Skip to content
September 13, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Afrika Mashariki
  • Rais Ruto wa Kenya amesema kuwa mageuzi ya kitaasisi, Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara Afrika
  • Afrika Mashariki
  • Biashara na Uchumi
  • Habari
  • Kimataifa
  • Newsbeat
  • Stories

Rais Ruto wa Kenya amesema kuwa mageuzi ya kitaasisi, Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara Afrika

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
Ruto-2

Rais wa Kenya William Ruto amesema kuwa mageuzi makubwa ya kitaasisi yaliyofanywa na Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara katika bara la Afrika, yakiashiria enzi mpya ya muunganiko wa kiuchumi.

Rais Ruto amesema hayo jana alipohutubia ufunguzi wa mkutano wa kilele wa Afrika wa Shirikisho la Wafanyabiashara Duniani uliofanyika jijini Nairobi.

Amesema kuunda upya mashirika mengi muhimu yakiwemo Benki ya Maendeleo ya Afrika, Benki ya Uuzaji na Uagizaji Bidhaa ya Afrika, Taasisi ya Mendeleo ya Umoja wa Afrika pamoja na taasisi nyingi za kiuchumi za kikanda, kunaleta matumaini kwa Afrika, na kuweka msingi wa ustawi unaohimizwa na uwekezaji, ukuaji wa viwanda,  utengenezaji bidhaa kwa ajili ya masoko ya kimataifa, na biashara.

Amesema matokeo ya mageuzi hayo ni kuwa kampuni za utengenezaji na kampuni changa za teknolojia za Kenya zinaenea barani kote, na kuonyesha imani kubwa kwamba mustakbali wa kiuchumi wa Afrika uko katika biashara na ushirikiano kati ya nchi za bara hilo.

Continue Reading

Previous: WHO: Viwango vya vifo wajawazito, watoto wachanga Afrika vimepungua tangu mwaka 2000
Next: Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi

Related Stories

IMG-20250913-WA0106
  • Habari

Miradi ya bilioni 2.7 kukaguliwa na kuzinduliwa Ngara

Joyce Hamka September 13, 2025
WhatsApp Image 2025-09-10 at 7.19.40 PM
  • Habari

Bilioni 4 kutumika kwenye ujenzi wa mifereji Kigoma

Radio Kwizera September 11, 2025
WhatsApp Image 2025-09-10 at 10.35.08 PM
  • Biashara na Uchumi

Shinyanga kuzindua dawati la uwezeshaji biashara

Radio Kwizera September 11, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Miradi ya bilioni 2.7 kukaguliwa na kuzinduliwa Ngara IMG-20250913-WA0106 1

Miradi ya bilioni 2.7 kukaguliwa na kuzinduliwa Ngara

September 13, 2025
NMB Kibondo yaahidi ushirikiano tawi la Simba Kitahana WhatsApp Image 2025-09-10 at 4.51.46 PM 2

NMB Kibondo yaahidi ushirikiano tawi la Simba Kitahana

September 11, 2025
Bilioni 4 kutumika kwenye ujenzi wa mifereji Kigoma WhatsApp Image 2025-09-10 at 7.19.40 PM 3

Bilioni 4 kutumika kwenye ujenzi wa mifereji Kigoma

September 11, 2025
Shinyanga kuzindua dawati la uwezeshaji biashara WhatsApp Image 2025-09-10 at 10.35.08 PM 4

Shinyanga kuzindua dawati la uwezeshaji biashara

September 11, 2025
TAKUKURU Geita yawataka wasimamizi wa uchaguzi kutenda haki WhatsApp Image 2025-09-11 at 2.41.39 PM 5

TAKUKURU Geita yawataka wasimamizi wa uchaguzi kutenda haki

September 11, 2025

ulizokosa

IMG-20250913-WA0106
  • Habari

Miradi ya bilioni 2.7 kukaguliwa na kuzinduliwa Ngara

Joyce Hamka September 13, 2025
WhatsApp Image 2025-09-10 at 4.51.46 PM
  • Michezo

NMB Kibondo yaahidi ushirikiano tawi la Simba Kitahana

Radio Kwizera September 11, 2025
WhatsApp Image 2025-09-10 at 7.19.40 PM
  • Habari

Bilioni 4 kutumika kwenye ujenzi wa mifereji Kigoma

Radio Kwizera September 11, 2025
WhatsApp Image 2025-09-10 at 10.35.08 PM
  • Biashara na Uchumi

Shinyanga kuzindua dawati la uwezeshaji biashara

Radio Kwizera September 11, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Business CCM CHADEMA Demokrasia Diplomasia Geita Haki za uchaguzi Jeshi la polisi Jeshi la polisi Geita KAGERA Kahama Kampeni Kanisa Katoliki Kigoma kushirikiana makamu wa rais Mazingira Mgodi Miradi ya maendeleo Muleba Mwanza Mwenge wa uhuru Newsbeat Ngara nishati safi Radio Kwizera Rais Samia Rais wa Zanzibar TAKUKURU Uchaguzi Uchumi Uchunguzi Uimarishaji Mipaka ujenzi UKIMWI Ulinzi Ushirikiano Waganga wa kienyeji Waziri Mkuu Wizara ya Afya wizara ya mifugo Wizara ya Nishati
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ