Skip to content
November 26, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • Elimu na Afya
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Kimataifa
  • 23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu kaskazini mwa Gaza
  • Kimataifa
  • Majanga
  • Newsbeat
  • Siasa

23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu kaskazini mwa Gaza

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
e0509d22-873c-41cd-a291-05b65edc53f1_w1080_h608_b

Takriban watu 23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu katika eneo la kaskazini mwa Gaza.

Vifo hivyo vimeripotiwa wakati mapigano yaliyoanza upya hivi karibuni katika ukanda huo yakionyesha dalili ya kutopungua.

Wizara ya afya inayosimamiwa na kundi la Hamas imethibitisha vifo hivyo na hospitali ya Al-Ahly imeeleza kuwa miongoni mwa watu hao waliouwawa kuna wanawake wanane na watoto wanane

Kwa mujibu wa huduma ya dharura ya wizara hiyo ya afya, shambulio la Israel limelenga jengo la ghorofa nne katika eneo la Shijaiyah, mjini Gaza huku vikosi vya uokoaji vikiripotiwa kuendelea kutafuta manusura chini ya kifusi.

Continue Reading

Previous: WHO: Viwango vya vifo wajawazito, watoto wachanga Afrika vimepungua tangu mwaka 2000
Next: Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi

Related Stories

JESHI LA SUDANI
  • Kimataifa
  • Usalama

Jeshi la Sudan limezuia shambulizi la wanamgambo wa RSF.

Radio Kwizera November 26, 2025
MWIGULU NCHEMBA
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Usalama

Waziri Mkuu. Dkt Mwigulu Nchemba Atoa pole vifo Okt 29, 2025

Radio Kwizera November 25, 2025
Bora Tinubu
  • Africa
  • Kimataifa
  • Stories
  • Usalama

Kusuasua Usalama Nigeria- Tinubu aagiza askari kupangwa Upya

Radio Kwizera November 24, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Jeshi la Sudan limezuia shambulizi la wanamgambo wa RSF. JESHI LA SUDANI 1

Jeshi la Sudan limezuia shambulizi la wanamgambo wa RSF.

November 26, 2025
Waziri Simbachawene awahimiza wananchi kudumisha amani WAZIRI SIMBA CHAWENE 2

Waziri Simbachawene awahimiza wananchi kudumisha amani

November 26, 2025
Show ya Burna Boy yakosa mashabiki Burna 3

Show ya Burna Boy yakosa mashabiki

November 26, 2025
Rema: Ukipata hela hata majirani hubadirika REMA 4

Rema: Ukipata hela hata majirani hubadirika

November 26, 2025
Serikali yafuta Leseni 73 za uchimbaji wa kati na Utafiti wa madini. Mavunde 5

Serikali yafuta Leseni 73 za uchimbaji wa kati na Utafiti wa madini.

November 25, 2025

ulizokosa

JESHI LA SUDANI
  • Kimataifa
  • Usalama

Jeshi la Sudan limezuia shambulizi la wanamgambo wa RSF.

Radio Kwizera November 26, 2025
WAZIRI SIMBA CHAWENE
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania
  • Usalama

Waziri Simbachawene awahimiza wananchi kudumisha amani

Radio Kwizera November 26, 2025
Burna
  • Burudani

Show ya Burna Boy yakosa mashabiki

Radio Kwizera November 26, 2025
REMA
  • Burudani

Rema: Ukipata hela hata majirani hubadirika

Radio Kwizera November 26, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva CCM CHADEMA Elimu Familia Fursa Geita Grammy Hukumu INEC Jeshi la polisi Kahama Kampeni Kanisa Kanisa Katoliki Kigoma Mafunzo mahakama Mgodi Muleba muziki Mwanza Newsbeat Ngara Nigeria Polisi Radio Kwizera Rushwa Samia TAKUKURU Tanzania TRA Uchaguzi Uchumi Ulinzi usalama Ushirikiano Vijana Vurugu Watanzania Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ