Skip to content
December 9, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • Elimu na Afya
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Kimataifa
  • 23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu kaskazini mwa Gaza
  • Kimataifa
  • Majanga
  • Newsbeat
  • Siasa

23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu kaskazini mwa Gaza

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
e0509d22-873c-41cd-a291-05b65edc53f1_w1080_h608_b

Takriban watu 23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu katika eneo la kaskazini mwa Gaza.

Vifo hivyo vimeripotiwa wakati mapigano yaliyoanza upya hivi karibuni katika ukanda huo yakionyesha dalili ya kutopungua.

Wizara ya afya inayosimamiwa na kundi la Hamas imethibitisha vifo hivyo na hospitali ya Al-Ahly imeeleza kuwa miongoni mwa watu hao waliouwawa kuna wanawake wanane na watoto wanane

Kwa mujibu wa huduma ya dharura ya wizara hiyo ya afya, shambulio la Israel limelenga jengo la ghorofa nne katika eneo la Shijaiyah, mjini Gaza huku vikosi vya uokoaji vikiripotiwa kuendelea kutafuta manusura chini ya kifusi.

Continue Reading

Previous: Wakurugenzi mamlaka za serikali za Mitaa wamelekezwa kutowaondoa Waganga wafawidhi wa vituo vya afya
Next: Serikali imefanya ukarabati wa barabara na kujenga madaraja zaidi ya sita mkoani Mwanza

Related Stories

MPINA
  • Siasa

Mpina: Uchaguzi unatakiwa kurudiwa ndani ya siku 90

Radio Kwizera December 5, 2025
SAMIA
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa

Rais Dkt. Samia amesema Serikali yake haitakiwi kuamrishwa .

Radio Kwizera December 2, 2025
JESHI GUINEA
  • Africa
  • Habari
  • Siasa

Maafisa wa Kijeshi Guinea -Bissau Wapindua Serikali.

Radio Kwizera November 27, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Serikali ya Benin yazima jaribio la mapinduzi mapema Dec.7-3035. BENIN 1

Serikali ya Benin yazima jaribio la mapinduzi mapema Dec.7-3035.

December 7, 2025
116 mbaroni uchochezi maandamano 9 Desemba 2025 Mwanza. mtafungwa 2

116 mbaroni uchochezi maandamano 9 Desemba 2025 Mwanza.

December 7, 2025
Mpina: Uchaguzi unatakiwa kurudiwa ndani ya siku 90 MPINA 3

Mpina: Uchaguzi unatakiwa kurudiwa ndani ya siku 90

December 5, 2025
Dkt. Migiro asema vijana nchini wana paswa kuilinda Tanzania. Migiro 4

Dkt. Migiro asema vijana nchini wana paswa kuilinda Tanzania.

December 4, 2025
Kesi ya Mange Kimambi Kusikilizwa Jan.28-2026 KIMABI 5

Kesi ya Mange Kimambi Kusikilizwa Jan.28-2026

December 4, 2025

ulizokosa

BENIN
  • Africa
  • Habari
  • Usalama

Serikali ya Benin yazima jaribio la mapinduzi mapema Dec.7-3035.

Radio Kwizera December 7, 2025
mtafungwa
  • English

116 mbaroni uchochezi maandamano 9 Desemba 2025 Mwanza.

Radio Kwizera December 7, 2025
MPINA
  • Siasa

Mpina: Uchaguzi unatakiwa kurudiwa ndani ya siku 90

Radio Kwizera December 5, 2025
Migiro
  • Habari
  • Jamii
  • Usalama

Dkt. Migiro asema vijana nchini wana paswa kuilinda Tanzania.

Radio Kwizera December 4, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva CCM CHADEMA Elimu Familia Fursa Geita Grammy Hukumu INEC Jeshi la polisi Kahama Kampeni Kanisa Kanisa Katoliki Kigoma Mafunzo Mgodi Miradi ya maendeleo Muleba muziki Mwanza Newsbeat Ngara Nigeria Polisi Radio Kwizera Rushwa Samia Serikali TAKUKURU Tanzania Uchaguzi uchaguzi mkuu Uchumi Ulinzi Ushirikiano Vijana Vurugu Watanzania Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ