Skip to content
December 13, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • Elimu na Afya
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Wakurugenzi mamlaka za serikali za Mitaa wamelekezwa kutowaondoa Waganga wafawidhi wa vituo vya afya
  • Afrika Mashariki
  • Elimu na Afya
  • Habari
  • Health
  • Newsbeat
  • Siasa
  • Tanzania

Wakurugenzi mamlaka za serikali za Mitaa wamelekezwa kutowaondoa Waganga wafawidhi wa vituo vya afya

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
mchengerwa-1

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa amewaelekeza Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhakikisha hawawaondoi Waganga Wafawidhi wa vituo vya afya ngazi ya msingi kwa utashi binafsi.

Waziri Mchengerwa ametoa maelekezo hayo alipokuwa akihitimisha mkutano wa mwaka wa Waganga Wafawidhi wa vituo vya kutolea huduma za afya ngazi ya msingi, uliofanyika Jijini Dodoma kwa siku mbili.

Amewataka Wakurugenzi watumie vigezo vya kupima utendaji au ubora wa kazi za Waganga Wafawidhi wa vituo vya kutolea huduma za afya msingi—yaani Key Performance Indicators (KPI)—na si maamuzi ya mtu mmoja mmoja.

Agizo hilo la Waziri Mchengerwa limekuja kufuatia malalamiko ya baadhi ya Waganga Wafawidhi kuwa wamekuwa wakiondolewa kwenye nafasi zao kwa hila, kinyume na sheria, kanuni na miongozo ya utumishi wa umma.

Continue Reading

Previous: Wananchi Halmashauri ya mji wa Tarime wanadaiwa kuendelea kukaidi maagizo kutofanya shughuli katika vyanzo maji
Next: 23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu kaskazini mwa Gaza

Related Stories

MITEGO YA SENENE
  • Afrika Mashariki
  • Biashara na Uchumi
  • Jamii
  • Tanzania

Zimamoto Muleba:Watega senene chukueni tahadhari.

Radio Kwizera December 12, 2025
NDAYISHIMIYE
  • Africa
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Jamii

Rais Ndayishimiye: Vijana wa Afrika fanyeni miradi ya amendeleo.

Radio Kwizera December 12, 2025
ULEGA MWANZA
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Ulega: Daraja la Mkuyuni Mwanza likamilike Januari 15, 2026.

Radio Kwizera December 12, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Zimamoto Muleba:Watega senene chukueni tahadhari. MITEGO YA SENENE 1

Zimamoto Muleba:Watega senene chukueni tahadhari.

December 12, 2025
Rais Ndayishimiye: Vijana wa Afrika fanyeni miradi ya amendeleo. NDAYISHIMIYE 2

Rais Ndayishimiye: Vijana wa Afrika fanyeni miradi ya amendeleo.

December 12, 2025
Ulega: Daraja la Mkuyuni Mwanza likamilike Januari 15, 2026. ULEGA MWANZA 3

Ulega: Daraja la Mkuyuni Mwanza likamilike Januari 15, 2026.

December 12, 2025
Waziri wa zamani wa Afya, Jenista Mhagama, amefariki dunia leo. MHAGAMA 4

Waziri wa zamani wa Afya, Jenista Mhagama, amefariki dunia leo.

December 11, 2025
Waasi wa M23 waingia Uvira DRC, Maelfu wakimbilia Burundi. Wakimbizi DRC 5

Waasi wa M23 waingia Uvira DRC, Maelfu wakimbilia Burundi.

December 10, 2025

ulizokosa

MITEGO YA SENENE
  • Afrika Mashariki
  • Biashara na Uchumi
  • Jamii
  • Tanzania

Zimamoto Muleba:Watega senene chukueni tahadhari.

Radio Kwizera December 12, 2025
NDAYISHIMIYE
  • Africa
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Jamii

Rais Ndayishimiye: Vijana wa Afrika fanyeni miradi ya amendeleo.

Radio Kwizera December 12, 2025
ULEGA MWANZA
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Ulega: Daraja la Mkuyuni Mwanza likamilike Januari 15, 2026.

Radio Kwizera December 12, 2025
MHAGAMA
  • Jamii
  • Tanzania

Waziri wa zamani wa Afya, Jenista Mhagama, amefariki dunia leo.

Radio Kwizera December 11, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva CCM CHADEMA Elimu Familia Fursa Geita Grammy Hukumu INEC Jeshi la polisi Kahama Kampeni Kanisa Kanisa Katoliki Kigoma Mafunzo Mgodi Miradi ya maendeleo Muleba muziki Mwanza Newsbeat Ngara Nigeria Polisi Radio Kwizera Rushwa Samia Serikali TAKUKURU Tanzania Uchaguzi uchaguzi mkuu Uchumi Ulinzi Ushirikiano Vijana Vurugu Watanzania Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ