya elimu Kakonko

June 5, 2025
Wananchi wakataa mradi wa skimu kisa matambiko ya kimila matunguli 5

Wananchi wakataa mradi wa skimu kisa matambiko ya kimila

June 5, 2025

ulizokosa

mpaka
  • Habari
  • Jamii
  • Kimataifa
  • Tanzania

Tanzania na Rwanda zakutana kujadili uimarishaji wa mpaka

RADIO KWIZERA June 9, 2025
MKUU WA WILAYA BUKOBA
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Raia wa kigeni 13 walioingia kinyume na utaratibu wakamatwa

RADIO KWIZERA June 9, 2025
Mchengerwa
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Wanafunzi 214,141 kujiunga na kidato cha tano, vyuo vya ufundi.

RADIO KWIZERA June 6, 2025
WhatsApp Image 2025-06-04 at 12.46.05
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Bilioni 2 kujenga miundombinu mipya ya elimu Kakonko

RADIO KWIZERA June 5, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

Afya amani Biharamulo Business CCM CHADEMA Chama Dk. gwajima Dkt. Mpango Halmashauri jengo jipya Jeshi la polisi Geita Kakonko DC Kampeni Kanisa Katoliki Kigoma Kugawanyika Kuhatarisha makamu wa rais Michezo Migogoro ya ndoa Msamaha Muleba Newsbeat Nyakagomba Geita Papa Leo XIV Radio Kwizera Rais Ruto Rais Samia Sheria taasisi Viongozi kuwa Vishoka Vyandarua Waganga wa kienyeji Wageni Wakuu wa Idara Wananchama Wasoma mita Watanzania Waziri Mkuu waziri wa Maji Wizara ya Afya wizara ya maendeleo World
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ