Skip to content
January 19, 2026
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • ELIMU NA AFYA
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
    • IFAHAMU RK
    • TIMU YETU
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Wananchi Halmashauri ya mji wa Tarime wanadaiwa kuendelea kukaidi maagizo kutofanya shughuli katika vyanzo maji
  • Afrika Mashariki
  • Biashara na Uchumi
  • Habari
  • Majanga
  • Newsbeat
  • Tanzania

Wananchi Halmashauri ya mji wa Tarime wanadaiwa kuendelea kukaidi maagizo kutofanya shughuli katika vyanzo maji

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
Mto Mara

Baadhi ya wananchi katika Halmashauri ya Mji Tarime wilayani Tarime mkoani Mara wanadaiwa kuendelea kukaidi maagizo ya kutofanya shughuli mbalimbali karibu na vyanzo maji.

Akizungumza na waandishi wa habari jana, ofisini kwake Afisa Mazingira wa halmashauri hiyo Patrice Boniphace, amesema kuwa pamoja na juhudi zilizofanyika, bado baadhi ya watu wanaosha magari, kulima, kuchimba mchanga, kuchenjua dhahabu na hata kujenga karibu na vyanzo vya maji.

Afisa huyo amefafanua kuwa shughuli mbalimbali karibu na vyanzo vya maji huruhusiwa kwa kuzingatia vipimo vya mto au kijito.

Ametolea mfano, kwa mto mkubwa kama Mori, shughuli zinatakiwa kufanyika umbali wa mita 60 kutoka mtoni, wakati kwa mito midogo na vijito ni umbali wa mita 30.

Continue Reading

Previous: WHO: Viwango vya vifo wajawazito, watoto wachanga Afrika vimepungua tangu mwaka 2000
Next: Wakurugenzi mamlaka za serikali za Mitaa wamelekezwa kutowaondoa Waganga wafawidhi wa vituo vya afya

Related Stories

Mchengerwa
  • Elimu na Afya
  • Habari
  • Tanzania
  • Teknolojia

Ajenda ya kuwa na viwanda vya dawa kutekelezwa nchini.

Radio Kwizera January 19, 2026
Nchi nne zinazopakana na Ziwa Tanganyika zimetakiwa kuimarisha ushirikiano katika kukabiliana na (4)
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Majanga
  • Mazingira
  • Tanzania
  • Usalama

Kukabiliana na Uhalifu Ziwa Tanganyika; Nchi washirika wajadili

Radio Kwizera January 19, 2026
mseveni tenaaaa
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Kimataifa
  • Siasa

Museveni aweka hadharani sababu ya ushindi wake

Radio Kwizera January 19, 2026

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Ajenda ya kuwa na viwanda vya dawa kutekelezwa nchini. Mchengerwa 1

Ajenda ya kuwa na viwanda vya dawa kutekelezwa nchini.

January 19, 2026
Kukabiliana na Uhalifu Ziwa Tanganyika; Nchi washirika wajadili Nchi nne zinazopakana na Ziwa Tanganyika zimetakiwa kuimarisha ushirikiano katika kukabiliana na (4) 2

Kukabiliana na Uhalifu Ziwa Tanganyika; Nchi washirika wajadili

January 19, 2026
Museveni aweka hadharani sababu ya ushindi wake mseveni tenaaaa 3

Museveni aweka hadharani sababu ya ushindi wake

January 19, 2026
Burna Boy azuiliwa Airpot kisa Vito vya Dhahabu burnaaaa 4

Burna Boy azuiliwa Airpot kisa Vito vya Dhahabu

January 19, 2026
Wachezaji wa zamani wa timu ya Comoro waipongeza Taifa Stars COMORO WAIPONGEZA TAIFA STARSBalozi wa Tanzania nchini Comoro,Saidi Yakubu leo amewapokea wache (1) 5

Wachezaji wa zamani wa timu ya Comoro waipongeza Taifa Stars

January 16, 2026

ulizokosa

Mchengerwa
  • Elimu na Afya
  • Habari
  • Tanzania
  • Teknolojia

Ajenda ya kuwa na viwanda vya dawa kutekelezwa nchini.

Radio Kwizera January 19, 2026
Nchi nne zinazopakana na Ziwa Tanganyika zimetakiwa kuimarisha ushirikiano katika kukabiliana na (4)
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Majanga
  • Mazingira
  • Tanzania
  • Usalama

Kukabiliana na Uhalifu Ziwa Tanganyika; Nchi washirika wajadili

Radio Kwizera January 19, 2026
mseveni tenaaaa
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Kimataifa
  • Siasa

Museveni aweka hadharani sababu ya ushindi wake

Radio Kwizera January 19, 2026
burnaaaa
  • Burudani

Burna Boy azuiliwa Airpot kisa Vito vya Dhahabu

Radio Kwizera January 19, 2026

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva CCM CHADEMA Elimu Familia Fursa Geita Grammy INEC Jeshi la polisi KAGERA Kahama Kampeni Kanisa Kanisa Katoliki Kigoma mahakama Mgodi Muleba muziki Mwanza Newsbeat Ngara Nigeria Polisi Radio Kwizera Samia Sheria TAKUKURU Tanzania Uchaguzi uchaguzi mkuu Uchumi ujenzi Ulinzi Ushirikiano Vijana Vurugu Wanafunzi Watanzania Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ