Skip to content
June 13, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Afrika Mashariki
  • Rais Ruto wa Kenya amesema kuwa mageuzi ya kitaasisi, Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara Afrika
  • Afrika Mashariki
  • Biashara na uchumi
  • Business
  • Habari
  • Kimataifa
  • Newsbeat
  • Stories
  • World

Rais Ruto wa Kenya amesema kuwa mageuzi ya kitaasisi, Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara Afrika

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
RADIO KWIZERA April 10, 2025
Ruto-2

Rais wa Kenya William Ruto amesema kuwa mageuzi makubwa ya kitaasisi yaliyofanywa na Umoja wa Afrika yanafungua fursa za biashara katika bara la Afrika, yakiashiria enzi mpya ya muunganiko wa kiuchumi.

Rais Ruto amesema hayo jana alipohutubia ufunguzi wa mkutano wa kilele wa Afrika wa Shirikisho la Wafanyabiashara Duniani uliofanyika jijini Nairobi.

Amesema kuunda upya mashirika mengi muhimu yakiwemo Benki ya Maendeleo ya Afrika, Benki ya Uuzaji na Uagizaji Bidhaa ya Afrika, Taasisi ya Mendeleo ya Umoja wa Afrika pamoja na taasisi nyingi za kiuchumi za kikanda, kunaleta matumaini kwa Afrika, na kuweka msingi wa ustawi unaohimizwa na uwekezaji, ukuaji wa viwanda,  utengenezaji bidhaa kwa ajili ya masoko ya kimataifa, na biashara.

Amesema matokeo ya mageuzi hayo ni kuwa kampuni za utengenezaji na kampuni changa za teknolojia za Kenya zinaenea barani kote, na kuonyesha imani kubwa kwamba mustakbali wa kiuchumi wa Afrika uko katika biashara na ushirikiano kati ya nchi za bara hilo.

Continue Reading

Previous: WHO: Viwango vya vifo wajawazito, watoto wachanga Afrika vimepungua tangu mwaka 2000
Next: Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi

Related Stories

KITILA
  • Biashara na uchumi
  • Habari
  • Tanzania

Uchumi wa Tanzania unaendelea kukua, Profesa Mkumbo.

RADIO KWIZERA June 12, 2025
mpaka
  • Habari
  • Jamii
  • Kimataifa
  • Tanzania

Tanzania na Rwanda zakutana kujadili uimarishaji wa mpaka

RADIO KWIZERA June 9, 2025
MKUU WA WILAYA BUKOBA
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Raia wa kigeni 13 walioingia kinyume na utaratibu wakamatwa

RADIO KWIZERA June 9, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Uchumi wa Tanzania unaendelea kukua, Profesa Mkumbo. KITILA 1

Uchumi wa Tanzania unaendelea kukua, Profesa Mkumbo.

June 12, 2025
Tanzania na Rwanda zakutana kujadili uimarishaji wa mpaka mpaka 2

Tanzania na Rwanda zakutana kujadili uimarishaji wa mpaka

June 9, 2025
Raia wa kigeni 13 walioingia kinyume na utaratibu wakamatwa MKUU WA WILAYA BUKOBA 3

Raia wa kigeni 13 walioingia kinyume na utaratibu wakamatwa

June 9, 2025
Wanafunzi 214,141 kujiunga na kidato cha tano, vyuo vya ufundi. Mchengerwa 4

Wanafunzi 214,141 kujiunga na kidato cha tano, vyuo vya ufundi.

June 6, 2025
Bilioni 2 kujenga miundombinu mipya ya elimu Kakonko WhatsApp Image 2025-06-04 at 12.46.05 5

Bilioni 2 kujenga miundombinu mipya ya elimu Kakonko

June 5, 2025

ulizokosa

KITILA
  • Biashara na uchumi
  • Habari
  • Tanzania

Uchumi wa Tanzania unaendelea kukua, Profesa Mkumbo.

RADIO KWIZERA June 12, 2025
mpaka
  • Habari
  • Jamii
  • Kimataifa
  • Tanzania

Tanzania na Rwanda zakutana kujadili uimarishaji wa mpaka

RADIO KWIZERA June 9, 2025
MKUU WA WILAYA BUKOBA
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Raia wa kigeni 13 walioingia kinyume na utaratibu wakamatwa

RADIO KWIZERA June 9, 2025
Mchengerwa
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Wanafunzi 214,141 kujiunga na kidato cha tano, vyuo vya ufundi.

RADIO KWIZERA June 6, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

Afya amani Biharamulo Business CCM Dkt. Mpango Halmashauri Ibambala AMCOS jengo jipya Jeshi la polisi Geita Kakonko DC Kampeni Kanisa Katoliki Kigoma Kugawanyika Kuhatarisha Mabadiliko makamu wa rais Michezo Msamaha Muleba Newsbeat Nyakagomba Geita Papa Leo XIV Radio Kwizera Rais Ruto Rais Samia Sheria taasisi TAKUKURU Ukuaji uchumi Ushirikiano Viongozi kuwa Vishoka Vyandarua Waganga wa kienyeji Wageni Wakuu wa Idara Wananchama Wasoma mita Watanzania Waziri Mkuu waziri wa Maji Wizara ya Afya World
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ