Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, ametembelea na kuingia katika msikiti mkubwa zaidi nchini Algeria,...
AMINA SEMAGOGWA
Amina Deogratius Semagogwa (SEMA G)
ni mwandishi wa habari na mtangazaji mahiri wa Radio mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika tasnia ya habari, Amebobea katika kuandaa na kuendesha vipindi vyenye uzito vinavyolenga kuibua mijadala ya kijamii, hususan katika malezi bora ya watoto na masuala ya utawala bora.
Kupitia kalamu na sauti yake Amina ametunukiwa tuzo zaidi ya 10 za uandishi bora wa habari nchini Tanzania , Amina amejijengea nafasi ya kuwa daraja kati ya jamii na maarifa, akiamini kuwa uandishi wa habari si kuripoti tu bali ni chombo cha kuelimisha, kuhamasisha na kuleta mabadiliko chanya, Ana mtindo wa kipekee unaochanganya weledi, uchambuzi na uwasilishaji unaogusa maisha halisi ya watu.
Kauli mbiu: Sauti ya jamii, dira ya mabadiliko.
Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, TEC linasikitika kutangaza kifo cha Askofu Bernardin Francis Mfumbusa wa Jimbo Katoliki...
Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Leo XIV, ameanza rasmi ziara ya siku 10 Barani Afrika,...
Paroko wa Parokia ya Bikira Maria Kisasa, Sostenes Ndendya, ametoa wito kwa waumini na wananchi kwa ujumla...
Baraza kuu la maaskofu wa kanisa katoliki nchini DRC limeonya kuhusu mabadiliko ya katiba nchini humo na...
Mhashamu Prosper Balthazar Lyimo amesimikwa rasmi kuwa Askofu wa kwanza wa Jimbo Katoliki Bariadi katika ibada iliyofanyika...
Viongozi wa Makanisa ya Kikristo ndani ya Baraza la Makanisa la Sudan Kusini (SSCC) wametoa wito wa...
Askofu wa Jimbo Katoliki Bunda, Simon Masondole amesema maadhimisho ya kumbukizi ya kifo cha aliyekuwa Rais wa...
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo, anatarajiwa kuanza ziara rasmi katika mataifa manne ya Afrika kuanzia...
Mkutano wa Maaskofu Wakatoliki wa Ethiopia (CBCE) umelaani vikali wimbi la vurugu dhidi ya raia katika eneo...
