Skip to content
November 19, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • Elimu na Afya
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Kimataifa
  • 23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu kaskazini mwa Gaza
  • Kimataifa
  • Majanga
  • Newsbeat
  • Siasa

23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu kaskazini mwa Gaza

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
e0509d22-873c-41cd-a291-05b65edc53f1_w1080_h608_b

Takriban watu 23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu katika eneo la kaskazini mwa Gaza.

Vifo hivyo vimeripotiwa wakati mapigano yaliyoanza upya hivi karibuni katika ukanda huo yakionyesha dalili ya kutopungua.

Wizara ya afya inayosimamiwa na kundi la Hamas imethibitisha vifo hivyo na hospitali ya Al-Ahly imeeleza kuwa miongoni mwa watu hao waliouwawa kuna wanawake wanane na watoto wanane

Kwa mujibu wa huduma ya dharura ya wizara hiyo ya afya, shambulio la Israel limelenga jengo la ghorofa nne katika eneo la Shijaiyah, mjini Gaza huku vikosi vya uokoaji vikiripotiwa kuendelea kutafuta manusura chini ya kifusi.

Continue Reading

Previous: WHO: Viwango vya vifo wajawazito, watoto wachanga Afrika vimepungua tangu mwaka 2000
Next: Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi

Related Stories

RPC MAGOMI
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Jamii
  • Majanga
  • Tanzania

Mwendesha Pikipiki Auwawa na wasiojulikana Kahama

Radio Kwizera November 19, 2025
Joshua Molel
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Jamii
  • Kimataifa
  • Majanga

Mwili wa Joshua Aliyeuwawa na Hamas Kurejeshwa Nchini Leo

Radio Kwizera November 19, 2025
Samia leo
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Tanzania

Yaliyotokea Oktoba 29 Yametutia Doa; Rais Samia

Radio Kwizera November 18, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Itare: Muziki ni mkusanyiko wa hisia In pursuit of greatness👑Ep out soon! 1

Itare: Muziki ni mkusanyiko wa hisia

November 19, 2025
Mwendesha Pikipiki Auwawa na wasiojulikana Kahama RPC MAGOMI 2

Mwendesha Pikipiki Auwawa na wasiojulikana Kahama

November 19, 2025
Nicki Minaj ahutubia UN kuhusu Uhuru wa kuabudu minaj 3

Nicki Minaj ahutubia UN kuhusu Uhuru wa kuabudu

November 19, 2025
Novemba 18 kuwa “Davido Day” Jijini Atlanta davido 4

Novemba 18 kuwa “Davido Day” Jijini Atlanta

November 19, 2025
Pharrell: Siasa ni mchezo wa Mazingaombwe pharell 5

Pharrell: Siasa ni mchezo wa Mazingaombwe

November 19, 2025

ulizokosa

In pursuit of greatness👑Ep out soon!
  • Burudani

Itare: Muziki ni mkusanyiko wa hisia

Radio Kwizera November 19, 2025
RPC MAGOMI
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Jamii
  • Majanga
  • Tanzania

Mwendesha Pikipiki Auwawa na wasiojulikana Kahama

Radio Kwizera November 19, 2025
minaj
  • English

Nicki Minaj ahutubia UN kuhusu Uhuru wa kuabudu

Radio Kwizera November 19, 2025
davido
  • Burudani

Novemba 18 kuwa “Davido Day” Jijini Atlanta

Radio Kwizera November 19, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva Cardi B CCM CHADEMA dola Elimu Familia Fursa Geita Grammy Hukumu INEC Jeshi la polisi Kahama Kampeni Kanisa Katoliki Kigoma Mafunzo mahakama Mgodi Muleba muziki Mwanza Newsbeat Ngara Polisi Radio Kwizera Rapa Rushwa Samia TAKUKURU Tanzania TRA Uchaguzi Uchumi Ulinzi Ushirikiano Vijana Vurugu Watanzania Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ