Skip to content
September 13, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Wakurugenzi mamlaka za serikali za Mitaa wamelekezwa kutowaondoa Waganga wafawidhi wa vituo vya afya
  • Afrika Mashariki
  • Elimu na Afya
  • Habari
  • Health
  • Newsbeat
  • Siasa
  • Tanzania

Wakurugenzi mamlaka za serikali za Mitaa wamelekezwa kutowaondoa Waganga wafawidhi wa vituo vya afya

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
mchengerwa-1

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa amewaelekeza Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhakikisha hawawaondoi Waganga Wafawidhi wa vituo vya afya ngazi ya msingi kwa utashi binafsi.

Waziri Mchengerwa ametoa maelekezo hayo alipokuwa akihitimisha mkutano wa mwaka wa Waganga Wafawidhi wa vituo vya kutolea huduma za afya ngazi ya msingi, uliofanyika Jijini Dodoma kwa siku mbili.

Amewataka Wakurugenzi watumie vigezo vya kupima utendaji au ubora wa kazi za Waganga Wafawidhi wa vituo vya kutolea huduma za afya msingi—yaani Key Performance Indicators (KPI)—na si maamuzi ya mtu mmoja mmoja.

Agizo hilo la Waziri Mchengerwa limekuja kufuatia malalamiko ya baadhi ya Waganga Wafawidhi kuwa wamekuwa wakiondolewa kwenye nafasi zao kwa hila, kinyume na sheria, kanuni na miongozo ya utumishi wa umma.

Continue Reading

Previous: WHO: Viwango vya vifo wajawazito, watoto wachanga Afrika vimepungua tangu mwaka 2000
Next: Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi

Related Stories

IMG-20250913-WA0106
  • Habari

Miradi ya bilioni 2.7 kukaguliwa na kuzinduliwa Ngara

Joyce Hamka September 13, 2025
WhatsApp Image 2025-09-10 at 7.19.40 PM
  • Habari

Bilioni 4 kutumika kwenye ujenzi wa mifereji Kigoma

Radio Kwizera September 11, 2025
ZUWENA
  • Elimu na Afya

Wahuduma wa afya ngazi ya jamii, wapatiwa vitendea kazi

Radio Kwizera September 9, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Miradi ya bilioni 2.7 kukaguliwa na kuzinduliwa Ngara IMG-20250913-WA0106 1

Miradi ya bilioni 2.7 kukaguliwa na kuzinduliwa Ngara

September 13, 2025
NMB Kibondo yaahidi ushirikiano tawi la Simba Kitahana WhatsApp Image 2025-09-10 at 4.51.46 PM 2

NMB Kibondo yaahidi ushirikiano tawi la Simba Kitahana

September 11, 2025
Bilioni 4 kutumika kwenye ujenzi wa mifereji Kigoma WhatsApp Image 2025-09-10 at 7.19.40 PM 3

Bilioni 4 kutumika kwenye ujenzi wa mifereji Kigoma

September 11, 2025
Shinyanga kuzindua dawati la uwezeshaji biashara WhatsApp Image 2025-09-10 at 10.35.08 PM 4

Shinyanga kuzindua dawati la uwezeshaji biashara

September 11, 2025
TAKUKURU Geita yawataka wasimamizi wa uchaguzi kutenda haki WhatsApp Image 2025-09-11 at 2.41.39 PM 5

TAKUKURU Geita yawataka wasimamizi wa uchaguzi kutenda haki

September 11, 2025

ulizokosa

IMG-20250913-WA0106
  • Habari

Miradi ya bilioni 2.7 kukaguliwa na kuzinduliwa Ngara

Joyce Hamka September 13, 2025
WhatsApp Image 2025-09-10 at 4.51.46 PM
  • Michezo

NMB Kibondo yaahidi ushirikiano tawi la Simba Kitahana

Radio Kwizera September 11, 2025
WhatsApp Image 2025-09-10 at 7.19.40 PM
  • Habari

Bilioni 4 kutumika kwenye ujenzi wa mifereji Kigoma

Radio Kwizera September 11, 2025
WhatsApp Image 2025-09-10 at 10.35.08 PM
  • Biashara na Uchumi

Shinyanga kuzindua dawati la uwezeshaji biashara

Radio Kwizera September 11, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Business CCM CHADEMA Demokrasia Diplomasia Geita Haki za uchaguzi Jeshi la polisi Jeshi la polisi Geita KAGERA Kahama Kampeni Kanisa Katoliki Kigoma kushirikiana makamu wa rais Mazingira Mgodi Miradi ya maendeleo Muleba Mwanza Mwenge wa uhuru Newsbeat Ngara nishati safi Radio Kwizera Rais Samia Rais wa Zanzibar TAKUKURU Uchaguzi Uchumi Uchunguzi Uimarishaji Mipaka ujenzi UKIMWI Ulinzi Ushirikiano Waganga wa kienyeji Waziri Mkuu Wizara ya Afya wizara ya mifugo Wizara ya Nishati
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ