Skip to content
September 20, 2026
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
Radio Kwizera FM

Radio Kwizera FM

Jukwaa la matumaini

Your browser does not support live audio playback.
next try in 00:00
Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA NA UCHUMI
    • AFYA NA ELIMU
    • Magazeti
  • KIMATAIFA
    • AFRICA MASHARIKI
  • MIchezo
  • BURUDANI
  • VIDEO
    • HABARI
    • MICHEZO
    • ASUBUHI NJEMA
    • MCHAKATO
    • BURUDANI
    • MSETO LEO
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
    • HISTORIA
    • VIPINDI
    • TIMU YETU
    • PAKUA APP YETU
  • WASILIANA NASI
    • SERA YA FARAGHA
    • MASHARTI YA MATUMIZI
Light/Dark Button
Mac Voice afunguka aliyopitia Next Level Music God bless meโค๏ธ
  • Burudani

Mac Voice afunguka aliyopitia Next Level Music

Joyce Hamka March 4, 2026 0
Msanii Mac Voice amesema kuwa makazi yake yalikuwa studio na hivyo alitakiwa kumvizia S2kizzy amalize kurekodi ndipo...
Read More Read more about Mac Voice afunguka aliyopitia Next Level Music
Majeraha kumuweka Dickson Job nje miezi miwili 572130896_18426639424105369_7797122714611873508_n
  • MIchezo

Majeraha kumuweka Dickson Job nje miezi miwili

ABUBAKAR West March 4, 2026 0
Pedro Goncalves, Kocha Mkuu wa Yanga SC, amesema kuwa mchezaji Dickson Job ameumia na anatarajiwa kuwa nje...
Read More Read more about Majeraha kumuweka Dickson Job nje miezi miwili
Studio session hakuna msanii anayeweza kulipa Ml.10 T Touch1
  • Burudani

Studio session hakuna msanii anayeweza kulipa Ml.10

Joyce Hamka March 4, 2026 0
Mtayarishaji wa muziki nchini Tanzania, Mr. T Touch, ameelezea hali ilivyo kwa malipo ya watayarishaji wa muziki...
Read More Read more about Studio session hakuna msanii anayeweza kulipa Ml.10
CARE Yalaani Vyombo vya Habari kwa kutojali kuhusu Migogoro Barani Afrika. 123
  • Afrika

CARE Yalaani Vyombo vya Habari kwa kutojali kuhusu Migogoro Barani Afrika.

KANYESHA Faustine KAMPAYANA March 4, 2026 0
Shirika lisilo la kiserikali la CARE limetoa wito wa kuzingatia majanga yanayopuuzwa na vyombo vya habari, njia...
Read More Read more about CARE Yalaani Vyombo vya Habari kwa kutojali kuhusu Migogoro Barani Afrika.
GGML kulipa fidia ya bil 70 wananchi kupisha shughuli za mgodi WhatsApp Image 2026-03-03 at 18.30.18 (1)
  • Biashara na Uchumi

GGML kulipa fidia ya bil 70 wananchi kupisha shughuli za mgodi

Marco BP March 4, 2026 0
Kampuni ya mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGML) imebainisha kuwa takribani shilingi bilioni 70 zinatarajiwa kulipwa kama...
Read More Read more about GGML kulipa fidia ya bil 70 wananchi kupisha shughuli za mgodi
Serikali yawataka waishio Mashariki ya kati kuwa waangalifu. IRAN
  • Israeli
  • Kimataifa
  • Usalama

Serikali yawataka waishio Mashariki ya kati kuwa waangalifu.

ALBERT Kavano March 3, 2026 0
Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imewataka Watanzania wanaoishi  katika nchi...
Read More Read more about Serikali yawataka waishio Mashariki ya kati kuwa waangalifu.
Sell Out ya Rapper Parachichi iko mtaani You know youโ€™re great when you misunderstand (1)
  • Burudani

Sell Out ya Rapper Parachichi iko mtaani

Joyce Hamka February 27, 2026 0
Rapper wa Tanzania anayeishi Munich, Ujerumani, @para_chich ameachia album yake yenye nyimbo 14 iitwayo Sell Out. Para...
Read More Read more about Sell Out ya Rapper Parachichi iko mtaani
Gachi aomuomba radhi Yammi guchi
  • Burudani

Gachi aomuomba radhi Yammi

Joyce Hamka February 25, 2026 0
Mwanamuziki Fatma Omary Gachi amemuomba radhi msanii mwenzake Yammi, kufuatia jumbe alizopost mitandaoni siku nne zilizopita zikimtuhumu kumchukulia mwanaume wake.Akizungumza...
Read More Read more about Gachi aomuomba radhi Yammi
Los Angeles yampa heshima Rapa Nipsey Hussle pichaaaa
  • Burudani

Los Angeles yampa heshima Rapa Nipsey Hussle

Joyce Hamka February 25, 2026 0
Jiji la Los Angeles limebadilisha jina la makutano ya mtaa wa Crenshaw Boulevard na Slauson Avenue kwa...
Read More Read more about Los Angeles yampa heshima Rapa Nipsey Hussle
Serikali yatoa tahadhari Ongezeko la Influenza na UVIKO-19. COVID
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Serikali yatoa tahadhari Ongezeko la Influenza na UVIKO-19.

ZAWADI Bashemela February 25, 2026 0
Wizara ya Afya imetoa tahadhari kwa wananchi kufuatia kuongezeka kwa wagonjwa wa mafua makali ya Influenza na...
Read More Read more about Serikali yatoa tahadhari Ongezeko la Influenza na UVIKO-19.

Posts pagination

Previous 1 … 32 33 34 35 36 37 38 … 42 Next

Kuhusu Sisi

Radio Kwizera

Radio Kwizera ilianzishwa mnamo mwaka 1995 na shirika la huduma kwa wakimbizi la Kijesuiti (Jesuit Refugee Service - JRS) ili kutoa huduma za kijamii, elimu, na habari kwa wakimbizi kutoka Rwanda na Burundi waliokuwa wanaishi katika kambi za wakimbizi mkoani Kagera na Kigoma, Tanzania. Kwa sasa, Radio Kwizera imekua na kupanua huduma zake hadi kufikia mamilioni ya watu katika mikoa ya Kagera, Kigoma, Geita, Mwanza, Shinyanga, Tabora, Singida, na hata maeneo ya nchi jirani za Rwanda, Burundi, na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

MATANGAZO

safi
Wadau wataka nishati safi iwafikie wananchi Vijijini
kitima-pic
TEC: Waliokosea Kabla na Baada ya Uchaguzi Waombe Radhi ili tusonge mbele
DSC_2003
Picha za matukio ya kijana smart
Kwizera Logo
Listen toย Radio Kwizera FM
RK ADs
Wateja wanakusubiri

ULIZOKOSA

WAZIMA
  • Elimu
  • Habari

Elimu ya watu wazima kuwa chachu ya maendeleo Kagera

Rehema Ruhotora September 17, 2026 0
WhatsApp Image 2026-09-16 at 4.13.33 PM
  • Elimu
  • Habari

Mwamko duni wa vijana watajwa kukwamisha mfumo wa elimu ya watu wazima Kagera

Rehema Ruhotora September 17, 2026 0
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ CAF President Dr Patrice Motsepeโ€™s visit to Tanzania-๐ŸŸ๏ธ Inspection โœ… ๐ŸŽ™๏ธ Press conference
  • MIchezo

MOTSEPE:HAKUNA MPANGO WA KUITOA AFCON AFRIKA MASHARIKI

ABUBAKAR West September 17, 2026 0
Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Ali Abdugulam Hussein ametembelea mazoezi y
  • MIchezo

ZANZIBAR KUTUMIA AFCON 2027 KUOMBA UANACHAMA

ABUBAKAR West September 17, 2026 0
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
Copyright ยฉ Radio Kwizera | Backend: Mukulu SJ | MoreNews by AF themes.