Baba Mtakatifu Papa Leo XIV, amemteua Konrad Krajewski kuwa Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Łódź nchini...
AMINA SEMAGOGWA
Amina Deogratius Semagogwa (SEMA G)
ni mwandishi wa habari na mtangazaji mahiri wa Radio mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika tasnia ya habari, Amebobea katika kuandaa na kuendesha vipindi vyenye uzito vinavyolenga kuibua mijadala ya kijamii, hususan katika malezi bora ya watoto na masuala ya utawala bora.
Kupitia kalamu na sauti yake Amina ametunukiwa tuzo zaidi ya 10 za uandishi bora wa habari nchini Tanzania , Amina amejijengea nafasi ya kuwa daraja kati ya jamii na maarifa, akiamini kuwa uandishi wa habari si kuripoti tu bali ni chombo cha kuelimisha, kuhamasisha na kuleta mabadiliko chanya, Ana mtindo wa kipekee unaochanganya weledi, uchambuzi na uwasilishaji unaogusa maisha halisi ya watu.
Kauli mbiu: Sauti ya jamii, dira ya mabadiliko.
Baba Mtakatifu Pope Leo XIV ametoa idhini ya kuwaweka wakfu mashemasi nane katika Daraja la Upadre na...
Papa Leo wa XIV ameonesha huzuni kubwa kufuatia vifo vya watu wasio na hatia vilivyosababishwa na mashambulizi...
Mwanachuoni na mhubiri maarufu nchini, Sheikh Hilal Shawej ‘Kipozeo’, ametoa wito kwa waumini wa dini ya Kiislamu...
Shirika la ndege la Tanzania, Air Tanzania limetangaza mpango wa kuwarejesha nyumbani raia wa nchi hiyo walioathiriwa...
Kiungo wa klabu ya Simba Jospin Loemba amemuomba msamaha beki wa kati wa klabu ya Yanga Dickson...
Uongozi wa Singida Black Stars umetangaza kumuondolea adhabu ya kusimamishwa kiungo wao Khalid Aucho baada ya kupitia...
Mamlaka ya Nigeria imesitisha safari zote za hija kwenda Israel mara moja, ikitaja wasiwasi wa kiusalama unaohusishwa...
Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini, Mhandisi Chacha Wambura, amewataka maafisa usafirishaji maarufu kwa jina la bodaboda...
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta...
