Skip to content
January 18, 2026
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • ELIMU NA AFYA
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
    • IFAHAMU RK
    • TIMU YETU
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Kimataifa
  • 23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu kaskazini mwa Gaza
  • Kimataifa
  • Majanga
  • Newsbeat
  • Siasa

23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu kaskazini mwa Gaza

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
e0509d22-873c-41cd-a291-05b65edc53f1_w1080_h608_b

Takriban watu 23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu katika eneo la kaskazini mwa Gaza.

Vifo hivyo vimeripotiwa wakati mapigano yaliyoanza upya hivi karibuni katika ukanda huo yakionyesha dalili ya kutopungua.

Wizara ya afya inayosimamiwa na kundi la Hamas imethibitisha vifo hivyo na hospitali ya Al-Ahly imeeleza kuwa miongoni mwa watu hao waliouwawa kuna wanawake wanane na watoto wanane

Kwa mujibu wa huduma ya dharura ya wizara hiyo ya afya, shambulio la Israel limelenga jengo la ghorofa nne katika eneo la Shijaiyah, mjini Gaza huku vikosi vya uokoaji vikiripotiwa kuendelea kutafuta manusura chini ya kifusi.

Continue Reading

Previous: Wakurugenzi mamlaka za serikali za Mitaa wamelekezwa kutowaondoa Waganga wafawidhi wa vituo vya afya
Next: Serikali imefanya ukarabati wa barabara na kujenga madaraja zaidi ya sita mkoani Mwanza

Related Stories

National_Congress_for_Liberty_logo
  • Afrika Mashariki
  • Kimataifa
  • Siasa

BURUNDI. Wafanyakazi Burundi Watafuta ajira nje ya nchi.

Radio Kwizera January 15, 2026
UGANDA-POLITICS-ELECTIONS
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Kimataifa
  • Usalama

Bobi Wine atangaza maandamano ikiwa Museveni ataiba kura

Radio Kwizera January 13, 2026
PApa Leo
  • Africa
  • Imani na Dini
  • Jamii
  • Kimataifa
  • Stories

Papa Leo IV alaani Viongozi wa dini kuchochea migogoro ya nchi

Radio Kwizera December 19, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Wachezaji wa zamani wa timu ya Comoro waipongeza Taifa Stars COMORO WAIPONGEZA TAIFA STARSBalozi wa Tanzania nchini Comoro,Saidi Yakubu leo amewapokea wache (1) 1

Wachezaji wa zamani wa timu ya Comoro waipongeza Taifa Stars

January 16, 2026
Just know...we appreciate you. Thank you for your support!#customerappreciation 2

January 16, 2026
Eric Omondi kuwania uwakilishi wa Vijana 2027 omondi 3

Eric Omondi kuwania uwakilishi wa Vijana 2027

January 16, 2026
DNA yathibitisha Anu Adeleke sio binti wa Davido davido 4

DNA yathibitisha Anu Adeleke sio binti wa Davido

January 16, 2026
Anu Adeleke aomba kupima DNA na Davido Davido Anu 5

Anu Adeleke aomba kupima DNA na Davido

January 16, 2026

ulizokosa

COMORO WAIPONGEZA TAIFA STARSBalozi wa Tanzania nchini Comoro,Saidi Yakubu leo amewapokea wache (1)
  • Michezo

Wachezaji wa zamani wa timu ya Comoro waipongeza Taifa Stars

Radio Kwizera January 16, 2026
Just know...we appreciate you. Thank you for your support!#customerappreciation
  • Michezo

Radio Kwizera January 16, 2026
omondi
  • Burudani

Eric Omondi kuwania uwakilishi wa Vijana 2027

Radio Kwizera January 16, 2026
davido
  • Burudani

DNA yathibitisha Anu Adeleke sio binti wa Davido

Radio Kwizera January 16, 2026

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva CCM CHADEMA Elimu Familia Fursa Geita Grammy INEC Jeshi la polisi KAGERA Kahama Kampeni Kanisa Kanisa Katoliki Kigoma mahakama Mgodi Muleba muziki Mwanza Newsbeat Ngara Nigeria Polisi Radio Kwizera Samia Sheria TAKUKURU Tanzania Uchaguzi uchaguzi mkuu Uchumi ujenzi Ulinzi Ushirikiano Vijana Vurugu Wanafunzi Watanzania Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ