Skip to content
June 14, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Afrika Mashariki
  • Rais Ruto wa Kenya amesema kuwa mageuzi ya kitaasisi, Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara Afrika
  • Afrika Mashariki
  • Biashara na uchumi
  • Business
  • Habari
  • Kimataifa
  • Newsbeat
  • Stories
  • World

Rais Ruto wa Kenya amesema kuwa mageuzi ya kitaasisi, Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara Afrika

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
RADIO KWIZERA April 10, 2025
Ruto-2

Rais wa Kenya William Ruto amesema kuwa mageuzi makubwa ya kitaasisi yaliyofanywa na Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara katika bara la Afrika, yakiashiria enzi mpya ya muunganiko wa kiuchumi.

Rais Ruto amesema hayo jana alipohutubia ufunguzi wa mkutano wa kilele wa Afrika wa Shirikisho la Wafanyabiashara Duniani uliofanyika jijini Nairobi.

Amesema kuunda upya mashirika mengi muhimu yakiwemo Benki ya Maendeleo ya Afrika, Benki ya Uuzaji na Uagizaji Bidhaa ya Afrika, Taasisi ya Mendeleo ya Umoja wa Afrika pamoja na taasisi nyingi za kiuchumi za kikanda, kunaleta matumaini kwa Afrika, na kuweka msingi wa ustawi unaohimizwa na uwekezaji, ukuaji wa viwanda,  utengenezaji bidhaa kwa ajili ya masoko ya kimataifa, na biashara.

Amesema matokeo ya mageuzi hayo ni kuwa kampuni za utengenezaji na kampuni changa za teknolojia za Kenya zinaenea barani kote, na kuonyesha imani kubwa kwamba mustakbali wa kiuchumi wa Afrika uko katika biashara na ushirikiano kati ya nchi za bara hilo.

Continue Reading

Previous: WHO: Viwango vya vifo wajawazito, watoto wachanga Afrika vimepungua tangu mwaka 2000
Next: Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi

Related Stories

WhatsApp Image 2025-06-13 at 15.36.05
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Serikali kuwapatia fursa stahiki Watu wenye Ulemavu.

RADIO KWIZERA June 13, 2025
WhatsApp Image 2025-06-13 at 15.49.37
  • Afrika Mashariki
  • English
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Uimarishaji Mipaka Tanzania, Rwanda zasaini Makubaliano

RADIO KWIZERA June 13, 2025
mwigulu
  • Biashara na uchumi
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Taifa haliwezi kuendelea bila wananchi na taasisi kulipa kodi

RADIO KWIZERA June 13, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Serikali kuwapatia fursa stahiki Watu wenye Ulemavu. WhatsApp Image 2025-06-13 at 15.36.05 1

Serikali kuwapatia fursa stahiki Watu wenye Ulemavu.

June 13, 2025
Uimarishaji Mipaka Tanzania, Rwanda zasaini Makubaliano WhatsApp Image 2025-06-13 at 15.49.37 2

Uimarishaji Mipaka Tanzania, Rwanda zasaini Makubaliano

June 13, 2025
Taifa haliwezi kuendelea bila wananchi na taasisi kulipa kodi mwigulu 3

Taifa haliwezi kuendelea bila wananchi na taasisi kulipa kodi

June 13, 2025
Kahawa mbichi yakamatwa ikidhaniwa kuwa ya wizi Kagera WhatsApp Image 2025-06-13 at 08.34.49 4

Kahawa mbichi yakamatwa ikidhaniwa kuwa ya wizi Kagera

June 13, 2025
Uchumi wa Tanzania unaendelea kukua, Profesa Mkumbo. KITILA 5

Uchumi wa Tanzania unaendelea kukua, Profesa Mkumbo.

June 12, 2025

ulizokosa

WhatsApp Image 2025-06-13 at 15.36.05
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Serikali kuwapatia fursa stahiki Watu wenye Ulemavu.

RADIO KWIZERA June 13, 2025
WhatsApp Image 2025-06-13 at 15.49.37
  • Afrika Mashariki
  • English
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Uimarishaji Mipaka Tanzania, Rwanda zasaini Makubaliano

RADIO KWIZERA June 13, 2025
mwigulu
  • Biashara na uchumi
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Taifa haliwezi kuendelea bila wananchi na taasisi kulipa kodi

RADIO KWIZERA June 13, 2025
WhatsApp Image 2025-06-13 at 08.34.49
  • Biashara na uchumi
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Kahawa mbichi yakamatwa ikidhaniwa kuwa ya wizi Kagera

RADIO KWIZERA June 13, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

Afya amani Business CCM Demokrasia Dk. gwajima Geita Ibambala AMCOS Jeshi la polisi Jeshi la polisi Geita Kakonko DC Kampeni katiba Kigoma Mabadiliko Madarasa mali ya wizi Mbogwe Mdhibiti ubora Michezo Migogoro ya ndoa miundombinu Muleba Newsbeat Nyakagomba Geita Papa Leo XIV Polisi jamii Radio Kwizera Rais Samia taasisi TAKUKURU Teknolojia uchaguzi mkuu Ukuaji uchumi Ushirikiano Vishoka Vyandarua Waganga wa kienyeji Wasoma mita Waziri Mkuu waziri wa Maji wenye ulemavu Wizara ya Afya wizara ya maendeleo World
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ