Skip to content
December 29, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • Elimu na Afya
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Serikali imefanya ukarabati wa barabara na kujenga madaraja zaidi ya sita mkoani Mwanza
  • Afrika Mashariki
  • Biashara na Uchumi
  • Habari
  • Newsbeat
  • Tanzania
  • Tech

Serikali imefanya ukarabati wa barabara na kujenga madaraja zaidi ya sita mkoani Mwanza

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
IMG-20240703-WA0193

Serikali imefanya ukarabati wa barabara na kujenga madaraja zaidi ya sita mkoani Mwanza yaliyokuwa yameathiriwa kutokana na mvua za El Ninno zilizonyesha mwaka jana hapa nchini.

Meneja wa wakala wa barabara nchini TANROADS mkoa wa Mwanza Bw. Ambrose Paschal ameambia Radio Kwizera kuwa kazi ya ukarabati na ujenzi wa madaraja hayo ilianza mwezi Novemba mwaka jana na inatarajiwa kukamilika Mwezi Novemba mwaka huu.

Awali wizara ya ujenzi ilieleza kuwa tathimini ya mwezi April mwaka jana ilionyesha kuwa mvua iliyonyesha ilisababisha uharibifu wa miundombinu ya madaraja na barabara na kuwa jumla ya bilioni 986 zilikuwa zikihitajika kurejesha miundombinu hiyo katika hali yake.

Continue Reading

Previous: 23 wameuwawa baada ya Ndege za kijeshi za Israeli kushambulia jengo la makaazi ya watu kaskazini mwa Gaza
Next: Rais Ruto wa Kenya amesema kuwa mageuzi ya kitaasisi, Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara Afrika

Related Stories

papa-picc
  • Habari
  • Imani na Dini
  • Usalama

Papa Leo XIV ataka kusitishwa vita duniani wakati wa sikukuu.

Radio Kwizera December 24, 2025
JANABI
  • Africa
  • Elimu na Afya
  • Habari
  • Jamii

Pro. Janabi azitahadharisha nchi za Afrika bajeti za afya.

Radio Kwizera December 22, 2025
Simbachawene
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Watoto chini ya mika 18 kupewa Utambulisho

Radio Kwizera December 19, 2025

ulizokosa

papa-picc
  • Habari
  • Imani na Dini
  • Usalama

Papa Leo XIV ataka kusitishwa vita duniani wakati wa sikukuu.

Radio Kwizera December 24, 2025
JANABI
  • Africa
  • Elimu na Afya
  • Habari
  • Jamii

Pro. Janabi azitahadharisha nchi za Afrika bajeti za afya.

Radio Kwizera December 22, 2025
wiz-khalifa
  • Burudani

Wiz Khalifa amehukumiwa miaka 9 jela

Radio Kwizera December 19, 2025
jux
  • Burudani

Jux akubalika Nigeria

Radio Kwizera December 19, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva CCM CHADEMA Elimu Familia Fursa Geita Grammy Hukumu INEC Jeshi la polisi Kahama Kampeni Kanisa Kanisa Katoliki Kigoma mahakama Mgodi Miradi ya maendeleo Muleba muziki Mwanza Newsbeat Ngara Nigeria Polisi Radio Kwizera Rushwa Samia Serikali Sheria TAKUKURU Tanzania Uchaguzi uchaguzi mkuu Uchumi Ulinzi Ushirikiano Vurugu Watanzania Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ