Skip to content
September 20, 2026
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
Radio Kwizera FM

Radio Kwizera FM

Jukwaa la matumaini

Your browser does not support live audio playback.
next try in 00:00
Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA NA UCHUMI
    • AFYA NA ELIMU
    • Magazeti
  • KIMATAIFA
    • AFRICA MASHARIKI
  • MIchezo
  • BURUDANI
  • VIDEO
    • HABARI
    • MICHEZO
    • ASUBUHI NJEMA
    • MCHAKATO
    • BURUDANI
    • MSETO LEO
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
    • HISTORIA
    • VIPINDI
    • TIMU YETU
    • PAKUA APP YETU
  • WASILIANA NASI
    • SERA YA FARAGHA
    • MASHARTI YA MATUMIZI
Light/Dark Button
Bodi ya ligi yafafanua sababu za Simba kutokucheza katikati ya wiki Mkutano wa Baraza Kuu la Bodi ya Ligi Kuu Tanzania.Sasa tayari kwa mwaka 2026.๐Ÿ“ธ @honest__eyes
  • MIchezo

Bodi ya ligi yafafanua sababu za Simba kutokucheza katikati ya wiki

ABUBAKAR West March 6, 2026 0
Ofisa Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda, ameeleza kuwa ratiba ya mechi za...
Read More Read more about Bodi ya ligi yafafanua sababu za Simba kutokucheza katikati ya wiki
2029 vitongoji vyote Shinyanga kupata huduma ya umeme. kihongozi
  • Habari

2029 vitongoji vyote Shinyanga kupata huduma ya umeme.

Asma Ahmed March 5, 2026 0
Katibu wa NEC, Idara ya Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenani Kihongosi, amepongeza utekelezaji wa miradi...
Read More Read more about 2029 vitongoji vyote Shinyanga kupata huduma ya umeme.
Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu kutoa hukumu ya kihistoria kesho afrikan court
  • Habari

Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu kutoa hukumu ya kihistoria kesho

Asma Ahmed March 5, 2026 0
Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu inayopatikana jijini Arusha, inatarajiwa kutoa hukumu ya kihistoria kesho, Ijumaa,...
Read More Read more about Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu kutoa hukumu ya kihistoria kesho
Kiswahili na Muziki wa Singeli kutambuliwa Duniani Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Ndg. Methusela Ntonda akikat
  • Burudani

Kiswahili na Muziki wa Singeli kutambuliwa Duniani

Joyce Hamka March 5, 2026 0
Naibu Katibu Mkuu waย Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo,ย Methusela Ntonda, amesema kuwa kuongezeka kwaย utambuzi wa lugha...
Read More Read more about Kiswahili na Muziki wa Singeli kutambuliwa Duniani
Wananchi wahudumiwe kwenye maeneo yao Naibu waziri Mmuya naibu waziri mmuya
  • Habari
  • Kimataifa

Wananchi wahudumiwe kwenye maeneo yao Naibu waziri Mmuya

Rehema Ruhotora March 5, 2026 0
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeanza kuchukua hatua madhubuti kuhakikisha inawafikia wananchi popote walipo...
Read More Read more about Wananchi wahudumiwe kwenye maeneo yao Naibu waziri Mmuya
Loemba amemuomba msamaha Dickson Job images
  • MIchezo

Loemba amemuomba msamaha Dickson Job

Amina Semagogwa March 5, 2026 0
Kiungo wa klabu ya Simba Jospin Loemba amemuomba msamaha beki wa kati wa klabu ya Yanga Dickson...
Read More Read more about Loemba amemuomba msamaha Dickson Job
Singida Black Stars yamsamehe Aucho FADLU-DAVIDS-AMTAKA-KHALID-AUCHO-RAJA-CASABLACA-Wakati-kikosi-cha-Singida-Black-Stars-kikitaraj.heic-1024x1280
  • MIchezo

Singida Black Stars yamsamehe Aucho

Amina Semagogwa March 5, 2026 0
Uongozi wa Singida Black Stars umetangaza kumuondolea adhabu ya kusimamishwa kiungo wao Khalid Aucho baada ya kupitia...
Read More Read more about Singida Black Stars yamsamehe Aucho
Diameter Pallet ufunguka kisa cha wimbo wa MOYO MJINGA patooo
  • Burudani
  • Habari

Diameter Pallet ufunguka kisa cha wimbo wa MOYO MJINGA

KANYESHA Faustine KAMPAYANA March 5, 2026 0
Mwanamuziki Kutoka kwenye kiwanda cha muziki Bongo, Diameter pallet amefunguka kuhusu  wazo la wimbo wa Moyo mjinga ...
Read More Read more about Diameter Pallet ufunguka kisa cha wimbo wa MOYO MJINGA
China iko tayari kuwa mpatanishi vita ya Mashariki ya Kati image
  • Kimataifa

China iko tayari kuwa mpatanishi vita ya Mashariki ya Kati

KANYESHA Faustine KAMPAYANA March 5, 2026 0
China imetangaza rasmi utayari wake wa kuwa mpatanishi katika mzozo unaoendelea Mashariki ya Kati kufuatia kuongezeka kwa...
Read More Read more about China iko tayari kuwa mpatanishi vita ya Mashariki ya Kati
Chupa 1,795 za dawa za kulevya za kamatwa Kagera DAWA ZA KULEVYA TWO
  • Jamii
  • Tanzania

Chupa 1,795 za dawa za kulevya za kamatwa Kagera

ABUBAKAR West March 4, 2026 0
Chupa 1,795 za dawa tiba zenye asili ya kulevya zimekamatwa ndani ya basi la abiria linalofanya safari...
Read More Read more about Chupa 1,795 za dawa za kulevya za kamatwa Kagera

Posts pagination

Previous 1 … 30 31 32 33 34 35 36 … 42 Next

Kuhusu Sisi

Radio Kwizera

Radio Kwizera ilianzishwa mnamo mwaka 1995 na shirika la huduma kwa wakimbizi la Kijesuiti (Jesuit Refugee Service - JRS) ili kutoa huduma za kijamii, elimu, na habari kwa wakimbizi kutoka Rwanda na Burundi waliokuwa wanaishi katika kambi za wakimbizi mkoani Kagera na Kigoma, Tanzania. Kwa sasa, Radio Kwizera imekua na kupanua huduma zake hadi kufikia mamilioni ya watu katika mikoa ya Kagera, Kigoma, Geita, Mwanza, Shinyanga, Tabora, Singida, na hata maeneo ya nchi jirani za Rwanda, Burundi, na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

MATANGAZO

safi
Wadau wataka nishati safi iwafikie wananchi Vijijini
kitima-pic
TEC: Waliokosea Kabla na Baada ya Uchaguzi Waombe Radhi ili tusonge mbele
DSC_2003
Picha za matukio ya kijana smart
Kwizera Logo
Listen toย Radio Kwizera FM
RK ADs
Wateja wanakusubiri

ULIZOKOSA

WAZIMA
  • Elimu
  • Habari

Elimu ya watu wazima kuwa chachu ya maendeleo Kagera

Rehema Ruhotora September 17, 2026 0
WhatsApp Image 2026-09-16 at 4.13.33 PM
  • Elimu
  • Habari

Mwamko duni wa vijana watajwa kukwamisha mfumo wa elimu ya watu wazima Kagera

Rehema Ruhotora September 17, 2026 0
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ CAF President Dr Patrice Motsepeโ€™s visit to Tanzania-๐ŸŸ๏ธ Inspection โœ… ๐ŸŽ™๏ธ Press conference
  • MIchezo

MOTSEPE:HAKUNA MPANGO WA KUITOA AFCON AFRIKA MASHARIKI

ABUBAKAR West September 17, 2026 0
Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Ali Abdugulam Hussein ametembelea mazoezi y
  • MIchezo

ZANZIBAR KUTUMIA AFCON 2027 KUOMBA UANACHAMA

ABUBAKAR West September 17, 2026 0
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
Copyright ยฉ Radio Kwizera | Backend: Mukulu SJ | MoreNews by AF themes.