Skip to content
December 24, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • Elimu na Afya
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Kimataifa
  • 23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu kaskazini mwa Gaza
  • Kimataifa
  • Majanga
  • Newsbeat
  • Siasa

23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu kaskazini mwa Gaza

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
e0509d22-873c-41cd-a291-05b65edc53f1_w1080_h608_b

Takriban watu 23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu katika eneo la kaskazini mwa Gaza.

Vifo hivyo vimeripotiwa wakati mapigano yaliyoanza upya hivi karibuni katika ukanda huo yakionyesha dalili ya kutopungua.

Wizara ya afya inayosimamiwa na kundi la Hamas imethibitisha vifo hivyo na hospitali ya Al-Ahly imeeleza kuwa miongoni mwa watu hao waliouwawa kuna wanawake wanane na watoto wanane

Kwa mujibu wa huduma ya dharura ya wizara hiyo ya afya, shambulio la Israel limelenga jengo la ghorofa nne katika eneo la Shijaiyah, mjini Gaza huku vikosi vya uokoaji vikiripotiwa kuendelea kutafuta manusura chini ya kifusi.

Continue Reading

Previous: Wakurugenzi mamlaka za serikali za Mitaa wamelekezwa kutowaondoa Waganga wafawidhi wa vituo vya afya
Next: Serikali imefanya ukarabati wa barabara na kujenga madaraja zaidi ya sita mkoani Mwanza

Related Stories

PApa Leo
  • Africa
  • Imani na Dini
  • Jamii
  • Kimataifa
  • Stories

Papa Leo IV alaani Viongozi wa dini kuchochea migogoro ya nchi

Radio Kwizera December 19, 2025
BOND 2
  • Jamii
  • Kimataifa
  • Usalama

Naveed Akram, Ashtakiwa makosa 59 ya Mauaji Bondi Australia.

Radio Kwizera December 17, 2025
m23
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa

Waasi wa M23 waeleza kukubali kuondoka Uvira

Radio Kwizera December 16, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Papa Leo XIV ataka kusitishwa vita duniani wakati wa sikukuu. papa-picc 1

Papa Leo XIV ataka kusitishwa vita duniani wakati wa sikukuu.

December 24, 2025
Pro. Janabi azitahadharisha nchi za Afrika bajeti za afya. JANABI 2

Pro. Janabi azitahadharisha nchi za Afrika bajeti za afya.

December 22, 2025
Wiz Khalifa amehukumiwa miaka 9 jela wiz-khalifa 3

Wiz Khalifa amehukumiwa miaka 9 jela

December 19, 2025
Jux akubalika Nigeria jux 4

Jux akubalika Nigeria

December 19, 2025
Watoto chini ya mika 18 kupewa Utambulisho Simbachawene 5

Watoto chini ya mika 18 kupewa Utambulisho

December 19, 2025

ulizokosa

papa-picc
  • Habari
  • Imani na Dini
  • Usalama

Papa Leo XIV ataka kusitishwa vita duniani wakati wa sikukuu.

Radio Kwizera December 24, 2025
JANABI
  • Africa
  • Elimu na Afya
  • Habari
  • Jamii

Pro. Janabi azitahadharisha nchi za Afrika bajeti za afya.

Radio Kwizera December 22, 2025
wiz-khalifa
  • Burudani

Wiz Khalifa amehukumiwa miaka 9 jela

Radio Kwizera December 19, 2025
jux
  • Burudani

Jux akubalika Nigeria

Radio Kwizera December 19, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva CCM CHADEMA Elimu Familia Fursa Geita Grammy Hukumu INEC Jeshi la polisi Kahama Kampeni Kanisa Kanisa Katoliki Kigoma mahakama Mgodi Miradi ya maendeleo Muleba muziki Mwanza Newsbeat Ngara Nigeria Polisi Radio Kwizera Rushwa Samia Serikali Sheria TAKUKURU Tanzania Uchaguzi uchaguzi mkuu Uchumi Ulinzi Ushirikiano Vurugu Watanzania Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ