Skip to content
June 12, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Serikali imefanya ukarabati wa barabara na kujenga madaraja zaidi ya sita mkoani Mwanza
  • Afrika Mashariki
  • Biashara na uchumi
  • Business
  • Habari
  • Newsbeat
  • Tanzania
  • Tech

Serikali imefanya ukarabati wa barabara na kujenga madaraja zaidi ya sita mkoani Mwanza

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
RADIO KWIZERA April 10, 2025
IMG-20240703-WA0193

Serikali imefanya ukarabati wa barabara na kujenga madaraja zaidi ya sita mkoani Mwanza yaliyokuwa yameathiriwa kutokana na mvua za El Ninno zilizonyesha mwaka jana hapa nchini.

Meneja wa wakala wa barabara nchini TANROADS mkoa wa Mwanza Bw. Ambrose Paschal ameambia Radio Kwizera kuwa kazi ya ukarabati na ujenzi wa madaraja hayo ilianza mwezi Novemba mwaka jana na inatarajiwa kukamilika Mwezi Novemba mwaka huu.

Awali wizara ya ujenzi ilieleza kuwa tathimini ya mwezi April mwaka jana ilionyesha kuwa mvua iliyonyesha ilisababisha uharibifu wa miundombinu ya madaraja na barabara na kuwa jumla ya bilioni 986 zilikuwa zikihitajika kurejesha miundombinu hiyo katika hali yake.

Continue Reading

Previous: WHO: Viwango vya vifo wajawazito, watoto wachanga Afrika vimepungua tangu mwaka 2000
Next: Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi

Related Stories

mpaka
  • Habari
  • Jamii
  • Kimataifa
  • Tanzania

Tanzania na Rwanda zakutana kujadili uimarishaji wa mpaka

RADIO KWIZERA June 9, 2025
MKUU WA WILAYA BUKOBA
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Raia wa kigeni 13 walioingia kinyume na utaratibu wakamatwa

RADIO KWIZERA June 9, 2025
Mchengerwa
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Wanafunzi 214,141 kujiunga na kidato cha tano, vyuo vya ufundi.

RADIO KWIZERA June 6, 2025

ulizokosa

mpaka
  • Habari
  • Jamii
  • Kimataifa
  • Tanzania

Tanzania na Rwanda zakutana kujadili uimarishaji wa mpaka

RADIO KWIZERA June 9, 2025
MKUU WA WILAYA BUKOBA
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Raia wa kigeni 13 walioingia kinyume na utaratibu wakamatwa

RADIO KWIZERA June 9, 2025
Mchengerwa
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Wanafunzi 214,141 kujiunga na kidato cha tano, vyuo vya ufundi.

RADIO KWIZERA June 6, 2025
WhatsApp Image 2025-06-04 at 12.46.05
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Bilioni 2 kujenga miundombinu mipya ya elimu Kakonko

RADIO KWIZERA June 5, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

Afya amani Biharamulo Business CCM CHADEMA Chama Dk. gwajima Dkt. Mpango Halmashauri jengo jipya Jeshi la polisi Geita Kakonko DC Kampeni Kanisa Katoliki Kigoma Kugawanyika Kuhatarisha makamu wa rais Michezo Migogoro ya ndoa Msamaha Muleba Newsbeat Nyakagomba Geita Papa Leo XIV Radio Kwizera Rais Ruto Rais Samia Sheria taasisi Viongozi kuwa Vishoka Vyandarua Waganga wa kienyeji Wageni Wakuu wa Idara Wananchama Wasoma mita Watanzania Waziri Mkuu waziri wa Maji Wizara ya Afya wizara ya maendeleo World
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ