Skip to content
October 29, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • Elimu na Afya
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Afrika Mashariki
  • Rais Ruto wa Kenya amesema kuwa mageuzi ya kitaasisi, Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara Afrika
  • Afrika Mashariki
  • Biashara na Uchumi
  • Habari
  • Kimataifa
  • Newsbeat
  • Stories

Rais Ruto wa Kenya amesema kuwa mageuzi ya kitaasisi, Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara Afrika

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
Ruto-2

Rais wa Kenya William Ruto amesema kuwa mageuzi makubwa ya kitaasisi yaliyofanywa na Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara katika bara la Afrika, yakiashiria enzi mpya ya muunganiko wa kiuchumi.

Rais Ruto amesema hayo jana alipohutubia ufunguzi wa mkutano wa kilele wa Afrika wa Shirikisho la Wafanyabiashara Duniani uliofanyika jijini Nairobi.

Amesema kuunda upya mashirika mengi muhimu yakiwemo Benki ya Maendeleo ya Afrika, Benki ya Uuzaji na Uagizaji Bidhaa ya Afrika, Taasisi ya Mendeleo ya Umoja wa Afrika pamoja na taasisi nyingi za kiuchumi za kikanda, kunaleta matumaini kwa Afrika, na kuweka msingi wa ustawi unaohimizwa na uwekezaji, ukuaji wa viwanda,  utengenezaji bidhaa kwa ajili ya masoko ya kimataifa, na biashara.

Amesema matokeo ya mageuzi hayo ni kuwa kampuni za utengenezaji na kampuni changa za teknolojia za Kenya zinaenea barani kote, na kuonyesha imani kubwa kwamba mustakbali wa kiuchumi wa Afrika uko katika biashara na ushirikiano kati ya nchi za bara hilo.

Continue Reading

Previous: WHO: Viwango vya vifo wajawazito, watoto wachanga Afrika vimepungua tangu mwaka 2000
Next: Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi

Related Stories

Hamza
  • Habari
  • Siasa
  • Stories
  • Tanzania

Mwanasheria Mkuu wa Serikali atahadharisha maandamano

Radio Kwizera October 28, 2025
b3c83057-74de-4a41-ab54-f7bff8324df3.jpg
  • Afrika Mashariki
  • Ajali
  • Habari
  • Majanga

12 wahofiwa kufariki ajali ya ndege Kenya

Radio Kwizera October 28, 2025
Misimeeee
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Stories
  • Tanzania

Jeshi la Polisi lawahakikishia Usalama wananchi Uchaguzi Mkuu

Radio Kwizera October 28, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Mwanasheria Mkuu wa Serikali atahadharisha maandamano Hamza 1

Mwanasheria Mkuu wa Serikali atahadharisha maandamano

October 28, 2025
20 Percent karudi upya 20-Percent-Inachoma 2

20 Percent karudi upya

October 28, 2025
12 wahofiwa kufariki ajali ya ndege Kenya b3c83057-74de-4a41-ab54-f7bff8324df3.jpg 3

12 wahofiwa kufariki ajali ya ndege Kenya

October 28, 2025
Jeshi la Polisi lawahakikishia Usalama wananchi Uchaguzi Mkuu Misimeeee 4

Jeshi la Polisi lawahakikishia Usalama wananchi Uchaguzi Mkuu

October 28, 2025
Dkt. Samia apongeza watanzania kufanya Kampeni za Kistaarabu SAMIA MWANZA 5

Dkt. Samia apongeza watanzania kufanya Kampeni za Kistaarabu

October 28, 2025

ulizokosa

Hamza
  • Habari
  • Siasa
  • Stories
  • Tanzania

Mwanasheria Mkuu wa Serikali atahadharisha maandamano

Radio Kwizera October 28, 2025
20-Percent-Inachoma
  • Burudani

20 Percent karudi upya

Radio Kwizera October 28, 2025
b3c83057-74de-4a41-ab54-f7bff8324df3.jpg
  • Afrika Mashariki
  • Ajali
  • Habari
  • Majanga

12 wahofiwa kufariki ajali ya ndege Kenya

Radio Kwizera October 28, 2025
Misimeeee
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Stories
  • Tanzania

Jeshi la Polisi lawahakikishia Usalama wananchi Uchaguzi Mkuu

Radio Kwizera October 28, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva Cardi B CCM CHADEMA Demokrasia Elimu Fursa Geita Grammy Hukumu INEC Jeshi la polisi KAGERA Kahama Kampeni Kanisa Katoliki Kigoma Mafunzo Mgodi Muleba muziki Mwanza Mwenge wa uhuru Newsbeat Ngara Polisi Radio Kwizera Rais wa Zanzibar Rapa Rushwa Samia TAKUKURU Tanzania TRA Uchaguzi Uchumi Ulinzi Ushirikiano Vurugu Watanzania Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ