Makamu wa Rais Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema kuwa mazingira yana umuhimu mkubwa katika ukuaji wa uchumi...
Rehema W. Ruhotora
Rehema William Ruhotora ni mwandishi na mtangazaji wa redio na mtayarishaji wa vipindi vya kijamii mwenye uzoefu wa miaka zaidi ya miaka Tisa (9) na mwenye shauku kubwa katika mawasiliano uandishi na ubunifu. Anajivunia Kwa kipaji chake cha kuelimisha jamii kupitia vyombo vya Habari na lengo lake ikiwa kuendelea kukua katika tasnia ya Habari na mawasiliano kwa kuleta mabadiliko chanya kwenye jamii.
Wananchi wa vijiji vya Mnazi, Milamba na Nalingu wilayani Mtwara wamepinga uwekezaji wa kilimo cha mwani unaotarajiwa...
Kundi la wafugaji wa Kijiji cha Losirwa kilichopo Kata ya Esilalei, Wilaya ya Monduli mkoani Arusha, wamekusanyika...
Mkuu wa wilaya ya Kigoma Rashid Chuachua amezitaka mamlaka zinazosimamia usafi wa mazingira katika manispaa ya Kigoma...
Mkoa wa Tabora umeanza rasmi kuuza korosho zake kwa mfumo wa mnada, hatua inayotarajiwa kufungua fursa mpya...
Mkuu wa Wilaya ya Muleba mkoani Kagera Dkt. Abel Nyamahanga ameziagiza taasisi zote zinazolisha watu zaidi ya...
Jamii wilayani Ngara mkoani Kagera imetakiwa kuendelea kutunza mazingira kwa kupanda na kulinda misitu ili kukabiliana na...
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) imesema maonesho ya elimu ya mazingira yatafanyika...
Zaidi ya miti laki tano imepandwa katika Manispaa ya Tabora ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku...
Serikali ya Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera inawasaka watuhumiwa sita, wakiwemo wenyeviti wa vitongoji watatu, kwa tuhuma...
