Skip to content
August 5, 2026
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
Radio Kwizera FM

Radio Kwizera FM

Jukwaa la matumaini

Your browser does not support live audio playback.
next try in 00:00
Primary Menu
  • HOME
  • KITAIFA
    • HABARI
    • JAMII
    • SIASA
    • BIASHARA NA UCHUMI
    • AFYA NA ELIMU
    • Magazeti
  • KIMATAIFA
    • AFRICA MASHARIKI
  • MIchezo
  • BURUDANI
  • VIDEO
    • HABARI
    • MICHEZO
    • ASUBUHI NJEMA
    • MCHAKATO
    • BURUDANI
    • MSETO LEO
    • ZOTE
  • KUHUSU SISI
    • HISTORIA
    • VIPINDI
    • TIMU YETU
    • PAKUA APP YETU
  • WASILIANA NASI
    • SERA YA FARAGHA
    • MASHARTI YA MATUMIZI
Light/Dark Button
Serikali yawataka waishio Mashariki ya kati kuwa waangalifu. IRAN
  • Israeli
  • Kimataifa
  • Usalama

Serikali yawataka waishio Mashariki ya kati kuwa waangalifu.

ALBERT Kavano March 3, 2026 0
Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imewataka Watanzania wanaoishi  katika nchi...
Read More Read more about Serikali yawataka waishio Mashariki ya kati kuwa waangalifu.
Sell Out ya Rapper Parachichi iko mtaani You know you’re great when you misunderstand (1)
  • Burudani

Sell Out ya Rapper Parachichi iko mtaani

Joyce Hamka February 27, 2026 0
Rapper wa Tanzania anayeishi Munich, Ujerumani, @para_chich ameachia album yake yenye nyimbo 14 iitwayo Sell Out. Para...
Read More Read more about Sell Out ya Rapper Parachichi iko mtaani
Gachi aomuomba radhi Yammi guchi
  • Burudani

Gachi aomuomba radhi Yammi

Joyce Hamka February 25, 2026 0
Mwanamuziki Fatma Omary Gachi amemuomba radhi msanii mwenzake Yammi, kufuatia jumbe alizopost mitandaoni siku nne zilizopita zikimtuhumu kumchukulia mwanaume wake.Akizungumza...
Read More Read more about Gachi aomuomba radhi Yammi
Los Angeles yampa heshima Rapa Nipsey Hussle pichaaaa
  • Burudani

Los Angeles yampa heshima Rapa Nipsey Hussle

Joyce Hamka February 25, 2026 0
Jiji la Los Angeles limebadilisha jina la makutano ya mtaa wa Crenshaw Boulevard na Slauson Avenue kwa...
Read More Read more about Los Angeles yampa heshima Rapa Nipsey Hussle
Serikali yatoa tahadhari Ongezeko la Influenza na UVIKO-19. COVID
  • Habari
  • Jamii
  • Tanzania

Serikali yatoa tahadhari Ongezeko la Influenza na UVIKO-19.

ZAWADI Bashemela February 25, 2026 0
Wizara ya Afya imetoa tahadhari kwa wananchi kufuatia kuongezeka kwa wagonjwa wa mafua makali ya Influenza na...
Read More Read more about Serikali yatoa tahadhari Ongezeko la Influenza na UVIKO-19.
Wawekezaji Sekta ya Madini watakiwa kuweka wazi tafiti za madini madini
  • Biashara na Uchumi
  • Habari

Wawekezaji Sekta ya Madini watakiwa kuweka wazi tafiti za madini

ZAWADI Bashemela February 25, 2026 0
Naibu Waziri wa Madini Steven Kiruswa ametoa rai kwa wawekezaji katika sekta ya madini kuweka wazi taarifa...
Read More Read more about Wawekezaji Sekta ya Madini watakiwa kuweka wazi tafiti za madini
Lissu ashinda pingamizi, Mahakama yakataa ushahidi wa ziada Picha leo mahakamani. (2)
  • Habari

Lissu ashinda pingamizi, Mahakama yakataa ushahidi wa ziada

Marco BP February 24, 2026 0
Jopo la majaji watatu wa Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, likiongozwa na Jaji Dunstan...
Read More Read more about Lissu ashinda pingamizi, Mahakama yakataa ushahidi wa ziada
Taasisi ya moyo Jakaya Kikwete yazindua tawi Kariakoo Dres Salaam. JKCI
  • Afya

Taasisi ya moyo Jakaya Kikwete yazindua tawi Kariakoo Dres Salaam.

ALBERT Kavano February 24, 2026 0
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imezindua  tawi jipya ndani ya Soko Kuu la Kariakoo mkoani Dar...
Read More Read more about Taasisi ya moyo Jakaya Kikwete yazindua tawi Kariakoo Dres Salaam.
Mirungi yamfanya aswekwa miaka 30 jela gela
  • Habari

Mirungi yamfanya aswekwa miaka 30 jela

Rehema W. Ruhotora February 24, 2026 0
Mahakama ya Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela mtuhumiwa Richard Peter Mahimbo...
Read More Read more about Mirungi yamfanya aswekwa miaka 30 jela
Simiyu kunufaika na bilioni 8 ujenzi Kituo cha Kusambaza Umeme Imalilo tenesco
  • Habari

Simiyu kunufaika na bilioni 8 ujenzi Kituo cha Kusambaza Umeme Imalilo

Asma Ahmed February 24, 2026 0
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imetoa kiasi cha Shilingi bilioni 8 kugharamia ujenzi wa Kituo...
Read More Read more about Simiyu kunufaika na bilioni 8 ujenzi Kituo cha Kusambaza Umeme Imalilo

Posts pagination

Previous 1 … 30 31 32 33 34 35 36 … 39 Next

Kuhusu Sisi

Radio Kwizera

Radio Kwizera ilianzishwa mnamo mwaka 1995 na shirika la huduma kwa wakimbizi la Kijesuiti (Jesuit Refugee Service - JRS) ili kutoa huduma za kijamii, elimu, na habari kwa wakimbizi kutoka Rwanda na Burundi waliokuwa wanaishi katika kambi za wakimbizi mkoani Kagera na Kigoma, Tanzania. Kwa sasa, Radio Kwizera imekua na kupanua huduma zake hadi kufikia mamilioni ya watu katika mikoa ya Kagera, Kigoma, Geita, Mwanza, Shinyanga, Tabora, Singida, na hata maeneo ya nchi jirani za Rwanda, Burundi, na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

Connect with Us

  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds

MATANGAZO

DSC_2003
Picha za matukio ya kijana smart
Kwizera Logo
Listen to Radio Kwizera FM
RK ADs
Wateja wanakusubiri

ULIZOKOSA

DSC_2003
  • Burudani
  • Elimu
  • Elimu na Afya
  • Matangazo
  • MIchezo

Picha za matukio ya kijana smart

Joyce Hamka July 31, 2026 0
balozi sirro
  • Habari
  • Kilimo

Sirro azitaka halmashauri zilinde maslahi ya wakulima.

Rehema W. Ruhotora July 24, 2026 0
uchafuzi
  • Habari
  • Mazingira

Rais Mwinyi: Mabasi ya Umeme Yataboresha Usafiri na Kulinda Mazingira

Rehema W. Ruhotora July 24, 2026 0
samaki
  • Habari
  • Mazingira

Wafanyabiashara wa Samaki Chato Wataka Suluhisho la Kudumu la Majitaka

Rehema W. Ruhotora July 22, 2026 0
  • Youtube
  • Instagram
  • Facebook
  • TikTok
  • Twitter
  • SoundClauds
Copyright © Radio Kwizera | Backend: Mukulu SJ | MoreNews by AF themes.