Skip to content
September 17, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Kimataifa
  • 23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu kaskazini mwa Gaza
  • Kimataifa
  • Majanga
  • Newsbeat
  • Siasa

23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu kaskazini mwa Gaza

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
e0509d22-873c-41cd-a291-05b65edc53f1_w1080_h608_b

Takriban watu 23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu katika eneo la kaskazini mwa Gaza.

Vifo hivyo vimeripotiwa wakati mapigano yaliyoanza upya hivi karibuni katika ukanda huo yakionyesha dalili ya kutopungua.

Wizara ya afya inayosimamiwa na kundi la Hamas imethibitisha vifo hivyo na hospitali ya Al-Ahly imeeleza kuwa miongoni mwa watu hao waliouwawa kuna wanawake wanane na watoto wanane

Kwa mujibu wa huduma ya dharura ya wizara hiyo ya afya, shambulio la Israel limelenga jengo la ghorofa nne katika eneo la Shijaiyah, mjini Gaza huku vikosi vya uokoaji vikiripotiwa kuendelea kutafuta manusura chini ya kifusi.

Continue Reading

Previous: WHO: Viwango vya vifo wajawazito, watoto wachanga Afrika vimepungua tangu mwaka 2000
Next: Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi

Related Stories

Mpina na Tume
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Siasa
  • Tanzania

Kinyang’anyiro cha Urais 2025, INEC yamwondoa Mpina

Radio Kwizera September 15, 2025
indonesia
  • Kimataifa

Mawaziri watano wafutwa kazi nchini Indonesia

Radio Kwizera September 9, 2025
IMG-20250904-WA0166
  • Siasa

Mgombea mwenza urais CCM aahidi kutatua kero ya barabara

Joyce Hamka September 4, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Mamlaka za maji nchini zatakiwa kuvitunza vyanzo vidogo vya maji. WhatsApp Image 2025-09-17 at 19.27.21 (1) 1

Mamlaka za maji nchini zatakiwa kuvitunza vyanzo vidogo vya maji.

September 17, 2025
Mauaji Shinyanga, mlinzi wa maduka ameuawa eneo la kazi. KAMANDA SHINYANGA 2

Mauaji Shinyanga, mlinzi wa maduka ameuawa eneo la kazi.

September 17, 2025
Mfahamu Askofu Mkuu Rugambwa aliyefariki Archbishop-Rugambwa-Nuncio-to-New-Zealand 3

Mfahamu Askofu Mkuu Rugambwa aliyefariki

September 17, 2025
Operesheni Nishati Safi, 199 wahitimu Kikosi 835 JKT Handeni WAHITIMU 4

Operesheni Nishati Safi, 199 wahitimu Kikosi 835 JKT Handeni

September 16, 2025
Waliokosa elimu ya mfumo rasmi Mwanza, washauriwa kujiunga elimu ya watu wazima. RC MTANDA AWAALIKA WALIOKOSA ELIMU RASMI KUJIUNGA NA MPANGO WA ELIMU WATU WAZIMAMkuu wa Mkoa wa 5

Waliokosa elimu ya mfumo rasmi Mwanza, washauriwa kujiunga elimu ya watu wazima.

September 16, 2025

ulizokosa

WhatsApp Image 2025-09-17 at 19.27.21 (1)
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Mamlaka za maji nchini zatakiwa kuvitunza vyanzo vidogo vya maji.

Radio Kwizera September 17, 2025
KAMANDA SHINYANGA
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Mauaji Shinyanga, mlinzi wa maduka ameuawa eneo la kazi.

Radio Kwizera September 17, 2025
Archbishop-Rugambwa-Nuncio-to-New-Zealand
  • Habari
  • Imani na Dini

Mfahamu Askofu Mkuu Rugambwa aliyefariki

Radio Kwizera September 17, 2025
WAHITIMU
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Operesheni Nishati Safi, 199 wahitimu Kikosi 835 JKT Handeni

Radio Kwizera September 16, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Business CCM CHADEMA Demokrasia Diplomasia Geita Haki za uchaguzi Halmashauri ya Msalala INEC Jeshi la polisi KAGERA Kahama Kampeni Kanisa Katoliki Kigoma Mgodi Miradi ya maendeleo Muleba Mwanza Mwenge wa uhuru Newsbeat Ngara Radio Kwizera Rais Samia Rais wa Zanzibar TAKUKURU Uchaguzi Uchumi Uchunguzi Uimarishaji Mipaka ujenzi UKIMWI Ulinzi Ushirikiano Uzinduzi Vijana Viwanda Waziri Mkuu wilaya ya kakonko Wizara ya Afya wizara ya mifugo Wizara ya Nishati
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ