Skip to content
November 8, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • Elimu na Afya
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Kimataifa
  • 23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu kaskazini mwa Gaza
  • Kimataifa
  • Majanga
  • Newsbeat
  • Siasa

23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu kaskazini mwa Gaza

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
e0509d22-873c-41cd-a291-05b65edc53f1_w1080_h608_b

Takriban watu 23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu katika eneo la kaskazini mwa Gaza.

Vifo hivyo vimeripotiwa wakati mapigano yaliyoanza upya hivi karibuni katika ukanda huo yakionyesha dalili ya kutopungua.

Wizara ya afya inayosimamiwa na kundi la Hamas imethibitisha vifo hivyo na hospitali ya Al-Ahly imeeleza kuwa miongoni mwa watu hao waliouwawa kuna wanawake wanane na watoto wanane

Kwa mujibu wa huduma ya dharura ya wizara hiyo ya afya, shambulio la Israel limelenga jengo la ghorofa nne katika eneo la Shijaiyah, mjini Gaza huku vikosi vya uokoaji vikiripotiwa kuendelea kutafuta manusura chini ya kifusi.

Continue Reading

Previous: WHO: Viwango vya vifo wajawazito, watoto wachanga Afrika vimepungua tangu mwaka 2000
Next: Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi

Related Stories

Hamza
  • Habari
  • Siasa
  • Stories
  • Tanzania

Mwanasheria Mkuu wa Serikali atahadharisha maandamano

Radio Kwizera October 28, 2025
b3c83057-74de-4a41-ab54-f7bff8324df3.jpg
  • Afrika Mashariki
  • Ajali
  • Habari
  • Majanga

12 wahofiwa kufariki ajali ya ndege Kenya

Radio Kwizera October 28, 2025
Misimeeee
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Stories
  • Tanzania

Jeshi la Polisi lawahakikishia Usalama wananchi Uchaguzi Mkuu

Radio Kwizera October 28, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Mwanasheria Mkuu wa Serikali atahadharisha maandamano Hamza 1

Mwanasheria Mkuu wa Serikali atahadharisha maandamano

October 28, 2025
20 Percent karudi upya 20-Percent-Inachoma 2

20 Percent karudi upya

October 28, 2025
12 wahofiwa kufariki ajali ya ndege Kenya b3c83057-74de-4a41-ab54-f7bff8324df3.jpg 3

12 wahofiwa kufariki ajali ya ndege Kenya

October 28, 2025
Jeshi la Polisi lawahakikishia Usalama wananchi Uchaguzi Mkuu Misimeeee 4

Jeshi la Polisi lawahakikishia Usalama wananchi Uchaguzi Mkuu

October 28, 2025
Dkt. Samia apongeza watanzania kufanya Kampeni za Kistaarabu SAMIA MWANZA 5

Dkt. Samia apongeza watanzania kufanya Kampeni za Kistaarabu

October 28, 2025

ulizokosa

Hamza
  • Habari
  • Siasa
  • Stories
  • Tanzania

Mwanasheria Mkuu wa Serikali atahadharisha maandamano

Radio Kwizera October 28, 2025
20-Percent-Inachoma
  • Burudani

20 Percent karudi upya

Radio Kwizera October 28, 2025
b3c83057-74de-4a41-ab54-f7bff8324df3.jpg
  • Afrika Mashariki
  • Ajali
  • Habari
  • Majanga

12 wahofiwa kufariki ajali ya ndege Kenya

Radio Kwizera October 28, 2025
Misimeeee
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Stories
  • Tanzania

Jeshi la Polisi lawahakikishia Usalama wananchi Uchaguzi Mkuu

Radio Kwizera October 28, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva Cardi B CCM CHADEMA Demokrasia Elimu Fursa Geita Grammy Hukumu INEC Jeshi la polisi KAGERA Kahama Kampeni Kanisa Katoliki Kigoma Mafunzo Mgodi Muleba muziki Mwanza Mwenge wa uhuru Newsbeat Ngara Polisi Radio Kwizera Rais wa Zanzibar Rapa Rushwa Samia TAKUKURU Tanzania TRA Uchaguzi Uchumi Ulinzi Ushirikiano Vurugu Watanzania Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ