Skip to content
May 2, 2026
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
Radio Kwizera FM

Radio Kwizera FM

Jukwaa la matumaini

Your browser does not support live audio playback.
next try in 00:00
Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA NA UCHUMI
    • AFYA NA ELIMU
    • Magazeti
  • KIMATAIFA
    • AFRICA MASHARIKI
  • MIchezo
  • BURUDANI
  • VIDEO
    • HABARI
    • MICHEZO
    • ASUBUHI NJEMA
    • MCHAKATO
    • BURUDANI
    • MSETO LEO
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
    • HISTORIA
    • VIPINDI
    • TIMU YETU
    • PAKUA APP YETU
  • WASILIANA NASI
    • SERA YA FARAGHA
    • MASHARTI YA MATUMIZI
Light/Dark Button
MAGAZETI: Jumatano 25.03.2026 1000803089
  • Magazeti

MAGAZETI: Jumatano 25.03.2026

Marco BP March 25, 2026 0
Pata taarifa mbalimbali kupitia Magazeti ya leo Jumatano Machi 25, 2026.
Read More Read more about MAGAZETI: Jumatano 25.03.2026
Wananchi wachangia milioni 3 kutengeneza madawati Kibondo WhatsApp Image 2026-03-24 at 16.48.48
  • Elimu
  • Habari

Wananchi wachangia milioni 3 kutengeneza madawati Kibondo

Marco BP March 24, 2026 0
Samwel Masunzu- Kibondo, KIGOMA Wananchi kijiji cha Kitahana, kata ya Kitahana wilayani Kibondo mkoani Kigoma wamechangia kiasi...
Read More Read more about Wananchi wachangia milioni 3 kutengeneza madawati Kibondo
Wagonjwa wa Kifua Kikuu Jiepusheni na unywaji wa Pombe na uvutaji wa sigara kifua-kikuu-1
  • Afya
  • Habari

Wagonjwa wa Kifua Kikuu Jiepusheni na unywaji wa Pombe na uvutaji wa sigara

Marco BP March 24, 2026 0
William Mpanju- Biharamulo, KAGERA Wagonjwa wa kifua kikuu wametakiwa kujiepusha na unywaji wa pombe na uvutaji wa...
Read More Read more about Wagonjwa wa Kifua Kikuu Jiepusheni na unywaji wa Pombe na uvutaji wa sigara
Morice achukua nafasi ya Msuva timu ya taifa 🖤🤟🏾
  • Habari
  • MIchezo

Morice achukua nafasi ya Msuva timu ya taifa

ABUBAKAR West March 24, 2026 0
Timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imepata pigo kabla ya mechi zijazo za mashindano ya FIFA...
Read More Read more about Morice achukua nafasi ya Msuva timu ya taifa
Sadio Mane agoma kurudisha tuzo ya mchezaji bora wa AFCON Thank for your support 🙏🙏
  • Habari
  • MIchezo

Sadio Mane agoma kurudisha tuzo ya mchezaji bora wa AFCON

ABUBAKAR West March 24, 2026 0
Mvutano mkubwa umeibuka ndani ya soka la Afrika nahodha wa timu yua taifa ya Senegal, Sadio Mané,...
Read More Read more about Sadio Mane agoma kurudisha tuzo ya mchezaji bora wa AFCON
Wakulima washinda zana za kilimo kutokana na andiko bora la Kilimo Biashara WhatsApp Image 2026-03-24 at 14.14.57
  • Habari
  • Kilimo

Wakulima washinda zana za kilimo kutokana na andiko bora la Kilimo Biashara

Marco BP March 24, 2026 0
Michael Mpunije- Kasulu, KIGOMA Mashirika ya World Vision Tanzania na Good Neighbors Tanzania yanayotekeleza mradi wa Kilimo...
Read More Read more about Wakulima washinda zana za kilimo kutokana na andiko bora la Kilimo Biashara
Uongozi wa Kijiji watoa zawadi kwa Mwalimu Mkuu kwa kuimarisha taaluma WhatsApp Image 2026-03-24 at 11.05.00
  • Elimu
  • Habari

Uongozi wa Kijiji watoa zawadi kwa Mwalimu Mkuu kwa kuimarisha taaluma

Marco BP March 24, 2026 0
Samwel Masunzu- Kibondo, KIGOMA Uongozi wa kijiji cha Kitahana kata ya Kitahana wilayani Kibondo mkoani Kigoma wametoa...
Read More Read more about Uongozi wa Kijiji watoa zawadi kwa Mwalimu Mkuu kwa kuimarisha taaluma
KKKT Kaskazini Magharibi Biharamulo yamkabidhi mtoto nyumba ya mil 13.5 WhatsApp Image 2026-03-24 at 10.14.53
  • Dini
  • Habari

KKKT Kaskazini Magharibi Biharamulo yamkabidhi mtoto nyumba ya mil 13.5

Marco BP March 24, 2026 0
William Mpanju- Biharamulo, KAGERA Kanisa la KKKT Dayosisi ya Kaskazini Magharibi chini ya Shirika la Compation International...
Read More Read more about KKKT Kaskazini Magharibi Biharamulo yamkabidhi mtoto nyumba ya mil 13.5
Halima Haji aomba msamaha BASATA, Waziri Gwajima halima hajii
  • Burudani

Halima Haji aomba msamaha BASATA, Waziri Gwajima

Joyce Hamka March 24, 2026 0
Msanii wa “kibao Kata”, Bi. Halima Haji, amerejea tena kuomba msamaha kwa Baraza la Sanaa la Taifa...
Read More Read more about Halima Haji aomba msamaha BASATA, Waziri Gwajima
Serikali yatoa shilingi Trilioni 1.3 kuboresha miundombinu nchini Ulega 2
  • Habari
  • Tanzania

Serikali yatoa shilingi Trilioni 1.3 kuboresha miundombinu nchini

ZAWADI Bashemela March 24, 2026 0
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema Serikali imetoa shilingi trilioni 1.319 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi...
Read More Read more about Serikali yatoa shilingi Trilioni 1.3 kuboresha miundombinu nchini

Posts pagination

Previous 1 … 9 10 11 12 13 14 15 … 29 Next

Kuhusu Sisi

Radio Kwizera

Radio Kwizera ilianzishwa mnamo mwaka 1995 na shirika la huduma kwa wakimbizi la Kijesuiti (Jesuit Refugee Service - JRS) ili kutoa huduma za kijamii, elimu, na habari kwa wakimbizi kutoka Rwanda na Burundi waliokuwa wanaishi katika kambi za wakimbizi mkoani Kagera na Kigoma, Tanzania. Kwa sasa, Radio Kwizera imekua na kupanua huduma zake hadi kufikia mamilioni ya watu katika mikoa ya Kagera, Kigoma, Geita, Mwanza, Shinyanga, Tabora, Singida, na hata maeneo ya nchi jirani za Rwanda, Burundi, na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

MATANGAZO

Kwizera Logo
Listen to Radio Kwizera FM
RK ADs
Wateja wanakusubiri

ULIZOKOSA

WhatsApp Image 2026-05-01 at 16.52.43
  • Burundi
  • Habari

Serikali yafunga rasmi kambi ya Wakimbizi ya Nduta

Marco BP May 1, 2026 0
WhatsApp Image 2026-04-30 at 15.53.14
  • Biashara na Uchumi
  • Habari

Uwekezaji sekta binafsi Geita wafungua fursa za ajira

Marco BP April 30, 2026 0
The_weekend_hero_card
  • Vipindi

THE WEEK-END

MUKULU SJ April 30, 2026 0
RK-Salaam-club-poster-card
  • Vipindi

RK SALAAMS CLUB

MUKULU SJ April 30, 2026 0
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
Copyright © Radio Kwizera | Backend: Mukulu SJ | MoreNews by AF themes.