Skip to content
October 29, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
    • Elimu na Afya
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Wakurugenzi mamlaka za serikali za Mitaa wamelekezwa kutowaondoa Waganga wafawidhi wa vituo vya afya
  • Afrika Mashariki
  • Elimu na Afya
  • Habari
  • Health
  • Newsbeat
  • Siasa
  • Tanzania

Wakurugenzi mamlaka za serikali za Mitaa wamelekezwa kutowaondoa Waganga wafawidhi wa vituo vya afya

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
Radio Kwizera April 10, 2025
mchengerwa-1

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa amewaelekeza Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhakikisha hawawaondoi Waganga Wafawidhi wa vituo vya afya ngazi ya msingi kwa utashi binafsi.

Waziri Mchengerwa ametoa maelekezo hayo alipokuwa akihitimisha mkutano wa mwaka wa Waganga Wafawidhi wa vituo vya kutolea huduma za afya ngazi ya msingi, uliofanyika Jijini Dodoma kwa siku mbili.

Amewataka Wakurugenzi watumie vigezo vya kupima utendaji au ubora wa kazi za Waganga Wafawidhi wa vituo vya kutolea huduma za afya msingi—yaani Key Performance Indicators (KPI)—na si maamuzi ya mtu mmoja mmoja.

Agizo hilo la Waziri Mchengerwa limekuja kufuatia malalamiko ya baadhi ya Waganga Wafawidhi kuwa wamekuwa wakiondolewa kwenye nafasi zao kwa hila, kinyume na sheria, kanuni na miongozo ya utumishi wa umma.

Continue Reading

Previous: WHO: Viwango vya vifo wajawazito, watoto wachanga Afrika vimepungua tangu mwaka 2000
Next: Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi

Related Stories

Hamza
  • Habari
  • Siasa
  • Stories
  • Tanzania

Mwanasheria Mkuu wa Serikali atahadharisha maandamano

Radio Kwizera October 28, 2025
b3c83057-74de-4a41-ab54-f7bff8324df3.jpg
  • Afrika Mashariki
  • Ajali
  • Habari
  • Majanga

12 wahofiwa kufariki ajali ya ndege Kenya

Radio Kwizera October 28, 2025
Misimeeee
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Stories
  • Tanzania

Jeshi la Polisi lawahakikishia Usalama wananchi Uchaguzi Mkuu

Radio Kwizera October 28, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Mwanasheria Mkuu wa Serikali atahadharisha maandamano Hamza 1

Mwanasheria Mkuu wa Serikali atahadharisha maandamano

October 28, 2025
20 Percent karudi upya 20-Percent-Inachoma 2

20 Percent karudi upya

October 28, 2025
12 wahofiwa kufariki ajali ya ndege Kenya b3c83057-74de-4a41-ab54-f7bff8324df3.jpg 3

12 wahofiwa kufariki ajali ya ndege Kenya

October 28, 2025
Jeshi la Polisi lawahakikishia Usalama wananchi Uchaguzi Mkuu Misimeeee 4

Jeshi la Polisi lawahakikishia Usalama wananchi Uchaguzi Mkuu

October 28, 2025
Dkt. Samia apongeza watanzania kufanya Kampeni za Kistaarabu SAMIA MWANZA 5

Dkt. Samia apongeza watanzania kufanya Kampeni za Kistaarabu

October 28, 2025

ulizokosa

Hamza
  • Habari
  • Siasa
  • Stories
  • Tanzania

Mwanasheria Mkuu wa Serikali atahadharisha maandamano

Radio Kwizera October 28, 2025
20-Percent-Inachoma
  • Burudani

20 Percent karudi upya

Radio Kwizera October 28, 2025
b3c83057-74de-4a41-ab54-f7bff8324df3.jpg
  • Afrika Mashariki
  • Ajali
  • Habari
  • Majanga

12 wahofiwa kufariki ajali ya ndege Kenya

Radio Kwizera October 28, 2025
Misimeeee
  • Habari
  • Jamii
  • Siasa
  • Stories
  • Tanzania

Jeshi la Polisi lawahakikishia Usalama wananchi Uchaguzi Mkuu

Radio Kwizera October 28, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

amani Biashara Biharamulo Bongo Fleva Cardi B CCM CHADEMA Demokrasia Elimu Fursa Geita Grammy Hukumu INEC Jeshi la polisi KAGERA Kahama Kampeni Kanisa Katoliki Kigoma Mafunzo Mgodi Muleba muziki Mwanza Mwenge wa uhuru Newsbeat Ngara Polisi Radio Kwizera Rais wa Zanzibar Rapa Rushwa Samia TAKUKURU Tanzania TRA Uchaguzi Uchumi Ulinzi Ushirikiano Vurugu Watanzania Waziri Mkuu Wizara ya Afya
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ