Skip to content
November 26, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • Elimu na Afya
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Wananchi Halmashauri ya mji wa Tarime wanadaiwa kuendelea kukaidi maagizo kutofanya shughuli katika vyanzo maji
  • Afrika Mashariki
  • Biashara na Uchumi
  • Habari
  • Majanga
  • Newsbeat
  • Tanzania

Wananchi Halmashauri ya mji wa Tarime wanadaiwa kuendelea kukaidi maagizo kutofanya shughuli katika vyanzo maji

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
Mto Mara

Baadhi ya wananchi katika Halmashauri ya Mji Tarime wilayani Tarime mkoani Mara wanadaiwa kuendelea kukaidi maagizo ya kutofanya shughuli mbalimbali karibu na vyanzo maji.

Akizungumza na waandishi wa habari jana, ofisini kwake Afisa Mazingira wa halmashauri hiyo Patrice Boniphace, amesema kuwa pamoja na juhudi zilizofanyika, bado baadhi ya watu wanaosha magari, kulima, kuchimba mchanga, kuchenjua dhahabu na hata kujenga karibu na vyanzo vya maji.

Afisa huyo amefafanua kuwa shughuli mbalimbali karibu na vyanzo vya maji huruhusiwa kwa kuzingatia vipimo vya mto au kijito.

Ametolea mfano, kwa mto mkubwa kama Mori, shughuli zinatakiwa kufanyika umbali wa mita 60 kutoka mtoni, wakati kwa mito midogo na vijito ni umbali wa mita 30.

Continue Reading

Previous: WHO: Viwango vya vifo wajawazito, watoto wachanga Afrika vimepungua tangu mwaka 2000
Next: Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi

Related Stories

Mavunde
  • Afrika Mashariki
  • Biashara na Uchumi
  • Habari
  • Jamii

Serikali yafuta Leseni 73 za uchimbaji wa kati na Utafiti wa madini.

Radio Kwizera November 25, 2025
MWIGULU NCHEMBA
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Usalama

Waziri Mkuu. Dkt Mwigulu Nchemba Atoa pole vifo Okt 29, 2025

Radio Kwizera November 25, 2025
MCHENGERWA
  • Habari
  • Health
  • Tanzania

Mchengerwa kuendeleza viwanda vya dawa na vifaa tiba nchini

Radio Kwizera November 25, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Serikali yafuta Leseni 73 za uchimbaji wa kati na Utafiti wa madini. Mavunde 1

Serikali yafuta Leseni 73 za uchimbaji wa kati na Utafiti wa madini.

November 25, 2025
Waziri Mkuu. Dkt Mwigulu Nchemba Atoa pole vifo Okt 29, 2025 MWIGULU NCHEMBA 2

Waziri Mkuu. Dkt Mwigulu Nchemba Atoa pole vifo Okt 29, 2025

November 25, 2025
Mchengerwa kuendeleza viwanda vya dawa na vifaa tiba nchini MCHENGERWA 3

Mchengerwa kuendeleza viwanda vya dawa na vifaa tiba nchini

November 25, 2025
Olivia Yacé ajiondoa kwenye nafasi yake Miss Universe miss 4

Olivia Yacé ajiondoa kwenye nafasi yake Miss Universe

November 25, 2025
God Design yafikisha streams milioni 5 Spotify juxx 5

God Design yafikisha streams milioni 5 Spotify

November 25, 2025

ulizokosa

Mavunde
  • Afrika Mashariki
  • Biashara na Uchumi
  • Habari
  • Jamii

Serikali yafuta Leseni 73 za uchimbaji wa kati na Utafiti wa madini.

Radio Kwizera November 25, 2025
MWIGULU NCHEMBA
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Usalama

Waziri Mkuu. Dkt Mwigulu Nchemba Atoa pole vifo Okt 29, 2025

Radio Kwizera November 25, 2025
MCHENGERWA
  • Habari
  • Health
  • Tanzania

Mchengerwa kuendeleza viwanda vya dawa na vifaa tiba nchini

Radio Kwizera November 25, 2025
miss
  • Burudani

Olivia Yacé ajiondoa kwenye nafasi yake Miss Universe

Radio Kwizera November 25, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva CCM CHADEMA Elimu Familia Fursa Geita Grammy Hukumu INEC Jeshi la polisi Kahama Kampeni Kanisa Kanisa Katoliki Kigoma Mafunzo mahakama Mgodi Muleba muziki Mwanza Newsbeat Ngara Nigeria Polisi Radio Kwizera Rushwa Samia TAKUKURU Tanzania TRA Uchaguzi Uchumi Ulinzi usalama Ushirikiano Vijana Vurugu Watanzania Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ