Skip to content
September 19, 2026
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
Radio Kwizera FM

Radio Kwizera FM

Jukwaa la matumaini

Your browser does not support live audio playback.
next try in 00:00
Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA NA UCHUMI
    • AFYA NA ELIMU
    • Magazeti
  • KIMATAIFA
    • AFRICA MASHARIKI
  • MIchezo
  • BURUDANI
  • VIDEO
    • HABARI
    • MICHEZO
    • ASUBUHI NJEMA
    • MCHAKATO
    • BURUDANI
    • MSETO LEO
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
    • HISTORIA
    • VIPINDI
    • TIMU YETU
    • PAKUA APP YETU
  • WASILIANA NASI
    • SERA YA FARAGHA
    • MASHARTI YA MATUMIZI
Light/Dark Button
Sadio Mane agoma kurudisha tuzo ya mchezaji bora wa AFCON Thank for your support ๐Ÿ™๐Ÿ™
  • Habari
  • MIchezo

Sadio Mane agoma kurudisha tuzo ya mchezaji bora wa AFCON

ABUBAKAR West March 24, 2026 0
Mvutano mkubwa umeibuka ndani ya soka la Afrika nahodha wa timu yua taifa ya Senegal, Sadio Manรฉ,...
Read More Read more about Sadio Mane agoma kurudisha tuzo ya mchezaji bora wa AFCON
Wakulima washinda zana za kilimo kutokana na andiko bora la Kilimo Biashara WhatsApp Image 2026-03-24 at 14.14.57
  • Habari
  • Kilimo

Wakulima washinda zana za kilimo kutokana na andiko bora la Kilimo Biashara

Marco BP March 24, 2026 0
Michael Mpunije- Kasulu, KIGOMA Mashirika ya World Vision Tanzania na Good Neighbors Tanzania yanayotekeleza mradi wa Kilimo...
Read More Read more about Wakulima washinda zana za kilimo kutokana na andiko bora la Kilimo Biashara
Uongozi wa Kijiji watoa zawadi kwa Mwalimu Mkuu kwa kuimarisha taaluma WhatsApp Image 2026-03-24 at 11.05.00
  • Elimu
  • Habari

Uongozi wa Kijiji watoa zawadi kwa Mwalimu Mkuu kwa kuimarisha taaluma

Marco BP March 24, 2026 0
Samwel Masunzu- Kibondo, KIGOMA Uongozi wa kijiji cha Kitahana kata ya Kitahana wilayani Kibondo mkoani Kigoma wametoa...
Read More Read more about Uongozi wa Kijiji watoa zawadi kwa Mwalimu Mkuu kwa kuimarisha taaluma
KKKT Kaskazini Magharibi Biharamulo yamkabidhi mtoto nyumba ya mil 13.5 WhatsApp Image 2026-03-24 at 10.14.53
  • Dini
  • Habari

KKKT Kaskazini Magharibi Biharamulo yamkabidhi mtoto nyumba ya mil 13.5

Marco BP March 24, 2026 0
William Mpanju- Biharamulo, KAGERA Kanisa la KKKT Dayosisi ya Kaskazini Magharibi chini ya Shirika la Compation International...
Read More Read more about KKKT Kaskazini Magharibi Biharamulo yamkabidhi mtoto nyumba ya mil 13.5
Halima Haji aomba msamaha BASATA, Waziri Gwajima halima hajii
  • Burudani

Halima Haji aomba msamaha BASATA, Waziri Gwajima

Joyce Hamka March 24, 2026 0
Msanii wa “kibao Kataโ€, Bi. Halima Haji, amerejea tena kuomba msamaha kwa Baraza la Sanaa la Taifa...
Read More Read more about Halima Haji aomba msamaha BASATA, Waziri Gwajima
Serikali yatoa shilingi Trilioni 1.3 kuboresha miundombinu nchini Ulega 2
  • Habari
  • Tanzania

Serikali yatoa shilingi Trilioni 1.3 kuboresha miundombinu nchini

ZAWADI Bashemela March 24, 2026 0
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema Serikali imetoa shilingi trilioni 1.319 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi...
Read More Read more about Serikali yatoa shilingi Trilioni 1.3 kuboresha miundombinu nchini
Jamii yatakiwa kutunza mazingira kwa kupanda miti Ngara misitu
  • Habari
  • Mazingira

Jamii yatakiwa kutunza mazingira kwa kupanda miti Ngara

Rehema Ruhotora March 24, 2026 0
Jamii wilayani Ngara mkoani Kagera imetakiwa kuendelea kutunza mazingira kwa kupanda na kulinda misitu ili kukabiliana na...
Read More Read more about Jamii yatakiwa kutunza mazingira kwa kupanda miti Ngara
Makamu Askofu T.A.G asisitiza utii, uadilifu na kumheshimu Mungu WhatsApp Image 2026-03-22 at 16.03.23
  • Dini
  • Habari

Makamu Askofu T.A.G asisitiza utii, uadilifu na kumheshimu Mungu

Marco BP March 23, 2026 0
Samwel Masunzu- Kibondo, KIGOMA Makamu Askofu wa kanisa la Tanzania Assemblies of God T.A.G jimbo la Kigoma...
Read More Read more about Makamu Askofu T.A.G asisitiza utii, uadilifu na kumheshimu Mungu
Mfumo wa kisasa wa kidigitali,waongeza mvuto wawekezaji wa kimataifa. tra
  • Biashara na Uchumi

Mfumo wa kisasa wa kidigitali,waongeza mvuto wawekezaji wa kimataifa.

Asma Ahmed March 23, 2026 0
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kushirikiana na Ubalozi wa China nchini na Oasis Financial Services Limited,...
Read More Read more about Mfumo wa kisasa wa kidigitali,waongeza mvuto wawekezaji wa kimataifa.
Serikali ya Tanzania kuongeza ndege 8 ifikapo 2030 DEPUTY-Minister-for-Transport-Mr-David-Kihenzile-scaled
  • Biashara na Uchumi

Serikali ya Tanzania kuongeza ndege 8 ifikapo 2030

Asma Ahmed March 23, 2026 0
Serikali imetangaza mpango wa kuongeza ndege nane kwa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), hatua itakayofikisha jumla ya...
Read More Read more about Serikali ya Tanzania kuongeza ndege 8 ifikapo 2030

Posts pagination

Previous 1 … 22 23 24 25 26 27 28 … 42 Next

Kuhusu Sisi

Radio Kwizera

Radio Kwizera ilianzishwa mnamo mwaka 1995 na shirika la huduma kwa wakimbizi la Kijesuiti (Jesuit Refugee Service - JRS) ili kutoa huduma za kijamii, elimu, na habari kwa wakimbizi kutoka Rwanda na Burundi waliokuwa wanaishi katika kambi za wakimbizi mkoani Kagera na Kigoma, Tanzania. Kwa sasa, Radio Kwizera imekua na kupanua huduma zake hadi kufikia mamilioni ya watu katika mikoa ya Kagera, Kigoma, Geita, Mwanza, Shinyanga, Tabora, Singida, na hata maeneo ya nchi jirani za Rwanda, Burundi, na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

MATANGAZO

safi
Wadau wataka nishati safi iwafikie wananchi Vijijini
kitima-pic
TEC: Waliokosea Kabla na Baada ya Uchaguzi Waombe Radhi ili tusonge mbele
DSC_2003
Picha za matukio ya kijana smart
Kwizera Logo
Listen toย Radio Kwizera FM
RK ADs
Wateja wanakusubiri

ULIZOKOSA

WAZIMA
  • Elimu
  • Habari

Elimu ya watu wazima kuwa chachu ya maendeleo Kagera

Rehema Ruhotora September 17, 2026 0
WhatsApp Image 2026-09-16 at 4.13.33 PM
  • Elimu
  • Habari

Mwamko duni wa vijana watajwa kukwamisha mfumo wa elimu ya watu wazima Kagera

Rehema Ruhotora September 17, 2026 0
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ CAF President Dr Patrice Motsepeโ€™s visit to Tanzania-๐ŸŸ๏ธ Inspection โœ… ๐ŸŽ™๏ธ Press conference
  • MIchezo

MOTSEPE:HAKUNA MPANGO WA KUITOA AFCON AFRIKA MASHARIKI

ABUBAKAR West September 17, 2026 0
Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Ali Abdugulam Hussein ametembelea mazoezi y
  • MIchezo

ZANZIBAR KUTUMIA AFCON 2027 KUOMBA UANACHAMA

ABUBAKAR West September 17, 2026 0
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
Copyright ยฉ Radio Kwizera | Backend: Mukulu SJ | MoreNews by AF themes.