Skip to content
July 31, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Wakurugenzi mamlaka za serikali za Mitaa wamelekezwa kutowaondoa Waganga wafawidhi wa vituo vya afya
  • Afrika Mashariki
  • Elimu na Afya
  • Habari
  • Health
  • Newsbeat
  • Siasa
  • Tanzania

Wakurugenzi mamlaka za serikali za Mitaa wamelekezwa kutowaondoa Waganga wafawidhi wa vituo vya afya

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
RADIO KWIZERA April 10, 2025
mchengerwa-1

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa amewaelekeza Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhakikisha hawawaondoi Waganga Wafawidhi wa vituo vya afya ngazi ya msingi kwa utashi binafsi.

Waziri Mchengerwa ametoa maelekezo hayo alipokuwa akihitimisha mkutano wa mwaka wa Waganga Wafawidhi wa vituo vya kutolea huduma za afya ngazi ya msingi, uliofanyika Jijini Dodoma kwa siku mbili.

Amewataka Wakurugenzi watumie vigezo vya kupima utendaji au ubora wa kazi za Waganga Wafawidhi wa vituo vya kutolea huduma za afya msingi—yaani Key Performance Indicators (KPI)—na si maamuzi ya mtu mmoja mmoja.

Agizo hilo la Waziri Mchengerwa limekuja kufuatia malalamiko ya baadhi ya Waganga Wafawidhi kuwa wamekuwa wakiondolewa kwenye nafasi zao kwa hila, kinyume na sheria, kanuni na miongozo ya utumishi wa umma.

Continue Reading

Previous: WHO: Viwango vya vifo wajawazito, watoto wachanga Afrika vimepungua tangu mwaka 2000
Next: Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi

Related Stories

mkurugenzi 2
  • Habari

Wananchi watakiwa kujitokeza kupokea Mwenge Kahama 2025

RADIO KWIZERA July 29, 2025
SAMIA 2
  • Habari

Rais Samia ashiriki maadhimisho ya kumbukumbu ya Mashujaa

RADIO KWIZERA July 25, 2025
LEA 1
  • Habari

NACOPHA wapongeza kufufuliwa Viwanda vya ARV

RADIO KWIZERA July 25, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Wananchi watakiwa kujitokeza kupokea Mwenge Kahama 2025 mkurugenzi 2 1

Wananchi watakiwa kujitokeza kupokea Mwenge Kahama 2025

July 29, 2025
Waandishi wa habari Ngara wahimizwa kuzuia rushwa IMG-20250725-WA0009 2

Waandishi wa habari Ngara wahimizwa kuzuia rushwa

July 25, 2025
Rais Samia ashiriki maadhimisho ya kumbukumbu ya Mashujaa SAMIA 2 3

Rais Samia ashiriki maadhimisho ya kumbukumbu ya Mashujaa

July 25, 2025
NACOPHA wapongeza kufufuliwa Viwanda vya ARV LEA 1 4

NACOPHA wapongeza kufufuliwa Viwanda vya ARV

July 25, 2025
Polisi: Taarifa mabaki ya viungo vya binadamu kuonekana ipuuzwe muliro2 5

Polisi: Taarifa mabaki ya viungo vya binadamu kuonekana ipuuzwe

July 24, 2025

ulizokosa

mkurugenzi 2
  • Habari

Wananchi watakiwa kujitokeza kupokea Mwenge Kahama 2025

RADIO KWIZERA July 29, 2025
IMG-20250725-WA0009
  • Rushwa

Waandishi wa habari Ngara wahimizwa kuzuia rushwa

RADIO KWIZERA July 25, 2025
SAMIA 2
  • Habari

Rais Samia ashiriki maadhimisho ya kumbukumbu ya Mashujaa

RADIO KWIZERA July 25, 2025
LEA 1
  • Habari

NACOPHA wapongeza kufufuliwa Viwanda vya ARV

RADIO KWIZERA July 25, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Business CCM CHADEMA Dawa za kulevya Diplomasia Fursa Geita Hukumu Jeshi la polisi Jeshi la polisi Geita Kanisa Katoliki Kasulu Katibu mkuu Kigoma kushirikiana makamu wa rais mali ya wizi Mazingira Mgodi Michezo Muleba Mwanza Newsbeat Ngara NIDA nishati safi Papa Leo XIV Radio Kwizera Raia wa kigeni TAKUKURU uchaguzi mkuu Uchumi Uimarishaji Mipaka Ulinzi Viwanda Waganga wa kienyeji Watia nia Waziri Mkuu wilaya ya kakonko Wizara ya Afya Wizara ya Ardhi World
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ