Skip to content
August 27, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Wananchi Halmashauri ya mji wa Tarime wanadaiwa kuendelea kukaidi maagizo kutofanya shughuli katika vyanzo maji
  • Afrika Mashariki
  • Biashara na Uchumi
  • Habari
  • Majanga
  • Newsbeat
  • Tanzania

Wananchi Halmashauri ya mji wa Tarime wanadaiwa kuendelea kukaidi maagizo kutofanya shughuli katika vyanzo maji

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
Mto Mara

Baadhi ya wananchi katika Halmashauri ya Mji Tarime wilayani Tarime mkoani Mara wanadaiwa kuendelea kukaidi maagizo ya kutofanya shughuli mbalimbali karibu na vyanzo maji.

Akizungumza na waandishi wa habari jana, ofisini kwake Afisa Mazingira wa halmashauri hiyo Patrice Boniphace, amesema kuwa pamoja na juhudi zilizofanyika, bado baadhi ya watu wanaosha magari, kulima, kuchimba mchanga, kuchenjua dhahabu na hata kujenga karibu na vyanzo vya maji.

Afisa huyo amefafanua kuwa shughuli mbalimbali karibu na vyanzo vya maji huruhusiwa kwa kuzingatia vipimo vya mto au kijito.

Ametolea mfano, kwa mto mkubwa kama Mori, shughuli zinatakiwa kufanyika umbali wa mita 60 kutoka mtoni, wakati kwa mito midogo na vijito ni umbali wa mita 30.

Continue Reading

Previous: WHO: Viwango vya vifo wajawazito, watoto wachanga Afrika vimepungua tangu mwaka 2000
Next: Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi

Related Stories

TRC
  • Habari

TRC kubadili namna ya kujiendesha na kujisimamia

Radio Kwizera August 27, 2025
DSC_0144
  • Habari

Halmashauri ya Msalala yazindua chanjo ya wanyama wa kufugwa

Joyce Hamka August 25, 2025
IMG-20250825-WA0055
  • Habari

Wanafunzi 800 waondokana na changamoto ya vyoo Biharamulo

Joyce Hamka August 25, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

TLS yakemea viashiria vya mgawanyiko uchaguzi mkuu TLS 1

TLS yakemea viashiria vya mgawanyiko uchaguzi mkuu

August 27, 2025
TRC kubadili namna ya kujiendesha na kujisimamia TRC 2

TRC kubadili namna ya kujiendesha na kujisimamia

August 27, 2025
Halmashauri ya Msalala yazindua chanjo ya wanyama wa kufugwa DSC_0144 3

Halmashauri ya Msalala yazindua chanjo ya wanyama wa kufugwa

August 25, 2025
Elimu ya watu wazima ni zana ya maendeleo endelevu IMG-20250825-WA0074 4

Elimu ya watu wazima ni zana ya maendeleo endelevu

August 25, 2025
Wanafunzi 800 waondokana na changamoto ya vyoo Biharamulo IMG-20250825-WA0055 5

Wanafunzi 800 waondokana na changamoto ya vyoo Biharamulo

August 25, 2025

ulizokosa

TLS
  • Jamii
  • Siasa

TLS yakemea viashiria vya mgawanyiko uchaguzi mkuu

Radio Kwizera August 27, 2025
TRC
  • Habari

TRC kubadili namna ya kujiendesha na kujisimamia

Radio Kwizera August 27, 2025
DSC_0144
  • Habari

Halmashauri ya Msalala yazindua chanjo ya wanyama wa kufugwa

Joyce Hamka August 25, 2025
IMG-20250825-WA0074
  • Elimu na Afya

Elimu ya watu wazima ni zana ya maendeleo endelevu

Joyce Hamka August 25, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Business CCM CHADEMA Dawa za kulevya Demokrasia Diplomasia Geita Hukumu Jeshi la polisi Kampeni Kanisa Katoliki Kasulu Katibu mkuu Kigoma kushirikiana makamu wa rais Mgodi miundombinu Muleba Newsbeat Ngara nishati safi Radio Kwizera Rais Samia Sheria TAKUKURU Teknolojia Uchaguzi uchaguzi mkuu Uchumi Uchunguzi Uimarishaji Mipaka Ulinzi Uokoaji Ushirikiano Vijana Waganga wa kienyeji Wakuu wa Idara Waziri Mkuu Wizara ya Afya Wizara ya Ardhi wizara ya mifugo
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ