Skip to content
August 27, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Serikali imefanya ukarabati wa barabara na kujenga madaraja zaidi ya sita mkoani Mwanza
  • Afrika Mashariki
  • Biashara na Uchumi
  • Habari
  • Newsbeat
  • Tanzania
  • Tech

Serikali imefanya ukarabati wa barabara na kujenga madaraja zaidi ya sita mkoani Mwanza

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
IMG-20240703-WA0193

Serikali imefanya ukarabati wa barabara na kujenga madaraja zaidi ya sita mkoani Mwanza yaliyokuwa yameathiriwa kutokana na mvua za El Ninno zilizonyesha mwaka jana hapa nchini.

Meneja wa wakala wa barabara nchini TANROADS mkoa wa Mwanza Bw. Ambrose Paschal ameambia Radio Kwizera kuwa kazi ya ukarabati na ujenzi wa madaraja hayo ilianza mwezi Novemba mwaka jana na inatarajiwa kukamilika Mwezi Novemba mwaka huu.

Awali wizara ya ujenzi ilieleza kuwa tathimini ya mwezi April mwaka jana ilionyesha kuwa mvua iliyonyesha ilisababisha uharibifu wa miundombinu ya madaraja na barabara na kuwa jumla ya bilioni 986 zilikuwa zikihitajika kurejesha miundombinu hiyo katika hali yake.

Continue Reading

Previous: WHO: Viwango vya vifo wajawazito, watoto wachanga Afrika vimepungua tangu mwaka 2000
Next: Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi

Related Stories

TRC
  • Habari

TRC kubadili namna ya kujiendesha na kujisimamia

Radio Kwizera August 27, 2025
DSC_0144
  • Habari

Halmashauri ya Msalala yazindua chanjo ya wanyama wa kufugwa

Joyce Hamka August 25, 2025
IMG-20250825-WA0055
  • Habari

Wanafunzi 800 waondokana na changamoto ya vyoo Biharamulo

Joyce Hamka August 25, 2025

ulizokosa

TLS
  • Jamii
  • Siasa

TLS yakemea viashiria vya mgawanyiko uchaguzi mkuu

Radio Kwizera August 27, 2025
TRC
  • Habari

TRC kubadili namna ya kujiendesha na kujisimamia

Radio Kwizera August 27, 2025
DSC_0144
  • Habari

Halmashauri ya Msalala yazindua chanjo ya wanyama wa kufugwa

Joyce Hamka August 25, 2025
IMG-20250825-WA0074
  • Elimu na Afya

Elimu ya watu wazima ni zana ya maendeleo endelevu

Joyce Hamka August 25, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Business CCM CHADEMA Dawa za kulevya Demokrasia Diplomasia Geita Hukumu Jeshi la polisi Kampeni Kanisa Katoliki Kasulu Katibu mkuu Kigoma kushirikiana makamu wa rais Mgodi miundombinu Muleba Newsbeat Ngara nishati safi Radio Kwizera Rais Samia Sheria TAKUKURU Teknolojia Uchaguzi uchaguzi mkuu Uchumi Uchunguzi Uimarishaji Mipaka Ulinzi Uokoaji Ushirikiano Vijana Waganga wa kienyeji Wakuu wa Idara Waziri Mkuu Wizara ya Afya Wizara ya Ardhi wizara ya mifugo
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ