Skip to content
June 12, 2025
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Radio Kwizera

Jukwaa la Matumaini

Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • TANZANIA
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA
  • AFRIKA MASHARIKI
  • KIMATAIFA
  • MICHEZO
    • BURUDANI
  • VIDEO
    • MICHEZO
    • RK NEWS
    • MSETO LEO
    • UCHAMBUZI
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI
  • VIPINDI VYETU
  • Home
  • Tanzania
  • Wakurugenzi mamlaka za serikali za Mitaa wamelekezwa kutowaondoa Waganga wafawidhi wa vituo vya afya
  • Afrika Mashariki
  • Elimu na Afya
  • Habari
  • Health
  • Newsbeat
  • Siasa
  • Tanzania
  • World

Wakurugenzi mamlaka za serikali za Mitaa wamelekezwa kutowaondoa Waganga wafawidhi wa vituo vya afya

Build Your Website in Minutes with One-Click Import – No Coding Hassle!
RADIO KWIZERA April 10, 2025
mchengerwa-1

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa amewaelekeza Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhakikisha hawawaondoi Waganga Wafawidhi wa vituo vya afya ngazi ya msingi kwa utashi binafsi.

Waziri Mchengerwa ametoa maelekezo hayo alipokuwa akihitimisha mkutano wa mwaka wa Waganga Wafawidhi wa vituo vya kutolea huduma za afya ngazi ya msingi, uliofanyika Jijini Dodoma kwa siku mbili.

Amewataka Wakurugenzi watumie vigezo vya kupima utendaji au ubora wa kazi za Waganga Wafawidhi wa vituo vya kutolea huduma za afya msingi—yaani Key Performance Indicators (KPI)—na si maamuzi ya mtu mmoja mmoja.

Agizo hilo la Waziri Mchengerwa limekuja kufuatia malalamiko ya baadhi ya Waganga Wafawidhi kuwa wamekuwa wakiondolewa kwenye nafasi zao kwa hila, kinyume na sheria, kanuni na miongozo ya utumishi wa umma.

Continue Reading

Previous: WHO: Viwango vya vifo wajawazito, watoto wachanga Afrika vimepungua tangu mwaka 2000
Next: Sekta ya umeme bado inakabiliwa na changamoto za mabadiliko ya Tabianchi

Related Stories

mpaka
  • Habari
  • Jamii
  • Kimataifa
  • Tanzania

Tanzania na Rwanda zakutana kujadili uimarishaji wa mpaka

RADIO KWIZERA June 9, 2025
MKUU WA WILAYA BUKOBA
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Raia wa kigeni 13 walioingia kinyume na utaratibu wakamatwa

RADIO KWIZERA June 9, 2025
Mchengerwa
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Wanafunzi 214,141 kujiunga na kidato cha tano, vyuo vya ufundi.

RADIO KWIZERA June 6, 2025

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

Trending News

Tanzania na Rwanda zakutana kujadili uimarishaji wa mpaka mpaka 1

Tanzania na Rwanda zakutana kujadili uimarishaji wa mpaka

June 9, 2025
Raia wa kigeni 13 walioingia kinyume na utaratibu wakamatwa MKUU WA WILAYA BUKOBA 2

Raia wa kigeni 13 walioingia kinyume na utaratibu wakamatwa

June 9, 2025
Wanafunzi 214,141 kujiunga na kidato cha tano, vyuo vya ufundi. Mchengerwa 3

Wanafunzi 214,141 kujiunga na kidato cha tano, vyuo vya ufundi.

June 6, 2025
Bilioni 2 kujenga miundombinu mipya ya elimu Kakonko WhatsApp Image 2025-06-04 at 12.46.05 4

Bilioni 2 kujenga miundombinu mipya ya elimu Kakonko

June 5, 2025
Wananchi wakataa mradi wa skimu kisa matambiko ya kimila matunguli 5

Wananchi wakataa mradi wa skimu kisa matambiko ya kimila

June 5, 2025

ulizokosa

mpaka
  • Habari
  • Jamii
  • Kimataifa
  • Tanzania

Tanzania na Rwanda zakutana kujadili uimarishaji wa mpaka

RADIO KWIZERA June 9, 2025
MKUU WA WILAYA BUKOBA
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Raia wa kigeni 13 walioingia kinyume na utaratibu wakamatwa

RADIO KWIZERA June 9, 2025
Mchengerwa
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Wanafunzi 214,141 kujiunga na kidato cha tano, vyuo vya ufundi.

RADIO KWIZERA June 6, 2025
WhatsApp Image 2025-06-04 at 12.46.05
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Bilioni 2 kujenga miundombinu mipya ya elimu Kakonko

RADIO KWIZERA June 5, 2025

About Radio kwizera

Radio Kwizera was established in 1995 by the Jesuit Refugee Service (JRS) to provide social services, education, and information to refugees from Rwanda and Burundi who were living in refugee camps in the Kagera and Kigoma regions of Tanzania.

Tags

Afya amani Biharamulo Business CCM CHADEMA Chama Dk. gwajima Dkt. Mpango Halmashauri jengo jipya Jeshi la polisi Geita Kakonko DC Kampeni Kanisa Katoliki Kigoma Kugawanyika Kuhatarisha makamu wa rais Michezo Migogoro ya ndoa Msamaha Muleba Newsbeat Nyakagomba Geita Papa Leo XIV Radio Kwizera Rais Ruto Rais Samia Sheria taasisi Viongozi kuwa Vishoka Vyandarua Waganga wa kienyeji Wageni Wakuu wa Idara Wananchama Wasoma mita Watanzania Waziri Mkuu waziri wa Maji Wizara ya Afya wizara ya maendeleo World
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
© Radio Kwizera | MoreNews | Backend by John F. Mukulu SJ