Skip to content
September 16, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Serikali imefanya ukarabati wa barabara na kujenga madaraja zaidi ya sita mkoani Mwanza
  • Afrika Mashariki
  • Biashara na Uchumi
  • Habari
  • Newsbeat
  • Tanzania
  • Tech

Serikali imefanya ukarabati wa barabara na kujenga madaraja zaidi ya sita mkoani Mwanza

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
IMG-20240703-WA0193

Serikali imefanya ukarabati wa barabara na kujenga madaraja zaidi ya sita mkoani Mwanza yaliyokuwa yameathiriwa kutokana na mvua za El Ninno zilizonyesha mwaka jana hapa nchini.

Meneja wa wakala wa barabara nchini TANROADS mkoa wa Mwanza Bw. Ambrose Paschal ameambia Radio Kwizera kuwa kazi ya ukarabati na ujenzi wa madaraja hayo ilianza mwezi Novemba mwaka jana na inatarajiwa kukamilika Mwezi Novemba mwaka huu.

Awali wizara ya ujenzi ilieleza kuwa tathimini ya mwezi April mwaka jana ilionyesha kuwa mvua iliyonyesha ilisababisha uharibifu wa miundombinu ya madaraja na barabara na kuwa jumla ya bilioni 986 zilikuwa zikihitajika kurejesha miundombinu hiyo katika hali yake.

Continue Reading

Previous: WHO: Viwango vya vifo wajawazito, watoto wachanga Afrika vimepungua tangu mwaka 2000
Next: Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi

Related Stories

Mpina na Tume
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Siasa
  • Tanzania

Kinyang’anyiro cha Urais 2025, INEC yamwondoa Mpina

Radio Kwizera September 15, 2025
IMG-20250913-WA0106
  • Habari

Miradi ya bilioni 2.7 kukaguliwa na kuzinduliwa Ngara

Joyce Hamka September 13, 2025
WhatsApp Image 2025-09-10 at 7.19.40 PM
  • Habari

Bilioni 4 kutumika kwenye ujenzi wa mifereji Kigoma

Radio Kwizera September 11, 2025

ulizokosa

Mpina na Tume
  • Afrika Mashariki
  • Habari
  • Siasa
  • Tanzania

Kinyang’anyiro cha Urais 2025, INEC yamwondoa Mpina

Radio Kwizera September 15, 2025
IMG-20250913-WA0106
  • Habari

Miradi ya bilioni 2.7 kukaguliwa na kuzinduliwa Ngara

Joyce Hamka September 13, 2025
WhatsApp Image 2025-09-10 at 4.51.46 PM
  • Michezo

NMB Kibondo yaahidi ushirikiano tawi la Simba Kitahana

Radio Kwizera September 11, 2025
WhatsApp Image 2025-09-10 at 7.19.40 PM
  • Habari

Bilioni 4 kutumika kwenye ujenzi wa mifereji Kigoma

Radio Kwizera September 11, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Business CCM CHADEMA Demokrasia Diplomasia Fursa Geita Haki za uchaguzi Jeshi la polisi KAGERA Kahama Kampeni Kanisa Katoliki Kigoma kushirikiana makamu wa rais Mgodi Michezo Miradi ya maendeleo Muleba Mwanza Mwenge wa uhuru Newsbeat Ngara Radio Kwizera Rais Samia Rais wa Zanzibar Rwanda TAKUKURU Uchaguzi Uchumi Uchunguzi Uimarishaji Mipaka ujenzi Ulinzi Uokoaji Ushirikiano Waziri Mkuu Wizara ya Afya Wizara ya Ardhi wizara ya mifugo Zanzibar
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ