Skip to content
November 24, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • Elimu na Afya
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Kimataifa
  • 23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu kaskazini mwa Gaza
  • Kimataifa
  • Majanga
  • Newsbeat
  • Siasa

23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu kaskazini mwa Gaza

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
e0509d22-873c-41cd-a291-05b65edc53f1_w1080_h608_b

Takriban watu 23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu katika eneo la kaskazini mwa Gaza.

Vifo hivyo vimeripotiwa wakati mapigano yaliyoanza upya hivi karibuni katika ukanda huo yakionyesha dalili ya kutopungua.

Wizara ya afya inayosimamiwa na kundi la Hamas imethibitisha vifo hivyo na hospitali ya Al-Ahly imeeleza kuwa miongoni mwa watu hao waliouwawa kuna wanawake wanane na watoto wanane

Kwa mujibu wa huduma ya dharura ya wizara hiyo ya afya, shambulio la Israel limelenga jengo la ghorofa nne katika eneo la Shijaiyah, mjini Gaza huku vikosi vya uokoaji vikiripotiwa kuendelea kutafuta manusura chini ya kifusi.

Continue Reading

Previous: WHO: Viwango vya vifo wajawazito, watoto wachanga Afrika vimepungua tangu mwaka 2000
Next: Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi

Related Stories

Misimeeee
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Tanzania

Polisi yatahadharisha kauli zinazochochea Uvunjifu wa Amani

Radio Kwizera November 21, 2025
Congo kuzama
  • Afrika Mashariki
  • Ajali
  • Habari
  • Kimataifa

Boti ya zama Mto Kisangani 70 hawajulikani wapo nchini DRC.

Radio Kwizera November 20, 2025
JENEZA LA JOSHUA JPG
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Jamii
  • Kimataifa
  • Majanga

Mwili wa Joshua Molele aliyeuawa Israel wawasili kwao Simanjiro.

Radio Kwizera November 20, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Itare aachie EP yake yenye Nyimbo 07. In pursuit of greatness👑Ep out soon! 1

Itare aachie EP yake yenye Nyimbo 07.

November 24, 2025
Miss Universe Jamaica Gabby hali yake bado si nzuri. MISS 2

Miss Universe Jamaica Gabby hali yake bado si nzuri.

November 24, 2025
Raia 14 wa Burundi Wakamatwa Mwanza mutaaaaaaaa 3

Raia 14 wa Burundi Wakamatwa Mwanza

November 24, 2025
Bin Laden afichua kutolipwa na Roma Mkatoliki. BIN LADEN 4

Bin Laden afichua kutolipwa na Roma Mkatoliki.

November 24, 2025
Mabweni mawili yateketea kwa Moto Sumve, Polisi Yachunguza bweni-pic 5

Mabweni mawili yateketea kwa Moto Sumve, Polisi Yachunguza

November 21, 2025

ulizokosa

In pursuit of greatness👑Ep out soon!
  • Burudani

Itare aachie EP yake yenye Nyimbo 07.

Radio Kwizera November 24, 2025
MISS
  • Burudani

Miss Universe Jamaica Gabby hali yake bado si nzuri.

Radio Kwizera November 24, 2025
mutaaaaaaaa
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Raia 14 wa Burundi Wakamatwa Mwanza

Radio Kwizera November 24, 2025
BIN LADEN
  • Burudani

Bin Laden afichua kutolipwa na Roma Mkatoliki.

Radio Kwizera November 24, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva Cardi B CCM CHADEMA dola Elimu Familia Fursa Geita Grammy Hukumu INEC Jeshi la polisi Kahama Kampeni Kanisa Katoliki Kigoma Mafunzo mahakama Mgodi Muleba muziki Mwanza Newsbeat Ngara Polisi Radio Kwizera Rapa Rushwa Samia TAKUKURU Tanzania TRA Uchaguzi Uchumi Ulinzi Ushirikiano Vijana Vurugu Watanzania Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ