Skip to content
November 15, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • Elimu na Afya
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Kimataifa
  • 23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu kaskazini mwa Gaza
  • Kimataifa
  • Majanga
  • Newsbeat
  • Siasa

23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu kaskazini mwa Gaza

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
e0509d22-873c-41cd-a291-05b65edc53f1_w1080_h608_b

Takriban watu 23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu katika eneo la kaskazini mwa Gaza.

Vifo hivyo vimeripotiwa wakati mapigano yaliyoanza upya hivi karibuni katika ukanda huo yakionyesha dalili ya kutopungua.

Wizara ya afya inayosimamiwa na kundi la Hamas imethibitisha vifo hivyo na hospitali ya Al-Ahly imeeleza kuwa miongoni mwa watu hao waliouwawa kuna wanawake wanane na watoto wanane

Kwa mujibu wa huduma ya dharura ya wizara hiyo ya afya, shambulio la Israel limelenga jengo la ghorofa nne katika eneo la Shijaiyah, mjini Gaza huku vikosi vya uokoaji vikiripotiwa kuendelea kutafuta manusura chini ya kifusi.

Continue Reading

Previous: WHO: Viwango vya vifo wajawazito, watoto wachanga Afrika vimepungua tangu mwaka 2000
Next: Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi

Related Stories

Samia akifungua Bunge
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Tanzania

Rais Samia aagiza waliokamatwa kwa Makosa ya Uhaini waachiwe

Radio Kwizera November 14, 2025
SILLO
  • Jamii
  • Siasa
  • Tanzania

Daniel Sillo, Naibu Spika Mpya wa Bunge la 13

Radio Kwizera November 13, 2025
Mwigulu
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Siasa
  • Tanzania

Mfahamu Waziri Mkuu wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba

Radio Kwizera November 13, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Rais Samia aagiza waliokamatwa kwa Makosa ya Uhaini waachiwe Samia akifungua Bunge 1

Rais Samia aagiza waliokamatwa kwa Makosa ya Uhaini waachiwe

November 14, 2025
Rais Dkt Samia. Uwaziri mkuu sio cheo cha Urafiki SAMIAAAA 2

Rais Dkt Samia. Uwaziri mkuu sio cheo cha Urafiki

November 14, 2025
Eddy Kenzo akataa ofa ya Warner Music Eddy 3

Eddy Kenzo akataa ofa ya Warner Music

November 14, 2025
Uchumi wa Kardashian wafikia dola bilioni 1.9 kimmm 4

Uchumi wa Kardashian wafikia dola bilioni 1.9

November 13, 2025
Daniel Sillo, Naibu Spika Mpya wa Bunge la 13 SILLO 5

Daniel Sillo, Naibu Spika Mpya wa Bunge la 13

November 13, 2025

ulizokosa

Samia akifungua Bunge
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Tanzania

Rais Samia aagiza waliokamatwa kwa Makosa ya Uhaini waachiwe

Radio Kwizera November 14, 2025
SAMIAAAA
  • English

Rais Dkt Samia. Uwaziri mkuu sio cheo cha Urafiki

Radio Kwizera November 14, 2025
Eddy
  • Burudani

Eddy Kenzo akataa ofa ya Warner Music

Radio Kwizera November 14, 2025
kimmm
  • Burudani

Uchumi wa Kardashian wafikia dola bilioni 1.9

Radio Kwizera November 13, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva Cardi B CCM CHADEMA Demokrasia Elimu Fursa Geita Grammy Hukumu INEC Jeshi la polisi Kahama Kampeni Kanisa Katoliki Kigoma Mafunzo Mgodi Miradi Muleba muziki Mwanza Newsbeat Ngara Polisi Radio Kwizera Rapa Rushwa Samia TAKUKURU Tanzania TRA Uchaguzi Uchumi Uhaini Ulinzi Ushirikiano Vijana Wanafunzi Watanzania Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ